podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
Kitabu Cha Siku
Shows
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
23 APRILI 2025
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika ukanda wa Gaza, na harakati za utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa asili. Makala tunasalia hapa hapa makao makuu na mashinani tunakwenda nchini Burundi, kulikoni?Hali si hali huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli ambako wakimbizi wa ndani wanakabiliwa na hatari za kiafya ambako panya na wadudu kama vile viroboto na nzi wamesambaa kutokana na mlundikano wa taka na ukosefu wa huduma muhimu kama vile maji safi na salama.Hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, mkutano wa 24 wa Jukwaa la Kudumu la...
2025-04-23
11 min
Mwalimu Huruma Gadi
A6. Warumi Sura ya 1
Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.
2024-09-28
28 min
Mwalimu Huruma Gadi
A5. Warumi Sura ya 1
Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.
2024-09-27
28 min
Mwalimu Huruma Gadi
A4. Warumi Sura ya 1
Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.
2024-09-26
27 min
Mwalimu Huruma Gadi
A3. Warumi Sura ya 1
Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.
2024-09-25
27 min
Mwalimu Huruma Gadi
A1. Warumi Sura ya 1
Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.
2024-09-23
29 min
Kujua Podcast
Podcast episode 12: VITU SABA AMBAYO NI MACHUKIZO KWA BWANA #2 IMEANDIKWA NA MARY SMITH
hatia; Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyomyepesi kukimbilia maovu; Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.Wakati uliopita tulianza kujifunza kuhusu vitu ambavyo ni chukizo kwake Mungu. Katika o r o d h a ya M i t h a l i 6 : 1 6 - 1 9 , t u l i j i f u n z a k u h u s u k i t u c h a k w a n z a , m a c h o y a k i b u r i . L e...
2024-09-09
09 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 9/6 Mathayo 22:1–14
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 9/6 ni Jumapili ya 3 baada ya Pentekoste, ukurasa 118 katika kitabu cha sala. Tutafafanua Mathayo 22:1–14 na Wazo Kuu la Utii wa Neno.Karibu! This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com
2024-06-03
27 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 2/6 Luka 14:16–24 Upendo wa Mungu kati yetu
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 2/6 ni Jumapili ya 2 baada ya Pentekoste, ukurasa 117 katika kitabu cha sala cah Anglikana.Karibu! This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com
2024-05-27
27 min
zumbe10d's Podcast
Ujumbe wa Ijumaa Kwa Watoto
Rss Feed https://zumbe10d.podomatic.com/rss2.xml Leo na waletea ujumbe wa siku ya ijumaa hususan kwa watoto. Humo nimegusia masuala ya karama na umuhimu uliopo wa kuishi maisha ya wema. Katika ujumbe wa leo nimezingatia baadhi ya mambo ya msingi ya kufundisha watoto ikiwemo kukaa kikao tafakuri na umuhimu wa kujifunza lugha ya kiswahili. Pia nimewaelekeza watoto umuhimu wa kuepukana na tabia chafu ambazo zingewapelekea wawe watu wabaya ndani ya jamii. Nimewasisitizia watoto wajifunze umuhimu wa kuishi maisha ya kistaarabu. Na wazidishe tabia ya kupenda kujisafisha. Watambue ya kwamba utukufu ni pambo tu lakini watakatifu ndio wastahili...
2024-05-24
28 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 19/5 Pentekoste
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 19/5 ni Pentekoste, ukurasa 114 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya pili tunafundisha juu ya kuja kwa Roho Mtakatifu,siku ya pentekoste, Matendo ya Mitume 2 na Yohana 14; hasa kwamba Roho ni kwa wote wanaoamini, ni Yesu anayemtuma na kuja kwa Roho ni ishara ya utimilifu wa ahadi za Mungu na ushindi wa Yesu, na kwamba kipindi kipya kimeanza japo kipindi cha kale kinaendelea hadi Yesu atakaporudi...
2024-05-13
29 min
Assembly of Yahweh Natzraya
Parashat Kedoshim (waliotengwa).
Karibu kwa wiki ya kujifunza kutoka Parashat Kedoshim. Ni ya 7th sehemu ya kitabu cha Mambo ya Walawi na 30th sehemu ya usomaji wa shabbat wa kila mwaka wa Torati. Kifungu hiki kutoka kwa Mambo ya Walawi ni sehemu ya sehemu kubwa inayojulikana kama Kanuni ya Utengano, ambayo inaeleza sheria za kimaadili na za kidini kwa Waisraeli, na kwa upanuzi, mtu yeyote anayejiunga na Israeli katika kumwita Yahweh kupitia mwanawe Yehoshua Masihi. Mambo ya Walawi 19 huzingatia hasa tabia ya kimaadili na kujitolea katika maisha ya kila siku.
2024-05-06
11 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 12/5 JP baada ya Kupaa || Yn 17:1–11 na WK: Ahadi ya Roho Mtakatifu
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 12/5 ni Jumapili baada ya kupaa, ukurasa 113 katika kitabu cha sala cha kanisa la Anglikana.Tunafundisha kifungu cha Injili, Yohana 17:1–11 na mambo yaliyomo kama utukufu wa Yesu, ufunuo juu ya Mungu na sala ya Yesu kwa umoja na ulinzi wetu. Halafu na tunafundisha juu yaa Roho Mtakatifu na jinsi ambavyo kwa huyu Roho Mungu anakamilisha kazi ya wokovu iliyoanza kwa huduma ya Yesu.Karibu!
2024-05-06
39 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 5/5 JP5 Pasaka Kuushinda Ulimwengu || Yohana 16:16–22
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 5/5 ni Jumapili ya 5 baada ya Pasaka, ukurasa 112 katika kitabu cha sala cha kanisa la AnglikanaKatika mafundisho yetu tunafafanua Yohana 16:16–22 juu ya uzima na ufufuo, na jinsi ambavyo kwa kifo chake na ufufuo wake Yesu aliuushinda ulimwengu. Kwa upande wetu kuna furaha kwa kuwa Yesu yuko pamoja nasi. 1 Yn 5 pia inatumika kueleza jambo la kushikiri na Yesu kwa ushindi na uzima kwa njia ya imani....
