Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

ONGEA

Shows

Ongea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastEpisode 14 - Ongea Na Sauti Podcast2025-07-0602 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastEpisode 13 - Ongea Na Sauti Podcast2025-06-2205 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastGroup no 2 mbughi2025-05-2815 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastEpisode 11 - Ongea Na Sauti Podcast2025-05-0901 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastUsafi2025-05-0107 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastStan2025-05-0100 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastGroup no 22025-05-0106 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastFinallyMungu mwema, karibu usikilize kipindi kipya cha asubuhi Tanzania2025-03-1306 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastTANURU LA HABARI 03 AND 04Mungu mwema, karibu usikilize kipindi kipya cha asubuhi Tanzania2025-03-1315 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastTANURU LA HABARI 2Mungu mwema, karibu usikilize kipindi kipya cha asubuhi Tanzania2025-03-1310 minOngea Na Sauti PodcastOngea Na Sauti PodcastTANURU LA HABARI 01Mungu mwema, karibu usikilize kipindi kipya cha asubuhi Tanzania2025-03-1315 minSister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S2 Ep1: Women Leaders Turning Glass Ceilings Into Floors!Season 2 is back and first episode the hosts Monicah Muhoya, Angela Wambui and Lush Angela introduce season 2 focus on women in leadership positions and they share their experiences in their leadership roles! OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm on Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound Cloud. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production, where we ask the tough questions, engage in hard conversations and get comfortable in being uncomfortable in order...2022-08-1626 minSister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep9: Overcoming The Darkside of Social Media With Maureen WaitituThis is the ninth episode of OVAReact Podcast featuring Content Creator, Entrepreneur and mum of two boys Maureen Waititu who candidly talks about navigating the negative challenges of being a social media influencer with issues such as as cyberbullying. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound Cloud. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production, where we ask the tough questions, engage in hard conversations and get...2022-08-1626 minMy First Time StoriesMy First Time StoriesS1:E2- Periods and AdvocacyTalking openly about Menstruation has often been deemed taboo. Although this is beginning to change as we see more members of society speaking up against stigma and poverty, myths, misconceptions, and misinformation about periods feed into stigma which can be hugely damaging for many girls, women, and people who menstruate around the world. On this episode I spoke to Angela and Mo, two thirds of the trio Sister Speaks Global, who are Menstrual Champions and Podcast hosts, on matters women, health and more. We also learn about how they are providing access to products for girls across Kenya, one...2022-06-0219 minSister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep13: Women's Mental Health with Therapist & Hypnotherapist Natalia SikalovaThis is the thirteenth and last episode of Season 1 of OVAReact Podcast featuring Inner Child Integration Therapist, Integrated clinical hypnotherapist and teacher of level 1 transpersonal regression therapist and family constellation practitioner Natalia Sikalova. We had an in-depth discussion on women's mental health, enjoy this enlightening conversation. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm on Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound Cloud. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production, where we ask the...2022-05-3127 minSister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep12: Men Aren't Emotional With Eli Mwenda, Podcaster of Mantalk.KEThis is the twelfth episode of OVAReact Podcast featuring Eli Mwenda, Podcaster of Mantalk.KE and content creator. Listen to our in-depth discussion on why men aren't as emotional as women, men's mental health and some of the reasons why death by suicide is higher among men than women. