Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Naweza Show

Shows

SBS Swahili - SBS SwahiliSBS Swahili - SBS SwahiliSteve "Na amini naweza kuwa kiongozi bora"Wanafunzi wa chuo cha ECU mjini Perth wana ingia debeni kuwachagua viongozi wao wapya.2024-10-2212 min99.8 p radio muliko la jamii99.8 p radio muliko la jamiiRadio 47 baze47NAWEZA AU SIWEZI???2024-07-1505 minSHADOTUBESHADOTUBEAsanteni sana wasikilizaji wangu, kama unatamani kufungua na kujifunza podcast, usisite kuuliza.Najua watu wengi wanapitia wakati mgumu sana katika kuuliza maswali ni namana gani mimi nimeweza kufungua podcast yangu, Naweza sema niko tayari kukufundisha na wewe uweze kufungua podcast yako. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/shadotube/message2023-03-1201 minROAD TO SUCCESSROAD TO SUCCESSWHAT HAPPENED TO THOSE DREAMS?? NINI KILITOKEA?Nini KILITOKEA kuhusu zile ndoto za utotoni?? Ukiamini kwamba huwezi basi hautoweza. Lakini ukiamini kwamba naweza, ufahamu wako utatengeneza njia za kuweza.2023-01-3109 min===== كلمات الحياة\===== كلمات الحياة" ، "الأخبار السارة" ، "ترانيم الإنجيل" - باللغات الرئيسية المستخدمة في جزر القمر" / / "Paroles de Vie", "Bonnes Nouvelles", "Chants Gospel" - Dans les Principales Langues Parlées aux Comores =====Swahili [Kenya] - "Yesu: Mwalimu & Mponyaji".3gp / 3gp."السواحيلية [كينيا] - "يسوع: المعلم والمعالجSwahili [Kenya] - "Jésus : Enseignant et Guérisseur".3gp / Swahili [Kenya] - "Jesus: Teacher & Healer".3gp //1 WAKORINTHO 13 - Upendo1Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele. 2Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu. 3Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote. 4Mwe...2022-12-131h 00Salama NaSalama NaSE7EP01 - Salama Na ZUCHU | SINDANOKuna usemi mmoja unaenda kama hivi, kulea mimba si kazi ila kazi ni kulea mtoto, tafsiri yangu naamini mhenga hapo alikua anatuambia kazi pengine inaanza baada ya kupata kazi, tunaelewa jinsi gani ambavyo kupata kazi huwa ni kazi. Tena kazi yoyote, haijalishi kama ni ya upishi au ulinzi au ufundi au hata u daktari, mi nawajua madaktari kadhaa ambao nao pia wanapata shida kupata hizo kazi. Na baada ya kupata shida zote hizo wakati wa kutafuta kazi basi kazi halisi huanza pale unapoipata sasa hiyo kazi yenyewe. Kazi ya Zuchu ilianza kabla hajaipata hiyo kazi yenyewe na...2022-06-1655 minUnaweza talksUnaweza talks30/100. Je, naweza kuoana au kuoa mtu wa imani na dini tofauti na yangu.Dini na imani tofauti zimekuwa changamoto kwenye mahusiano mengi hasa ya uchumba na urafiki, kuelekea ndoa.2022-03-1613 min===== كلمات الحياة\===== كلمات الحياة" ، "الأخبار السارة" ، "ترانيم الإنجيل" - باللغات الرئيسية المستخدمة في جزر القمر" / / "Paroles de Vie", "Bonnes Nouvelles", "Chants Gospel" - Dans les Principales Langues Parlées aux Comores =====Swahili [Kenya] - "Yesu: Mwalimu & Mponyaji".3gp / 3gp."السواحيلية [كينيا] - "يسوع: المعلم والمعالجSwahili [Kenya] - "Jésus : Enseignant et Guérisseur".3gp / Swahili [Kenya] - "Jesus: Teacher & Healer".3gp //1 WAKORINTHO 13Upendo1Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele. 2Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu. 3Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo ha...2022-02-031h 004_reigners4_reignersThe Peer TalkIn this Mini-episode, we had a Chat about Peer Pressure, how your Circle and Peers can Influence your behavior. Pombe Sigara naweza Wacha Bila Kung'ang'ana! Kaende Kaende! The Millennials Podcast2021-10-1831 min====\===="Bishaaro Wanaagsan", "Heesaha Injiilka", "Ereyada Nolosha" - Luqadaha Ugu Muhiimsan ee Lagu Adeegsaday Soomaaliya / "Good News", "Gospel Songs", "Words of Life" - Main Languages Used in Somalia ====Kiswahili (Baravenes) - "Yesu: Bwana na Mwokozi" / Swahili(Baravenes) - "Jesus: Lord and Saviour".3gpSawaaxilii (Baravenes) - "Ciise: Sayid iyo Badbaadiye" / "السواحلية - "يسوع: الرب والمخلص // 1 WAKORINTHO 