2024-04-29
35 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 21/4 JP4 Pasaka
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 21/4 ni Jumapili ya 4 baada ya Pasaka, ukurasa 111 katika kitabu cha sala.Katika podi hii tunafundisha juu ya neema ya Mungu kuwafunulia watoto wachunga mambo ya wokovu, na jambo la utatu ambalo Yesu anatufunuliwa kwa kuwa ni Mungu mwenyewe aliyetwaa ubinadamu wetu. Pia tunaona umuhimu wa kumjua Yesu na kujifunza kwake, kama anavyotukaribisha, kuja kwake na atatupumzisha. Karibu! This is a public...
2024-04-22
36 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 21/4 JP3 Pasaka || Kristo ni Nuru Yetu
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 21/4 ni Jumapili ya 3 baada ya Pasaka, ukurasa 111 katika kitabu cha sala.Tunafundisha katika Yohana 8:12–20 kuhusu Yesu akiwa nuru yetu na jambo la kumfunua Mungu Baba. Halafu kuna majadiliano muhimu sana katika kweli ya kwamba Yesu anatupa uhusiano mpya na Mungu na kufikiri zaidi jambo la kumwabudu Mungu katika uhusiano na sio kumwabadu kwa sababu. Karibu. This is a public episode. If yo...
2024-04-15
55 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 14/4 JP2 Pasaka || Mchungaji Mwema
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 14/4 ni Jumapili ya 2 baada ya Paska, ukurasa 110 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo podi tunafundisha wazo la Mchungaji Mwema, yaani Yesu aliye mchungaji wetu mwema. Tunatumia vifungu vitatu: Ezekieli 34, Yohana 10, Luka 15:3–7.Karibu! This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com
2024-04-11
22 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 7/4 JP1 Pasaka
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 7/4 ni Jumapili ya 1 baada ya Pasaka, ukurasa 109 katika kitabu cha sala.Katika podi hii tunazungumza wazo la ushindi na namna ambavyo Yesu alishinda kwa kifo chake na ufufuo. Sisi twaweza kwa imani kushiriki na ushindi wake, na kupata wokovu, na uhuru, na uzima wa milele. Pia tunaangalia sehemu ya Injili, Yohana 20:24–31 na kufikiri jambo la imani kwa vile Tomaso alitaka kuona bali sisi hatuoni kwa macho. Yo...
2024-04-01
56 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 24/3 JP Mitende || pt2 Wazo Kuu na Masomo
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 24/3 ni Jumapili ya Mitende, ukurasa 93 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya pili tunafundisha juu ya wazo kuu la Njia ya Msalaba, 1 Wakorintho 1:18–25, Isaya 50:4–9, Zaburi 22. Kuna tofauti gani kati ya kuheshimu msalaba na ujumbe wa msalaba? Kuna nini katika Zaburi na Isaya inayoonekana katika mateso ya Yesu? Nini maana ya Yesu kusema Mungu wangu mbona uniacha? Karibu kusikiliza mafundisho yetu.Katika sehemu ya kwan...
2024-03-18
49 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 24/3 JP Mitende || pt1 Injili
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 24/3 ni Jumapili ya Mitende, ukurasa 93 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya kwanza tunafundisha juu ya tukio la Yesu kuingia Yerusalemu kwa shangwe katika Marko 11:1–10 na tunafafanua mawazo kadhaa katika somo la Injili ambalo ni Marko 14:32–15:41.Sehemu ya pili, podi ifuatayo, inahusu Wazo Kuu la siku, Njia ya Msalaba, na masomo mengine, 1 Wakorintho 1:18–25, Zaburi 22, na Isaya 50:4–9.Karibu! This is a pub...
2024-03-18
45 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 17/3 JP5 Kwaresima || pt2 Ahadi za Mungu
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 17/3 ni Jumapili ya 5 wakati wa Kwaresima, ukurasa 92 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya pili tunafundisha juu ya wazo kuu la Ahadi za Mungu, kifungu cha Ebr 4:1–11, somo la nabii Ezekieli 37, na Zaburi 116. Tunafikiria jambo la imani na ufufuo na kuendelea kushika ahadi za Mungu. Pia kuna mafundisho juu ya kusoma Agano la Kale kama ahadi na Agano Jipya kama utimilifu.Sehemu ya kw...
2024-03-12
50 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 17/3 JP5 Kwaresima || pt1 Yohana 11
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 17/3 ni Jumapili ya 5 wakati wa Kwaresima, ukurasa 92 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya kwanza tunafafanua kifungu cha Yohana 11 juu ya ufufuo wa Lazaro, na maana yake kwa Yesu na tutatafakari zaidi jambo la ufufuo na wafu na kufiwa. Podi ifuatayo ni sehemu ya pili na hapo tutafundisha juu ya wazo kuu la Ahadi za Mungu, kifungu cha Ebr 4:1–11, somo la nabii Ezekieli 37, na Zaburi 116....
2024-03-11
42 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 10/3 JP4 Kwaresima || Waefeso 2:1–10
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 10/3 ni Jumapili ya 4 wakati wa Kwaresima, ukurasa 91 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya tatu tunafafanua kifungu cha Waefeso 2:1–10 na kufundisha mambo ya kuokolewa kwa neema yaliyoandikwa humo na hasa kufikiria ina maana gani kuokolewa mara moja kwa milele kwa vile Mungu alituumba mpya na kutuketisha pamoja na Yesu mbinguni tayari.Sehemu ya kwanza tulifundisha Yohana 3:14–21, na sehemu ya pili tulifundisha jambo la neem...