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound Cloud. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production, where we...2022-05-2428 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Sell Like Crazy, Basil Danghalo.Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo kuna mambo mawili makubwa.Jambo la kwanza ni mjadala wa pamoja wa kitabu cha SELL LIKE CRAZY. Hiki ni kitabu kilichoandikwa na Sabry Subi ambacho kinatupa maarifa ya kuweza kujenga mfumo wa masoko na mauzo ambao unatuwezesha kuleta wateja wengi kwenye biashara na kufanya mauzo makubwa kuliko tulivyozoea. Haya ni maarifa muhimu sana kwa ukuaji wa biashara zetu. Kwenye mjadala huu wa kitabu, wanamafanikio mbalimbali wameshirikisha yale waliyojifunza kwenye kitabu na uzoefu wao katika kufanyia kazi mambo hayo. Sikiliza kipindi kujifunza zaidi.Jambo la...2022-05-233h 06Sister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep11: Why Don't We Talk About Menopause with Amina FarahThis is the eleventh episode of OVAReact Podcast featuring Amina Farah, a women's health and wellness advocate and founder of Fab-u-Las Living, a Facebook group that creates a safe space to discuss and learn about perimenopause and menopause. Listen to our candid conversation on why we need to openly talk about menopause and what we women and men need to learn about it ahead of time. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound...2022-05-1729 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Exactly What To Say, Mrejesho Wa Tathmini Ya Robo Mwaka Na Lengo Jipya La Namba Ya Mauzo.Habari mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambacho kina mambo matatu makubwa.Jambo la kwanza ni mjadala wa kitabu cha EXACTLY WHAT TO SAY, kitabu chenye maneno 23 ya ushawishi ambayo ukiyatumia unakuwa na ushawishi mkubwa kwa wengine. Wanamafanikio wameshirikisha kwa mifano kuhusu maneno hayo. Sikiliza kipindi hiki kujifunza kutoka kwenye uzoefu wa wengine.Jambo la pili ni mrejesho wa tathmini ya robo mwaka ya pili kwenye mwaka wetu wa mafanikio 2021/2022. Kwa ujumla bado watu wanapata changamoto kuripoti sehemu kubwa ya namba zinazopimwa kwenye tathmini. Tutaendelea kueleweshana hatua kwa hatua ili kuweza kuzielewa...2022-05-162h 51Sister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep10: Journey of Motherhood with Kezia OmuodoThis is the tenth episode of OVAReact Podcast featuring Kezia Omuodo who is a mother of two and as a result created The Queendom KE, which is a community for mothers, to learn, inform and support each other. Listen to our candid conversation on the journey of motherhood. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound Cloud. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production, where we ask...2022-05-1027 minSister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep8: Women’s Role in Politics with Kiambu Women Rep Aspirant Alice Wangari GathekiaThis is the eighth episode of OVAReact Podcast featuring Kiambu Women Rep Aspirant Alice Wangari Gathekia who candidly shares the challenges she faces as she works at shaping her career in politics. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound Cloud. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production, where we ask the tough questions, engage in hard conversations and get comfortable in being uncomfortable in order to...2022-04-2622 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; How To Live On 24 Hours A Day Na Mwongozo Wa Kufanya Tathmini Ya Robo Mwaka.Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambacho kina mambo mawili makubwa.Jambo la kwanza ni mjadala wa kitabu cha HOW TO LIVE ON 24 HOURS A DAY kilichoandikwa na Arnold Bennett. Kitabu hiki kifupi ambacho kimeandikwa zaidi ya miaka 100 iliyopita kina mengi ya kutufundisha kuhusu matumizi sahihi ya muda na jinsi ya kuishi vyema. Kwenye kipindi tumekuwa na mjadala wa kitabu ambapo wanamafanikio wameshirikisha yale waliyojifunza kwenye kitabu hicho.Jambo la pili ni mwongozo wa kufanya tathmini ya robo mwaka. Tunamaliza robo mwaka ya pili kwenye mwaka wa mafanikio 2021/2022. Ni wakati wa...2022-04-253h 08Sister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep7: Men V Women Debate with Tim MbuguaThis is the seventh episode of OVAReact Podcast featuring the first-ever male guest Tim Mbugua who participates in the "Men v Women" debate with the hosts Monicah Muhoya, Angela Wambui and Lush Angela. They discuss at length whether we should be enraged that men are asking women what they bring to the table, whether men too can be men of leisure and have a woman look after them and if women are guilty of being selectively independent. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google...2022-04-1924 minSister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep6: Are Periods Racist? with Mary Nyaruai, Founder of Nyungu AfricaThis is the sixth episode of OVAReact Podcast where the hosts Monicah Muhoya, Angela Wambui and Lush Angela are reacting with their very first guest Mary Nyaruai founder of Nyungu Afrika, talking about period poverty and addressing why periods can be racist with low quality menstrual products available in developing countries while there is high quality available in the west. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound Cloud. This is a...2022-04-1226 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Kuongeza Kiwango Cha Faida, Mwongozo Wa Kufika Kwenye Ubilionea.Habari mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambacho kina mambo mawili makubwa.Jambo la kwanza ni mjadala wa sehemu ya mwisho ya kitabu cha INSTANT CASHFLOW inayohusu kuongeza kiwango cha faida. Wanamafanikio wameshirikisha njia tano walizochagua kufanyia kazi kwenye biashara zao ili kuweza kuongeza kiwango cha faida. Ni njia nzuri na zinazowezekana kwa kila aina ya biashara.Jambo la pili ni MWONGOZO WA KUFIKIA UBILIONEA. Nimeshirikisha mwongozo kamili tunaokwenda kufanyia kazi kwenye huu muongo (2020 – 2030) ili kila mmoja wetu aweze kufikia ubilionea na uhuru wa kifedha. Mkakati una hatua za kupiga kwenye kila mw...2022-04-113h 04Sister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep5: New Age Digital Dating & Its ChallengesThis is the fifth episode of OVAReact Podcast where the hosts Monicah Muhoya, Angela Wambui and Lush Angela are reacting to our various dating and abuse experiences, while also highlighting topics around red flags, tinder swindler, Kenyan female runners who've experienced financially cheating and many more. OVAReact podcast airs every Monday at 10.30 pm Capital FM Kenya radio. It is also available via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor as well as Capital FM Kenya Sound Cloud. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production, where we ask the tough...2022-04-0523 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; HELL YEAH, BOSCO MLOMO.Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo kuna mambo matatu makubwa.Jambo la kwanza ni uchambuzi wa kitabu cha HELL YEAH OR NO kilichoandikwa na Derek Sivers. Kwenye kitabu hiki mwandishi ametushirikisha falsafa yake fupi ya kuchagua nini afanye. Anatuambia kama kitu hukipi NDIYO kubwa basi unapaswa kukipa HAPANA. Ni kitabu kifupi, chenye mambo ya kawaida ila yenye nguvu kubwa sana kwenye safari yetu ya mafanikio.Jambo la pili ni mahojiano na mwanamafanikio mwenzetu Bosco Mlomo ambaye anatushirikisha safari yake ya kibiashara. Bosco anatushirikisha alivyoanza kama msaidizi kwenye duka la vifaa...2022-03-283h 02Sister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep4: "You're too pretty for dark skinned girl" Beauty Standards we are saying NO to!This is the fourth episode of OVAReact Podcast where the hosts Monicah Muhoya, Angela Wambui and Lush Angela are reacting to various beauty standards that have been perpetuated as what is considered beautiful from challenges they've faced around afro hair to colourist OVAReact podcast airs on Capital FM Kenya radio every Monday at 