13Upendo1Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele. 2Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu. 3Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote. 4Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni. 5Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida ya...2021-04-081h 01Naweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 10:Umuhimu wa Afya ya Uzazi kabla na baada ya ujauzitoHapa tunakuletea simulizi kutoka kwa Salome. Binti huyu alikuwa na ndoto ya kuwa fundi cherehani lakini aliozeshwa na familia akajikuta akipata mtoto na ndoto kupotea ilionekana kama ndoto yake ilikuwa matatani lakini baadae Salome alifanikiwa, Je alifanyaje?2020-06-0826 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 9: Umuhimu wa kumnyonysha mtoto maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya mwanzo bila kumpa kitu chochote..inakuletea simulizi kutoka kwa Chagu. Mama mkwe wake na Chagu hakuona umuhimu wa Chagu kumnyonyesha mwanae mchanga maziwa yake tu kwa miezi sita ya mwanzo, ni yapi yalimsibu chagu baada ya hapo.2020-06-0826 minSalama NaSalama NaEp. 17 - Salama Na Shikana | DYNAMITEMi na rafiki yanyu huyu tumepishana zaidi ya miaka kumi na nne, wakati anazaliwa mimi nilikua nagombana na makondakta kupata nafasi kwenye chai maharagwe ya kutoka Buguruni kuelekea Posta. Ila kupishana kwetu kwa umri naamini ndo kunaufanya ushoga wetu uwe special zaidi, maana yeye akiwa ananikhadithia kinachokiki kwenye umri wake, nami nakua namuelezea challenges za unapozidi kukua na naamini hii inatufanya tuwe bora zaidi. Na ki ukweli mara nyingi yeye amekua shujaa wangu, maana kuna mengine mazito kwake yanakua mepesi tu na hunisaidia kuona mambo kwa picha tofauti. Kwa hilo namshukuru sana. Wakati mwengine wanasema umri sio kipimo cha...2020-05-2145 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 8: Umuhimu wa kumpeleka mwanao katika kituo cha kutolea huduma za afya ili apate chanjo na kujenga kinga ya mwili wake.Hapa tutasikiliza simulizi ya Maua na mumewe Kingolile hawa wawili hakukamilisha ratiba za chanjo ya mtoto wao hivyo ikawapelekea kumuuguza kwa mda mrefu.2020-05-1426 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 7: Hatua za kuchukua pale tunapoona Dalili za Hatari kwa Mtoto Mchanga na jinsi ya kumkinga dhidi ya magonjwa.Sehemu ya 7 ya Naweza Show inakuletea simulizi kutoka kwa Tulia. Yeye ni binti aliyepitia maisha mengi magumu na machungu ndani ya jiji la dar es salaam, na tunajifunza umuhimu wa kuwapeleka watoto wetu katika vituo vya kutolea huduma za afya pale tupoona dalili hatarishi kwao na tunashauriwa kutowapa dawa watoto wetu bila kuwapima na kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya.2020-05-1426 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 6: Umuhimu wa Kumnyonyesha mtoto mchanga maziwa ya mama pekee kwa muda wa miezi sita ya awali.Sehemu ya 6 ya Naweza Show inakuletea simulizi kutoka Mama kiko.  Yeye ni Mama ila alishindwa kabisa kufuata kanuni za kumnyonyesha mwanae kwa kipindi cha miezi sita, sasa ni yapi yalimsibu mama kiko baada ya hapo? Simulizi hii itakufunza umuhimu ya maziwa ya mama kwa mtoto ndani ya miezi sita ya mwanzo bila kumpatia kitu chochote kile zaidi ya maziwa ya mama.2020-05-0226 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 5: Umuhimu wa Afya ya Uzazi kabla na baada ya ujauzitoKatika sehemu ya pili ya msimu mpya wa Naweza Show tunasikiliza simulizi kutoka kwa Bupe. Simulizi hii itakufunza mengi kuhusu umuhimu wa afya ya uzazi kabla na baada ya ujauzito.2020-04-2526 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 4: Hatua za kuchukua pale tunapoona Dalili za Hatari kwa Mtoto Mchanga na jinsi ya kumkinga dhidi ya malaria.Katika sehemu ya nne ya msimu mpya wa Naweza Show tunasikiliza simulizi kutoka kwa Sitti. Simulizi hii itafundisha mengi kuhusu hatua za kuchukua pale tunapoona dalili za hatari kwa mtoto. Na jinsi gani wanaume wanapaswa kushiriki katika malezi ya watoto na kuwapeleka watoto katika vituo vya kutolea huduma za afya pale tu waonapo dalili za hatari.2020-04-1826 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 3: Hatua za kuchukua pale tunapoona Dalili za Hatari kwa Mtoto MchangaKatika sehemu ya pili ya msimu mpya wa Naweza Show tunasikiliza simulizi kutoka kwa Waridi.   