2024-03-06
26 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 10/3 JP4 Kwaresima || Neema ya Mbinguni
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 10/3 ni Jumapili ya 4 wakati wa Kwaresima, ukurasa 91 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya pili, tunafundisha wazo kuu la siku, neema ya mbinguni. Ni suala muhimu sana kwa maisha yetu na wokovu bali haieleweki vizuri katika kanisa la leo. Tunafundisha wazo la neema katika wokovu na maisha kwa mujibu wa Biblia.Katika sehemu ya kwanza iliyotangulia tunatoa mafundisho katika Yohana 3:14–21 na katika sehemu ya...
2024-03-05
39 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 10/3 JP4 Kwaresima || Yohana 3:14–21
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 10/3 ni Jumapili ya 4 wakati wa Kwaresima, ukurasa 91 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya kwanza, tunafundisha Yohana 3:14–21 pamoja na mambo makuu yake, upendo wa Mungu na imani. Katika sehemu ya pili tutajadili wazo kuu la siku, yaani, neema ya mbinguni kwa kufikira mafundisho ya Biblia nzima pamoja na changamoto za kupokea au kuelewa. Sehemu ya tatu itakuwa juu ya Waefeso 2:1–10 pamoja na kidogo kati...
2024-03-04
38 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 3/3 JP3 Kwaresima || Kujitenga na Uovu; 1 Kor 10
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 3/3 ni Jumapili ya 3 wakati wa Kwaresima, ukurasa 91 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya pili, tunafundisha wazo kuu la siku, kujitenga na uovu, pamoja na mazungumzo mazuri katika wazo la toba, na kujuta, kusikitika, na juu ya jambo la kuwaita watu waokoke kwa kufuatisha sala ya toba. Pia na Mike anafundisha katika 1 Wakorintho 10:1–13.Katika sehemu ya kwanza iliyotangulia tunatoa mafundisho katika Luka 13:1–9 na tuna...
2024-02-27
38 min
Assembly of Yahweh Natzraya
Mazungumzo ya Chumba cha Juu.
Mazungumzo ya Chumba cha Juu, hutoa umaizi waliopata wanafunzi kutokana na mazungumzo ya faragha na Yehoshua Natzraya, Masihi wa Yahweh. Tazama - Naye atawaonyesha chumba kikubwa cha juu, kilichopambwa na tayari. Fanya maandalizi kwa ajili yetu huko (Marko 14:15, na Luka 22:12). Masomo haya yalifundishwa mbali na umati na faraghani ( Mk 4:10, 33-34 ) Mara tu Yehoshua alipokuwa peke yake pamoja na wale Thenashara na wale waliokuwa karibu naye, walimwuliza kuhusu mfano huo, 4:33 Kwa mifano mingi kama hiyo Yehoshua. alizungumza nao neno, kwa kadiri ambayo wangeweza kuelewa. 4:34 Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano. Lakini kwa faragha alieleza kila kitu kwa wanafunzi wake mwenyewe. Katika...
2024-02-27
16 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 3/3 JP3 Kwaresima || Luka 13; Zab 103; Kut 3.
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 3/3 ni Jumapili ya 3 wakati wa Kwaresima, ukurasa 91 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya kwanza tunatoa mafundisho katika Luka 13:1–9 na tunajadiliana jambo la mateso, maafa, adhabu na dhambi. Mike anasema kidogo katika Zaburi 103:1–13 na Kutoka 3:1–15. Katika sehemu ya pili itakayofuata, tunafundisha wazo kuu la siku, kujitenga na uovu, pamoja na mazungumzo mazuri katika wazo la toba, na kujuta, kusikitika, na juu ya jambo la kuwaita watu w...
2024-02-26
45 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 25/2 JP2 Kwaresima || Utakaso (b), 1 Kor 6:1–11, Zab 119:33–40, Mwa 7:17–24
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 25/2 ni Jumapili ya 2 wakati wa Kwaresima, ukurasa 90 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo sehemu ya pili tunaendeleza mafundisho katika utakaso halafu na kusema juu ya masomo mengine, 1 Kor 6:1–11, Zaburi 119:33–40, na Mwanzo 7:17–24. Kwa podi iliyotangulia, sehemu ya kwanza, tunafundisha juu ya Mathayo 17:1–9, Yesu kugeuka sura na maana yake, na tunafundisha juu ya wazo kuu la siku ambalo ni Utakaso. Karibu.
2024-02-20
29 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: 25/2 JP2 Kwaresima (1) || Mat 17:1-9, Utakaso
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 25/2 ni Jumapili ya 2 wakati wa Kwaresima, ukurasa 90 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo podi, sehemu ya kwanza, tunafundisha juu ya Mathayo 17:1–9, Yesu kugeuka sura na maana yake, na tunafundisha juu ya wazo kuu la siku ambalo ni Utakaso. Kwenye sehemu ya pili tutaendeleza mafundisho katika utakaso halafu na kusema juu ya masomo mengine, 1 Kor 6:1–11, Zaburi 119:33–40, na Mwanzo 7:17–24.Karibu. This is a public e...
2024-02-19
44 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: Jumapili 1 Kwaresima || Kufunga
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 18/2 ni Jumapili ya 1 wakati wa Kwaresima, ukurasa 89 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo podi, sehemu ya pili, tunafundisha juu ya jambo la kufunga ambalo ni wazo kuu la siku na tunasema kidogo juu ya masomo mengi, yaani Mwanzo 4:1–10, Zaburi 119:1–8 na 1 Petro 4:1–11. Kwa mafundisho katika Luka 4:1–13 karibu ukasikiliza podi iliyotangulia, sehemu ya kwanza.Karibu. This is a public episode. If you would like to...
2024-02-13
26 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: Jumapili 1 Kwaresima || Luka 4:1–13
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 18/2 ni Jumapili ya 1 wakati wa Kwaresima, ukurasa 89 katika kitabu cha sala.Kwenye hiyo podi tunafundisha somo la Injili, Luka 4:1–13 pamoja na mambo ya kujaribiwa na dhambi na jinsi ambavyo Yesu alishinda kwa ajili yetu. Kwa podi itakayofuata tunasema zaidi juu ya jambo la kufunga ambalo ni wazo kuu la siku na tunasema kidogo juu ya masomo mengi, yaani Mwanzo 4:1–10, Zaburi 119:1–8 na 1 Petro 4:1–11.Karibu.
2024-02-12
49 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: Jumapili ya 1 kabla ya Kwaresima (2) || 1 Yn 4, Zab 32, Hes 15
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 11/2 ni Jumapili ya 1 kabla ya Kwaresima, ukurasa 88 katika kitabu cha sala. Kwenye hiyo podi tunafundisha somo la waraka, 1 Yohana 4:7–21, Zaburi 32, na somo la Agano la Kale: Hesabu 15:32–36. Somo la Injili na Wazo Kuu tulizifundisha katika sehemu ya kwanza, podi iliyotangulia.Karibu. This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus epis...
2024-02-06
39 min
Wahubiri wa Neno Pod
Mafundisho ya Biblia: Jumapili ya 1 kabla ya Kwaresima (1) || Yn 15, Upendo
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.Wiki hii ya Jumapili tarehe 11/2 ni Jumapili ya 1 kabla ya Kwaresima, ukurasa 88 katika kitabu cha sala. Kwenye hiyo podi tunafundisha Yohana 15:1–17 na Wazo Kuu la siku: Upendo. Masomo mengine tutayafundisha katika podi ifuatayo.Karibu. This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com
2024-02-05
39 min
Salama Na
SE7EP36 - SALAMA NA ALLY BEE | KULE NI KULE…
Kwenye jiji la ‘Maraha’ hapa nyumbani kwetu Tanzania ambayo kwa miaka ya hivi karibuni sehemu za starehe zimekua tele na kila mmoja ana uwezo wa kula bata zake vizuri tu kulingana na urefu wa mfuko wake basi hakuna ambaye HAJUI jina la DJ huyu mahiri ambaye kwa ubunifu wake ameweza sana kubadilisha kabisa jinsi ambavyo wenzake walomtangulia walikua wanafanya. Yaani Ally alikichukua kitabu cha jinsi ya kutoa burudani kama DJ na kukichanachana na kisha akaanza kuandika cha kwake, ambacho mpaka tunaenda mtamboni kiiila msomaji wake anapeeenda ambayo yameandikwa na ambayo anaendelea kuyaandika. Wakati msimu huu unaanza Ally Bee...
2023-02-16
1h 04
Mahubiri kupitia Wagalatia - KUTOKA TOHARA YA MWILI HADI MAFUNDISHO YA TOBA (II)
SURA YA 4-2. Je! Wewe na Mimi Tuna Imani Sawa na Ile ya Abraham? (Wagalatia 4:12-31)
Masharti kama vile kujitengenezea Wakristo au kanisa lenye watu watu wengi,linaloonekana kuwa maarufu sana,haswa miongoni mwa jamii za Wakaristo wa Dunia ya Tatu.Wanajaribu kubadilisha ukristo wa Magharibi kuwa aina moja ambayo inaambatana zaidi na tamaduni zao.Wanasisitiza sana kifungu cha pili cha uhasama wa jadi,Umoja katika mambo muhimu,uhuru katika vitu visivyo vya msingi na hisani katika mambo yote.Lakini jambo la bahati mbaya ni kwamba hawajua mambo muhimu ni yapi au ni nini.Walakini,injili ya maji na Roho iliyoenezwa na sisi haiwezi kudhihirishwa katika hali tofauti nay ale yaliyomo katika injili hii.Na...
2023-01-15
1h 06
Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo H
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika...
2022-11-30
28 min
Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo G
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika...
2022-11-30
29 min
Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo F
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika...
2022-11-30
28 min
Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo E
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika...
2022-11-30
29 min
Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo D
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika...
2022-11-30
30 min
Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo C
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika...
2022-11-30
29 min
Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo B
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika...
2022-11-30
29 min
Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo A
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika...
2022-11-30
24 min
Salama Na
SE7EP17 - SALAMA NA ROSE MUHANDO | NIPE UVUMILIVU
Katika binadamu ambao walinipa wakati mgumu na kusubiri kwingi kabla ya kuja kukaa kwenye meza yetu ya kigae na kiti chakavu basi mmoja wao ni Rose huyu wa Muhando. Upatikanaji wake ni kama ukitaka kumuona SIMBA mbugani, lazima uamke asubuhi na mapema au uwe na bahati ya mtende kama ambayo sisi tumepata. Ingawa tulisubiri kwa masiku tele na miezi tele katikati ya mwaka huu tuliweza kumpata na kukaa nae chini ili tuweze kuzungumza nae. Rose ni wa moto sana, kalenda yake imejaa safari tele za nje na ndani ya nchi, anazunguka mara kwa mara kwaajili ya kutoa...
2022-10-06
1h 20
Assembly of Yahweh Natzraya
Rosh Hashanah Salam
Karibu Rosh Hashanah 5783, mkuu au ya kwanza ya mwaka, maadhimisho ya viumbe wa dunia, juu ya septemba 26, 2022, siku ya kwanza ya mwezi wa saba katika kalenda ya kiyahudi ambayo ni sikukuu ya Tarumbeta au siku ya Blowings. Naomba kwa ajili yenu kama mimi mwenyewe kwamba jina lako na jina langu kuandikwa na kufungwa katika kitabu cha uzima kama wewe kuondoka mwaka 5782 na kuingia mwaka 5783.
2022-09-26
02 min
Swahili
Afadhali Ungeamini!
Kitabu cha Waebrania kimejaa maonyo na maonyo kuhusu hila ya uasi. Kusudi la kitabu hiki pia ni kuondoa madai ya uwongo ya wale ambao walikuwa bado hawajaweka kiapo cha imani. “Mwonyane kila siku, maadamu iitwapo, ‘Leo,’ ili mmoja wenu asifanywe mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.