Simulizi hii itafundisha mengi kuhusu hatua za kuchukua pale tunapoona dalili za hatari kwa mtoto mchanga.2020-04-1326 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 2: Umuhimu wa Afya ya Uzazi kabla na baada ya ujauzitoKatika sehemu ya pili ya msimu mpya wa Naweza Show tunasikiliza simulizi kutoka kwa Bhoke.   Simulizi hii itakufunza mengi kuhusu umuhimu wa afya ya uzazi kabla na baada ya ujauzito.2020-04-0626 minSalama NaSalama NaEp. 10 - Salama Na MwanaFA | KARAMAWeekend mbili zilitopita rafiki yangu Mwinyi aka Mpwa aka Cousin aka Hamis alikua akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake na alikua amefiksha umri wa kustahili kusherehekea kwa kweli na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa maisha, mke wake kipenzi alinipigia simu siku nne kabla ya birthday ya mumewe na kutaka tujumuike nae kum suprise, pia akaniambia ana kazi sana ya kuweza kukamilisha hilo tukio maana jamaa (Mwana FA) kashasema yeye hana mango wa kutaka shughuli, angependa maisha yaendelee tu kama kawaida. Pengine alikua akitarajia dinner nyumbani na mkewe na wanawe basi. So kukawa na zoezi hapo la kuhakikisha jamaa hasomi mchongo na...2020-04-0255 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 1: Kumpeleka mtoto kwenye kituo cha afya anapoonesha dalili ya #Malaria. #NawezaSikiliza simulizi ya Ruta, kutoka Bukoba. Leo tutajifunza kuhusu umuhimu wa kumuwahisha mtoto kwenye kituo cha afya pale anapoonesha dalili za #Malaria. #Naweza2020-03-3025 minSalama NaSalama NaEp. 9 - Salama Na Khadija Kopa | ALIYEPEWA KAPEWAKhadija Omar Kopa.  Malkia wa mipasho na lejendari wa muziki wa Taarab kwenye ukanda huu na duniani kwa ujumla, mwenyewe kaniambia yeye kwenda Arabuni na Ulaya ni jambo la kawaida tu kwake maana hayo kayaanza kuyafanya kitaaambo sana. Kitambo kweli naweza sema, mimi nimeanza kumfahamu Da Khadija toka kigori kabisa, na amekua hapo kwenye standard hiyo hiyo kwa miaka nenda na miaka rudi. Hii bila ya shaka imetokana na kwamba na yeye alianza kufanya hizo kazi akiwa bado msichana mbichi kabisa. Na ameweza kutuliza akili yake na ku maintain standard na status yake kwa miaka nenda...2020-03-2650 minSalama NaSalama NaEp. 6 - Salama Na MxCarter | LENSMANLENSMAN Touch yake katika mambo mengi ndo ambayo inamfanya awe tofauti sana na vijana wengine walokuja mjini nae kwa wakati mmoja, uzuri ni kwamba nilikuwepo wakati mabegi (kama yalikuwepo) hata hayajatua uzuri chini ndo hapo nilikutana na Mashala, aka Michael Sylvester ‘Carter’ Mlingwa. Kwanza ilikua kujuana kwa kwenye mitandao tu na hiyo ni khadithi ya siku nyengine. Kwa wanao nifahamu mimi wanajua kama ni ngumu haswa kumuingiza mtu katika maisha yangu, awe karibu yangu, ajue undani wangu ndo maana nina watu wengi ninaofahamiana nao ila wanaonijua ni wachache. Michael ni mmoja ya watu wanaonijua mimi, na naweza kusema nami namj...2020-03-091h 07Salama NaSalama NaEp. 2 - Salama Na Marco Chali | DOKTADOKTA Marco na mimi tumekua marafiki wa miaka mingi na moja kati ya vitu vimetufanya tuwe marafiki ni kufanana kwetu kwa kupenda vitu vya aina moja. Kuanzia teknolojia mpaka muziki, nakumbuka siku ya kwanza kukutana naye, ilikua ni uzinduzi wa kipindi cha Bongo Star Search ambao ulifanyika Much More pale juu, alinifuata akaniambia juu ya mapenzi yake ya kipindi changu cha Planet Bongo enzi hizo na baada ya hapo ikawa ni urafiki ulodumu mpaka leo. Kipindi changu cha Mkasi kilizaliwa kwenye kibaraza cha studio kwa Marco Chali pale MJ RECORDS