2022-06-16
26 min
Swahili
Waumini dhidi ya Wababeli
Danieli na marafiki zake watatu walichukuliwa na kusomeshwa katika vyuo vikuu vya Babeli. Mungu alitumia amri ya mfalme kumweka kimkakati nabii huyu huko Babeli ili awatumikie wafungwa wengine. Kitabu cha Danieli kimegawanywa katika sehemu mbili: masimulizi ya kihistoria, na ufunuo wa kinabii. Ezekieli, Yohana, na Danieli walitabiri kuhusu siku za mwisho na pia walikuwa manabii wa walio uhamishoni. Maisha ya Danieli ni mfano mzuri wa kuishi maisha madhubuti, safi, ya kumcha Mungu katikati ya mazingira ya uhasama.
2022-06-16
25 min
Swahili
Kiwango cha Uamuzi
Katika kitabu cha Hesabu tunajifunza kwa nini Waisraeli walichukua miaka 40 kufanya safari ya siku 11 na jinsi Waisraeli walifanya makosa kumi. Kipande hiki cha historia kinatuambia kitu kuhusu safari ya kiroho ya waumini wengi. Ikiwa unateseka kutokana na uzoefu wa “jangwani na bado hujaingia” katika Nchi ya Ahadi ya maisha tele yaliyoahidiwa katika Agano Jipya jiulize swali hili: Je, ninamtii Mungu kabisa?
2022-06-16
24 min
Iran-Tanzania Podcast
MALENGA WA KIIRANI SAADI SHIRAZI
Musharraf al-Din Mosleh ibn Abdullah ibn Musharraf, ambaye baadaye alijulikana kama Saadi Shirazi, ni mmoja kati ya malenga na mshairi mkubwa na mashuhuri nchini Iran. Wanahistoria wanaamini kwamba Saadi Shirazi alizaliwa kati ya mwaka 600 na 610 Hijiria (sawa na takriban mwaka 1210 Miladia). Walakini, hakuna tarehe kamili inayojulikana ya kuzaliwa kwa malenga huyu, ingawa wanahistoria wanakadiria mwaka huo wa kuzaliwa kulingana na athari za kazi zake. Saadi alizaliwa katika familia ya wanazuoni, wasomi na watu wenye maadili mema. Baba yake alikuwa mfanyakazi wa Mahakama ya Atabak na Shah Saad bin Zangi. Wengine wanaamini kwamba mshairi huyu amechagua jina la ukoo la Saadi...
2022-04-21
13 min
li's podcast
Siwiti Online REDIO Kipindi Cha Tulizo La Upendo.
Habari, mfatiliaji wa Siwiti, program, Karibu sana kusikiliza online REDIO channel yangu kwa njia ya Podcast. Ni hatua za awali kabisa za majaribio kwenye REDIO channel hii kwa sasa bado program za vipindi vichache.1. Neema ya Asubuhi Kila siku Jumatatu - Ijumaa saa 6:30- 6:50 asubuhi2. Hamasika time kila Jumatatu- Alhamis saa kumi na Moja jioni3. Tafakari Biblia kila saa 3:00 usiku4. Tulizo la upendo 5:00 usiku5. Saturday book analysis (uchambuzi wa kitabu) saa 3:00 - 3:30 Asubuhi6. Ibada zetu Jumapili saa 2:00 usiku
2022-02-10
15 min
Ongea Na Kocha.
ONGEA NA KOCHA; Miminalist Entrepreneur, Tathmini Ya Robo Mwaka, Changamoto Ya Siku 100.
Habari mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo kuna mambo makubwa matatu.Moja ni uchambuzi wa kitabu kinachoitwa MINIMALIST ENTREPRENEUR kilichoandikwa na Sahil Lavingia.Hiki ni kitabu ambacho Sahil ameshirikisha safari yake ya kujenga biashara kwa kuzingatia yale ya msingi badala ya kuhangaika na sifa zisizo na tija.Kwenye kipindi hiki tumejadili mambo nane ya msingi ambayo Sahil ameshirikisha kwenye kitabu kama ifuatavyo;1. Msingi mkuu wa kuzingatia kwenye biashara ni THAMANI na FAIDA. Toa thamani kwa wateja na hakikisha biashara inaingiza faida.2. Anza na jumuia uliyopo. Waangalie wa...
2022-02-07
3h 08
Ongea Na Kocha.
Ongea Na Kocha; Billionaire In Training, Helanane Ilomo.
Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo kuna mambo makubwa mawili.Jambo la kwanza ni uchambuzi wa kitabu cha BILLIONAIRE IN TRAINING. Hiki ni kitabu muhimu sana kwenye safari yetu ya kuelekea kwenye uhuru wa kifedha. Na ndiyo kitabu kitakachokuwa mwongozo mkuu kwetu.Kwenye uchambuzi huo tutajifunza kuhusu utajiri na ukwasi na njia tatu za kupata utajiri na ukwasi. Na pia tutajifunza ngazi tano za ujasiriamali, kuanzia sifuri ambayo ni kuajiriwa, kisha kujiajiri, umeneja, umiliki, uwekezaji na hatimaye ujasiriamali.Huu ni uchambuzi muhimu sana ambao pia utaendelea kwa kina...
2022-01-24
3h 19
Ongea Na Kocha.
Ongea Na Kocha; Breakfast With Seneca (Falsafa Ya Ustoa)
Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tumepata nafasi ya kujadili kwa kina uchambuzi wa kitabu kinachoitwa Breakfast With Seneca.Ni kitabu kinachoelezea vizuri falsafa ya Ustoa kwa namna inavyoweza kutumika kwenye zama tunazoishi sasa.Mwandishi amekusanya pamoja kazi za Seneca kwa namba ambayo zinajibu changamoto nyingi tunazokabiliana nazo kwa sasa.Baadhi ya changamoto kubwa ambazo kitabu hiki kimeziangalia ni;Hasira.Hofu na wasiwasi.Utajiri na Umasikini.Magumu na changamoto mbalimbali.Muda.Kwa ujumla, kitabu kizima kinatusaidia...
2022-01-17
1h 58
Ongea Na Kocha.
Ongea Na Kocha; Andika, Dedicated, Selemani Mbwambo.
Habari Mwanamafanikio?Karibu usikilize kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambacho kina mambo makubwa na muhimu kama ifuatavyo;Kwenye somo la juma utajifunza umuhimu wa Kuandika vitu ili uweze kufikiri vizuri na kuweza kuvikamilisha. Unapofikiria tu vitu huvipi msisitizo mkubwa kama ukiviandika chini. Hivyo unapaswa kujijengea utamaduni wa kuyaandika malengo yako kila siku, kuandika mipango yako ya siku, kuandika yale uliyojifunza na kuandika tathmini zako binafsi. Sikiliza kipindi kujifunza hilo kwa kina.Kwenye kitabu cha wiki utapata uchambuzi wa kitabu Dedicated: The Case for Commitment in an Age of Infinite Browsing kilichoandikwa na Pete Davis...
2021-12-20
3h 32
Ongea Na Kocha.
ONGEA NA KOCHA; Kupata Hamasa Isiyoisha, Kitabu cha Four Thousand Weeks na Mahojiano na Regina Panga.
Karibu mwanamafanikio kwenye kipindi hiki cha ONGEA NA KOCHA.Kwenye kipindi hiki unakwenda kujifunza mengi kwa kina kama ifuatavyo.Kwenye somo la juma tunajifunza jinsi ya kupata hamasa isiyoisha ili uweze kuyafanyia kazi malengo yako bila kurudi nyuma. Hapa utajifunza hatua tano za kuchukua kwenye kila siku yako ili kuchochea hamasa yako.Kwenye kitabu cha juma utajifunza dhana kuu ya udhibiti na usimamizi mzuri wa muda wako ambayo ni muda tayari una ukomo huku mambo ya kufanya yakiwa mengi. Kwa kukubali ukomo huo wa muda na kuchagua yapi unafanya na yapi hufanyi itakusaidia sana...
2021-12-06
3h 09
Shakilah's Tales
THE RACE IS DIFFERENT
Natumai kikosi kizima mko salama. Ni dhahiri kuwa kila siku tunathirika na misukumo ya maisha na wakati mwingine inaweza tuathiri tukapotea njia ama kujishuku kuwa maisha yako hayaendi sawa. Kumbuka maisha haya kila mmoja ana kitabu chake cha kuandika hivo basi usijipime na maisha ya mwenzio kwa sababu nyie wote ni watu wawili tofauti, wanaotoka mahali tofauti kabisa. Skiza kipindi hiki kupata bayana ya mambo,usisahau kupitisha ujumbe upande ule mwingine na kusubscribe. # ni ShakilahsTales. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/shakilah-ochara/message Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show...
2021-10-08
10 min
Babananiii
Mithali Sura 1
Nimeadhamiria kukisoma kitabu cha Mithali kwa siku 31 kama zilivyo sura zake. Nimependelea kukisoma kwa sauti na kukushirikisha simulizi ya kitabu hiki.
2021-06-24
03 min
SIRI ZA BIBLIA
DHAMIRA YA KUIFUTA ISRAEL KWENYE RAMANI YA DUNIA - Sehemu ya PILI
Baada ya vita ya 1948-1949 nchi jirani zilikataa kutambua dola la Israeli. Hali ya vita ikaendelea ingawa bila mapigano kati ya majeshi makubwa. Wanamgambo wa Wafedayin Wapalestina waliendelea kuvuka mpaka kutoka makambi ya wakimbizi na kushambulia vijiji vya Kiyahudi. Wanamgambo hao walipata mara nyingi silaha na mafunzo kutoka kwa majeshi ya Misri na Syria. Vita ya 1948-1949 ilisababisha ghasia na mashambulio dhidi ya Wayahudi walioishi katika nchi za Kiarabu. Nchi kadhaa za Kiarabu ziliweka sheria za ubaguzi dhidi ya Wayahudi. Hivyo katika miaka baada ya kuundwa kwa Israeli karibu Wayahudi wote waliondoka au walifukuzwa katika nchi za Kiarabu...
2021-05-15
16 min
SIRI ZA BIBLIA
MPANGO MPYA WA ULIMWENGU/NEW WORLD ORDER PART 2
Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru. Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, yule joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi. Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule...
2021-03-05
07 min
Salama Na
Ep. 40 - Salama Na KADUGUDA | SIMBA WA YUDA
Mara ya kwanza kukutana na Mwina Kaduguda na tukaongea kiasi ilikua kwenye seminar ambayo timu ya Simba ya wanawake ilikua imeandaliwa kwaajili ya kuwaweka sawa kwenye masuala ya biashara, jinsi ya kujitunza wao na vipaji vyao, jinsi ya kuishi na umaarufu na pia kusimamia masuala yao ya kifedha. Mzee Kaduguda alikuwepo kwenye kikao hiko akiwa kama Mwenyekiti wa klabu ya Simba, na pia mmoja wa watoa nasaha kwa mabinti hao. Na kusema za ukweli toka siku hiyo baada ya kumsikiliza akiongea na wachezaji wale pamoja na Mimi ambaye nilikua mgeni tu kwenye seminar ile, nilivutiwa sana na...
2020-11-05
00 min
Amedeus Live Podcast
Jina lake lina Mamlaka Yote
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 14, 2020. Matendo 3:16 Na kwa imani katika jina lake, jina lake limemtia nguvu mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote. Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pakua rhapsodi app leo kupitia lin...
2020-10-14
10 min
Amedeus Live Podcast
Yesu ni Neno Lililojivika Mwili
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 13, 2020. Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika (Yohana 1:1-3). Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pakua rhapsodi app leo kupitia li...