ambako ilikua ni maskani yetu kubwa mimi na...2020-02-091h 03Naweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 12 (Janet): Umuhimu wa mwenzi kupimwa VVU iwapo mama mjamzito anaishi na VVUMaisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya kumi na moja ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Janet.2019-06-0625 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 11 (Aisha): Dalili hatarishi kwa mtotoMaisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya kumi na moja ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Aisha.2019-05-2824 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 10 (Riziki): Umuhimu wa mama kujua hali yake ya afya baada ya kujifunguaStori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya kumi ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Riziki. 2019-05-2027 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 9 (Mama Salma): Umuhimu wa kulala kwenye chandarua chenye dawaStori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya tisa ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Mama Salma.2019-05-1525 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 8 (Mama Imani): Umuhimu wa kutumia uzazi wa mpangoStori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya nane ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Mama Imani2019-05-1122 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 7 (Samia: Umuhimu wa Kumnyonyesha mtoto mchanga maziwa ya mama ndani ya saa moja baada ya kujifungua)Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya saba ya kipindi cha Naweza, leo tena sikiliza stori ya Samia. Kupitia simulizi yake tutajifunza umuhimu wa kumnyonyesha mtoto mchanga maziwa ya mama ndani ya saa moja baada ya kujifungua.2019-04-2921 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show - Sehemu ya 6 (Anitha - ya pili): Huduma ya Nesi kwa Mama Mjamzito aliyekuwa kwenye hali mbayaStori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya sita ya kipindi cha Naweza, leo tena sikiliza stori ya Anitha. Atasimulia jinsi alivyompokea mama mjamzito aliyekuwa kwenye hali mbaya sana. 2019-04-2321 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 5 (Anitha): Msaada wa Nesi kwa mama mjamzitoStori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya tano ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Anitha.2019-04-1621 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 4 (Mama Tabitha): Umuhimu wa kutumia dawa za ARV wakati wa ujauzito iwapo mama anaishi na VVUStori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya nne ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Mama Tabitha 2019-04-0825 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show - Sehemu ya 3 (Mwajuma): Umuhimu wa mama mjamzito kutumia dawa ya SPSikiliza sehemu ya tatu ya show ya #Naweza. Leo tunasikia stori ya Mwajuma inayohusu umuhimu wa mama mjamzito kutumia dawa ya SP. 2019-04-0619 minNaweza ShowNaweza ShowNAWEZA Show Sehemu ya Pili (Sada): Ushirikiano baina ya wenzi kipindi cha ujauzitoSikiliza sehemu ya pili ya show ya #Naweza. NAWEZA Show Sehemu ya Pili (Sada): Ushirikiano baina ya wenzi kipindi cha ujauzito2019-03-2819 minNaweza ShowNaweza ShowNaweza Show Sehemu ya 1 (Mwanja): Changamoto kipindi cha ujauzitoSikiliza sehemu ya kwanza ya show ya #Naweza.2019-03-2627 minMizuka Ya KING ZIMIRA kwenye KINASAMizuka Ya KING ZIMIRA kwenye KINASAHAMISA MOBETO : naweza Fanya Mziki Na Uanamitindo, Mi Ni Mama Pia Mjasirialiamali, Kwann Nimzungumzie Ray C ?, interview Hii Apa @kingzimira2018-08-2303 minDeutsch – warum nicht? Fungu 2 | Kujifunza Kijerumani | Deutsche WelleDeutsch – warum nicht? Fungu 2 | Kujifunza Kijerumani | Deutsche WelleSomo 02 – Naweza kukusaidia?Mabwana wageni na mabibi wa makamo – Andreas akiwa kazini kwenye mapokezi ya hoteli... Muhtasari wa sarufi: Kitendo cha utaratibu können2009-03-1700 min