2020-10-13
10 min
Amedeus Live Podcast
Chukua Nafasi yako kama Mfalme-Kuhani
Rhapsodi ya Uhakika - Oct 12, 2020 Ghasia hazitasikika tena katika nchi yako, wala ukiwa au uharibifu ndani ya mipaka yako, bali utaziita kuta zako Wokovu na malango yako Sifa (Isaya 60:18 tolea la “AMPC”). Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pakua rhapsodi app leo kupitia link hii. https...
2020-10-12
11 min
Linus Siwiti's podcast
TAFAKARI BIBLIA ,,,,,KITABU CHA NAHUMU- Linus Siwiti's podcast
Karibu kwenye Tafakari Biblia siku ya Leo tuaanza kutafakari kitabu Cha Mahumu kwa siku Tatu.
2020-10-08
15 min
Amedeus Live Podcast
Sisi tu watu wa Namna Yake - ROR Oct 8, 2020
2Co 6:16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pa...
2020-10-08
09 min
Amedeus Live Podcast
Dumisha Hamasa yako kwa ajili ya Injili - ROR Oct 7, 2020
Rom 12:11 kwa bidii, si walegevu; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana; Kuwa mwenye bidii na hamasa katika kazi ya injili. Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pakua rhapsodi app leo kupitia link hii. https://t.co/GFr1tICObJ Jiunge na mtandao wa w...
2020-10-08
09 min
Amedeus Live Podcast
Unakila kitu unachokihitaji
ROR Oct 6, 2020. Baada ya mambo hayo neno la Bwana likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, MIMI NI NGAO YAKO, NA THAWABU YAKO KUBWA SANA Mwanzo 15:1 > Mungu ni urithi wako, fungu lako, Ngao yako, tambua hili na tembea katika maarifa ya kweli hii. Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo...
2020-10-06
11 min
Amedeus Live Podcast
Rhapdosi ya Uhakika - Oktoba 2020
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1 na bofya link hii kupakua app ya rhapsodi leo hii. https://t.co/GFr1tICObJ
2020-10-01
50 min
Amedeus Live Podcast
Rhapdosi ya Uhakika - September 2020
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1
2020-09-01
5h 10
Amedeus Live Podcast
Rhapdosi ya Uhakika - August 2020
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1
2020-08-01
7h 12
Amedeus Live Podcast
Rhapdosi ya Uhakika - Julai 2020
Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome. Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote. Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1
2020-07-01
7h 06
Salama Na
Ep. 17 - Salama Na Shikana | DYNAMITE
Mi na rafiki yanyu huyu tumepishana zaidi ya miaka kumi na nne, wakati anazaliwa mimi nilikua nagombana na makondakta kupata nafasi kwenye chai maharagwe ya kutoka Buguruni kuelekea Posta. Ila kupishana kwetu kwa umri naamini ndo kunaufanya ushoga wetu uwe special zaidi, maana yeye akiwa ananikhadithia kinachokiki kwenye umri wake, nami nakua namuelezea challenges za unapozidi kukua na naamini hii inatufanya tuwe bora zaidi. Na ki ukweli mara nyingi yeye amekua shujaa wangu, maana kuna mengine mazito kwake yanakua mepesi tu na hunisaidia kuona mambo kwa picha tofauti. Kwa hilo namshukuru sana. Wakati mwengine wanasema umri sio kipimo cha...
2020-05-21
45 min
Morning Star Service. Kamata Asubuhi.
Ibada Ya Morning Star ( Neno pamoja na maombi)
Mwongozo wa Maombi leo tarehe 8-9 Mei, 2020 – Namtumikia Mungu wa Maagano na anajibu kwa MotoBado tupo katika mwezi wa Mei, 2020 ambao umetangazwa kiunabii kuwa ni mwezi wa “Natembea na Mungu wa Maagano” kulingana na kitabu cha Isaya 54:10 Katika ibada ya Jumapili tulipokea ushuhuda wa dada mmoja ambaye amemaliza Masters ya Uchumi na matokeo mazuri sana, hata hivyo hakufanikiwa kupata kazi kwa miaka sita. Baada ya kugundua siri ya kumtumania Mungu wa maagano alitafakari maandiko na kukumbuka Bwana Yesu aliposema katika kitabu cha Yohana 14:15 “Mkinipenda mtazishika amri zangu” Je amri za Yesu ni zipi? Bwana Yesu alitupa amri kuu t...
2020-05-08
15 min
Amedeus Live Podcast
Rhapsodi ya Uhakika - May 2020
Pata wasaa wa kusikiliza neno la Mungu kila siku kupitia kitabu cha Rhapsodi ya Uhakika, chenye neno la kila siku. Kitabu hiki kina andikwa na Mchungaji Chris Oyahkilome na kinasomwa kwenu na Mtumishi Amedeus Deogratius.
2020-05-01
6h 40
Ujumbe Wa Siku
NANI ATALIA UTAKAPOFARIKI?
SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU CHA SIKU | MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI | JINSI YA KUPATA...
2020-02-08
21 min
Ujumbe Wa Siku
SHERIA YA SEKUNDE 5
SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU CHA SIKU | MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI | JINSI YA KUPATA...
2020-02-08
21 min
Ujumbe Wa Siku
UZA AU UUZWE
SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU CHA SIKU | MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI | JINSI YA KUPATA...
2020-02-08
36 min
Salama Na
Ep. 1 - Salama Na Lil Ommy | AIR TABORA
2016 ndo mwaka nilikutana na Lil Ommy mara ya kwanza, pengine nilishawahi kukutana naye huko nyumba ila sikumbuki. Aliniomba niende kwenye kipindi chake cha The Playlist enzi hizo kikiwa Jumamosi asubuhi ya tarehe 20 mwezi wa nane. Sikuwahi kupenda kufanyiwa interview ila siku hiyo nilimpa Ommy nafasi, sikuwahi kujutia na pengine hiyo ndo sababu ya kumfanya yeye awe mgeni nambari moja kwenye Podcast hii. Anayejitambua, anayejituma, anayesoma, mwenye nia na mipango endelevu… Nilimuomba aje na hapa tulizungumza karibia yote. Ya kwao Tabora, familia yao, marehemu Mzee wake, marehemu Dada yake, ndugu zake wa kambo, utundu wa udogoni, kutafuta kazi, maisha ya mj...
2020-01-30
1h 07
Ujumbe Wa Siku
SHINDA
SHINDA
2020-01-29
15 min
Ujumbe Wa Siku
ISHI NDOTO ZAKO
ISHI NDOTO ZAKO
2020-01-29
24 min
Ujumbe Wa Siku
NGUVU YA FIKRA YAKO USIYO ITAMBUA
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-21
24 min
Ujumbe Wa Siku
SIRI
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-21
18 min
Ujumbe Wa Siku
KUWA
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-21
11 min
Ujumbe Wa Siku
NGUVU YA UMASIKINI
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-21
21 min
Ujumbe Wa Siku
TUKUTANE KILELENI
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-19
08 min
Ujumbe Wa Siku
SANAA YA KUTONGOZA
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-19
26 min
Ujumbe Wa Siku
MLINGANYO WA FURAHA
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-16
19 min
Ujumbe Wa Siku
JINSI YA KUPATA MARAFIKI NA KUSHAWISHI WATU
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-16
17 min
Ujumbe Wa Siku
SAYANSI YA KUWA TAJIRI
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-16
10 min
Ujumbe Wa Siku
MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu.be/5KoOcqy344c SEHEMU YA 5 || SAYANSI YAKUA TAJIRI - https://youtu.be/lrwJ3L_aByk SEHEMU YA 6 | UJUMBE WA SIKU | KITABU...
2020-01-16
19 min
Ujumbe Wa Siku
KWANINI WANAFUNZI WA UFAULU ''A'' HUFANYIA KAZI WENYE UFAULU ''C''
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu...
2020-01-16
14 min
Ujumbe Wa Siku
MTAWA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu...
2020-01-16
13 min
Ujumbe Wa Siku
KWANINI UIVUNJE SASA
UJUMBE WA SIKU || KITABU CHA SIKU || MUHTASARI WA VITABU KWA KISWAHILI || SEHEMU YA 1 | | GARY VEE | | KWANINI UIVUNJE SASA - https://youtu.be/rIp6XbGwmCg SEHEMU YA 2 | | MTAWA WA ALIYEUZA GARI LAKE LA KIFAHARI - https://youtu.be/kLQW5d8M7Bc SEHEMU YA 3 | | ROBERT KIYOSAKI || KWANINI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''A'' HUFANYIA KAZI WANAFUNZI WENYE UFAULU WA DARAJA ''C'' - https://youtu.be/rA4WfT_qMzY SEHEMU YA 4 || MCHEZO WA MAISHA NA JINSI YA KUUCHEZA - https://youtu...
2020-01-16
11 min
Mwalimu Huruma Gadi
A6: MABADILIKO YA KUDUMU KATIKA FEDHA NA UCHUMI
Katika kitabu cha Yakobo 2: 20 imeandikwa imani pasipo matendo imekufa, imani siku zote iliyo kamili inafanya kazi na matendo, imani isiyokuwa na matendo hiyo imani haizai ama haikufaidii kitu, imani inatenda kazi na hatua na imani inakamilishwa na hatua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii akichambua jambo la pili la kuzingatia ili kuwa na matokeo ya kudumu katika fedha na uchumi wako.
2019-11-01
29 min
Ni Salama
Namna ya kujiandaa kukikabili kipindi hiki cha siku za mwisho (Sehemu ya tatu)
Tutakusanyika mbele za Bwana tutaimba na kushangilia. Kama Yesu asingekufa msalabani safari yake ingekuwa bure. Maana angeishia kuponya watu na ingekuwa bure tu. Kama asingekufa na akafufuka ingekuwa shida sana. Biblia inasema ulitokea ubishi juu ya kiama ya wafu ule ubishi ulileta mtengano katika dini ya wayahudi na ukatengeneza dini ya masadukayo. Ugomvi wao ulikuwa ni imani yao juu ya kiama ya wafu. Huo ubishi ukaletea mgawanyo mpaka ndani ya kanisa wakati ambao watu wameanza kuokoka. Ilibidi Roho Mtakatifu amsemeshe Paulo aandike barua kwa Wakorintho ili wajue kuwa kama Kristo hakufufuka imani yetu ni bure maana yake...
2019-08-15
10 min
Ni Salama
Namna ya kujiandaa kukikabili kipindi hiki cha siku za mwisho (Sehemu ya pili)
Katika siku hizi za mwisho ambazo Yesu anakaribia kurudi dunia lazima ijue, mkubwa kwa mdogo lazima wajue kwamba kurudi kwa Bwana kumekaribia. Biblia inasema na watakatifu na wazidi kujitakasa, wanaofanya kazi ya Mungu na wafanye upesi maana Roho pamoja na malaika na watumishi wanasema njoo, maana yake kuna kitu kinachomzuia asije. Biblia inasema injili ya Ufalme wa Mungu itakapohubiwa kote, anasubiri tufanye kazi yake. Kama umesoma kitabu cha Luka wakati Yesu amefufuka Luka 24:44 Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya...
2019-08-14
09 min
Ni Salama
Kumwamini Mungu kwa kumfuata Yesu Kristo (Sehemu ya Tatu)
Kwa hiyo tangu wakati ule kuna vitu ambavyo alivyokuwa anafanya moja kwa moja vinazaa tena mfano wa kile kitu alichobeba. Sasa unaweza ukaelewa kwa nini katika kipindi hiki cha Agano jipya ni lazima tuzaliwe kwa mara ya pili. Maandiko yanatuambia ndani yake tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu na Biblia inatuambia tutaishi kwa imani Ni imani ya namna gani? Waebrania anasema Waebrania 11:6 “Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.” IMANI YA KWANZA NI HII:- PASIPO IMANI HAIWEZEKANI KUMP...
2019-07-19
10 min