10.30 pm and it will also be available digitally on both Capital FM Kenya Google and Apple podcast as well as via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production. The...2022-03-2824 minSister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep3: Yes or No to Rich Aunty Vibes!This is the third episode of OVAReact Podcast where the hosts Monicah Muhoya, Angela Wambui and Lush Angela are reacting to various women trends perpetuated in the social media and can either be toxic or empowering depending on how it is received. These vary from rich aunty vibes to girl boss to the mumpreneur narrative, we are OVAReacting and giving our much needed 2 cents! Enjoy the episode and share with us your opinion too! OVAReact podcast airs on Capital FM Kenya radio every Monday at 10.30 pm and it will also be available digitally on both Capital FM...2022-03-2220 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Instant Cashflow – Kuongeza Idadi Na Kiwango Cha Manunuzi.Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tumeendelea na uchambuzi wa kitabu cha INSTANT CASHFLOW kilichoandikwa na Bradley Sugars.Kitabu hiki ni mwendelezo wa msingi mkuu tuliojifunza kwenye kitabu cha BILLIONAIRE IN TRAINING cha mwandishi huyo huyo.Kwenye BILLIONAIRE IN TRAINING tulijifunza ngazi tano za ujasiriamali ambazo ni kama ifuatavyo;Ngazi sifuri; mwajiriwa, hapa chanzo cha kipato ni ajira tu.Ngazi ya kwanza; kujiajiri, hapa unafanya kila kitu mwenyewe.Ngazi ya pili; meneja, hapa umeajiri wengine kukusaidia, ila bila uwepo wako hakuna kinachoenda....2022-03-213h 07Sister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact Podcast S1 Ep2: Are men guilty of empowering their daughters & not their wives?This is the second episode of OVAReact Podcast where the hosts Monicah Muhoya, Angela Wambui and Lush Angela tackle the question of whether men are guilty of empowering their daughters but not their wives? Throughout this episode, there is also the comparison of the woman of the past to the woman of the present and whether there are notable significant changes.   OVAReact podcast airs on Capital FM Kenya radio every Monday at 10.30 pm and it will also be available digitally on both Capital FM Kenya Google and Apple podcast as well as via Sister Speaks Global, Google p...2022-03-1422 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Kisima, Tathmini, Rejoyce Otaru.ONGEA NA KOCHA; KISIMA, TATHMINI, REJOYCE OTARU.Karibu mwanamafanikio kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambacho kina mambo makubwa manne ya kujifunza kwenye safari yetu ya mafanikio.Jambo la kwanza ni mambo ya muhimu na ya msingi ya kuzingatia kwenye KISIMA CHA MAARIFA. Kwa sasa tunapotia mageuzi makubwa kwenye KISIMA kutoka kuwa kundi la kujifunza na kwenda kuwa jumuia za wanamafanikio. Katika mageuzi haya KISIMA kinataka kila mmoja kujitoa zaidi ili kuweza kufanikisha lengo la pamoja ambalo wote tunalo. Nimeshirikisha dhana nzima ya KISIMA CHA MAARIFA NI JESHI, adui yetu mkuu tunayemkabili na ushindi ambao tunataka...2022-03-143h 19Sister Speaks GlobalSister Speaks GlobalOVAReact podcast S1 Ep1: Our traumatic journey into womanhood!This is the first episode of OVAReact Podcast where the hosts Monicah Muhoya, Angela Wambui and Lush Angela introduce the basis of the podcast while talking about their journey of womanhood. OVAReact podcast launched Monday 7th on Capital FM Kenya radio, and every Monday it will air at 10.30 pm and it will also be available digitally on both Capital FM Kenya Google and Apple podcast as well as via Sister Speaks Global, Google podcast, Spotify and Anchor. This is a Sister Speaks Global and Capital FM Kenya podcast production. The podcast is all about conversations...2022-03-0822 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; Instant Cashflow Sehemu Ya Pili.Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tunapata uchambuzi wa kitabu cha INSTANT CASHFLOW sehemu ya pili.Kwenye sehemu hii ya pili tunaangalia maeneo mawili kati ya matano ya kukuza biashara.Eneo la kwanza ni kutengeneza wateja tarajiwa kupitia masoko. Hapa tunaziangalia njia mbalimbali za masoko unazoweza kutumia kwenye biashara yako na ukawafikia wateja wengi wapya. Masoko ni sehemu muhimu sana ya biashara, isipofanyiwa kazi vizuri na kwa uhakika, biashara haiwezi kufanikiwa.Eneo la tatu ni kuwageuza wateja tarajiwa kuwa wateja kamili. Unaweza kuwafikia wateja kwa njia za masoko...2022-02-283h 06Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; Tathmini Ya Robo Mwaka, Kigawe Kikuu Cha Mafanikio, Instant Cashflow.Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambacho kina mambo yafuatayo.Moja ni mrejesho wa tathmini za robo mwaka ya kwanza kwenye mwaka wa mafanikio 2021/2022. Nimeshirikisha yale muhimu kutoka kwenye tathmini hizo na namna ya kujiandaa vyema kwa tathmini ijayo.Mbili ni andiko la KIGAWE KIKUU CHA MAFANIKIO (THE COMMON DENOMINATOR OF SUCCESS) ambalo linaelezea siri kuu ya mafanikio ambayo wote waliofanikiwa wameijua na kuifanyia kazi. Siri hiyo ni watu waliofanikiwa wamejijengea tabia ya kufanya vitu ambavyo walioshindwa hawapendi kuvifanya. Utajifunza kwa kina kutoka kwenye andiko hilo.Tatu ni uchambuzi wa kitabu cha INSTANT...2022-02-213h 05Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; Miminalist Entrepreneur, Tathmini Ya Robo Mwaka, Changamoto Ya Siku 100.Habari mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo kuna mambo makubwa matatu.Moja ni uchambuzi wa kitabu kinachoitwa MINIMALIST ENTREPRENEUR kilichoandikwa na Sahil Lavingia.Hiki ni kitabu ambacho Sahil ameshirikisha safari yake ya kujenga biashara kwa kuzingatia yale ya msingi badala ya kuhangaika na sifa zisizo na tija.Kwenye kipindi hiki tumejadili mambo nane ya msingi ambayo Sahil ameshirikisha kwenye kitabu kama ifuatavyo;1.       Msingi mkuu wa kuzingatia kwenye biashara ni THAMANI na FAIDA. Toa thamani kwa wateja na hakikisha biashara inaingiza faida.2.       Anza na jumuia uliyopo. Waangalie wa...2022-02-073h 08Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Mjadala Wa Kitabu Billionaire In Training.Habari Mwanamafanikio?Kwenye KISIMA CHA MAARIFA, tupo kwenye muongo (2020 - 2030) wa kufanya makubwa.Katika muongo huu kila mmoja wetu anapambana kufikia uhuru wa kifedha, ambapo ni kuweza kuwa na njia za kuingiza kipato kisichotegemea uwepo wa moja kwa moja (passive income) pamoja na kuwa na uwekezaji mkubwa unaokua thamani na kuzalisha faida inayoweza kukidhi gharama za kuendesha maisha.Katika kufanyia kazi lengo hilo, tuna kitabu ambacho ndiyo mwongozo wetu kwa kipindi hiki chote. Kitabu hicho ni BILLIONAIRE IN TRAINING ambacho kimeandikwa na Bradley Sugars.Kitabu hiki kimeelezea njia tatu za kufika kwenye...2022-01-313h 40Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Billionaire In Training, Helanane Ilomo.Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo kuna mambo makubwa mawili.Jambo la kwanza ni uchambuzi wa kitabu cha BILLIONAIRE IN TRAINING. Hiki ni kitabu muhimu sana kwenye safari yetu ya kuelekea kwenye uhuru wa kifedha. Na ndiyo kitabu kitakachokuwa mwongozo mkuu kwetu.Kwenye uchambuzi huo tutajifunza kuhusu utajiri na ukwasi na njia tatu za kupata utajiri na ukwasi. Na pia tutajifunza ngazi tano za ujasiriamali, kuanzia sifuri ambayo ni kuajiriwa, kisha kujiajiri, umeneja, umiliki, uwekezaji na hatimaye ujasiriamali.Huu ni uchambuzi muhimu sana ambao pia utaendelea kwa kina...2022-01-243h 19Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Breakfast With Seneca (Falsafa Ya Ustoa)Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tumepata nafasi ya kujadili kwa kina uchambuzi wa kitabu kinachoitwa Breakfast With Seneca.Ni kitabu kinachoelezea vizuri falsafa ya Ustoa kwa namna inavyoweza kutumika kwenye zama tunazoishi sasa.Mwandishi amekusanya pamoja kazi za Seneca kwa namba ambayo zinajibu changamoto nyingi tunazokabiliana nazo kwa sasa.Baadhi ya changamoto kubwa ambazo kitabu hiki kimeziangalia ni;Hasira.Hofu na wasiwasi.Utajiri na Umasikini.Magumu na changamoto mbalimbali.Muda.Kwa ujumla, kitabu kizima kinatusaidia...2022-01-171h 58Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; Safari Ya Maisha Ya Farhia Omar.Habari wanamafanikio?Karibuni kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tumefanya mahojiano na mwanamafanikio mwenzetu Farhia Omar aliyetushirikisha safari yake ya maisha.Farhia ametushirikisha historia fupi ya maisha yake tangu kuzaliwa.Ametushirikisha kusoma na kufanya kazi kabla ya kusafiri kwenda nje ya nchi.Ametushirikisha sababu zilizomsukuma kwenda nje ya nchi na maisha ya huko.Ameshirikisha kazi mbalimbali ambazo amewahi kufanya, ikiwepo kwenye kampuni ya Amazon na yale aliyojifunza kwenye kila kazi.Ametushirikisha pia biashara mbalimbali ambazo amewahi kufanya na jinsi zimekuwa na changamoto kubwa kwake.Na...2022-01-102h 56Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Uwajibikaji, Tribe Na Isaack Zake.Habari mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi hiki cha ONGEA NA KOCHA ambapo unakwenda kujifunza yafuatayo.Kwenye somo la juma utajifunza umuhimu wa kuwa kwenye jamii ambayo inakuwajibisha ili kuweza kufanya makubwa. Kwa asili sisi binadamu ni wavivu na huwa tunapenda kufanya vitu rahisi. Lakini hivyo haviwezi kutufikisha kwenye mafanikio. Tunahitaji sana kuwa kwenye jamii zinazotusukuma kufanya makubwa ili tuweze kufanikiwa.Kwenye kitabu cha juma tunajifunza kutoka kitabu kinachoitwa Tribe: On Homecoming and Belonging kilichoandikwa na Sebastian Junger. Sisi binadamu ni viumbe wa kijamii na hivyo tunafanya vizuri sana tunapokuwa ndani ya jamii inayotuelewa, kututegemea na...2022-01-073h 13Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Andika, Dedicated, Selemani Mbwambo.Habari Mwanamafanikio?Karibu usikilize kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambacho kina mambo makubwa na muhimu kama ifuatavyo;Kwenye somo la juma utajifunza umuhimu wa Kuandika vitu ili uweze kufikiri vizuri na kuweza kuvikamilisha. Unapofikiria tu vitu huvipi msisitizo mkubwa kama ukiviandika chini. Hivyo unapaswa kujijengea utamaduni wa kuyaandika malengo yako kila siku, kuandika mipango yako ya siku, kuandika yale uliyojifunza na kuandika tathmini zako binafsi. Sikiliza kipindi kujifunza hilo kwa kina.Kwenye kitabu cha wiki utapata uchambuzi wa kitabu Dedicated: The Case for Commitment in an Age of Infinite Browsing kilichoandikwa na Pete Davis...2021-12-203h 32Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; Kupata Hamasa Isiyoisha, Kitabu cha Four Thousand Weeks na Mahojiano na Regina Panga.Karibu mwanamafanikio kwenye kipindi hiki cha ONGEA NA KOCHA.Kwenye kipindi hiki unakwenda kujifunza mengi kwa kina kama ifuatavyo.Kwenye somo la juma tunajifunza jinsi ya kupata hamasa isiyoisha ili uweze kuyafanyia kazi malengo yako bila kurudi nyuma. Hapa utajifunza hatua tano za kuchukua kwenye kila siku yako ili kuchochea hamasa yako.Kwenye kitabu cha juma utajifunza dhana kuu ya udhibiti na usimamizi mzuri wa muda wako ambayo ni muda tayari una ukomo huku mambo ya kufanya yakiwa mengi. Kwa kukubali ukomo huo wa muda na kuchagua yapi unafanya na yapi hufanyi itakusaidia sana...2021-12-063h 09Toto On PodcastToto On PodcastEP 4 | II. TOTO ONGEAMany children will experience a temporary delay in speech and language development. Most will eventually catch up. Others will continue to have difficulty with communication. Some of the most common disorders include Articulation Disorders, Receptive Disorders, Autism-Related Speech Disorders,,,2021-12-0308 minOngea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; Wewe Ni Mshindi, Third Door na Ernest Paschal.Karibu mwanamafanikio kwenye kipindi cha juma cha ONGEA NA KOCHA.Kwenye kipindi hiki unakwenda kupata yafuatayo;Moja ni somo la wewe ni mshindi, ambapo nimekushirikisha kwa kina namna ya kufikiri kama mshindi, kufuta kabisa mbadala na kupambana mpaka ufanikiwe.Mbili ni uchambuzi wa kitabu cha Third Door ambapo mwandishi ameshirikisha njia mbadala ambayo wale waliofanikiwa sana walizitumia katika kuanza safari yao ya mafanikio.Tatu ni mahojiano na mwanamafanikio mwenzetu Ernest Paschal ambaye anatushirikisha safari yake ya mafanikio aliyopitia maanguko mengi ila akawaza kuinuka na kuendelea na mapambano.Nne ni mjadala...2021-11-293h 36Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; Kisima Ni Jeshi, Amri 21 Za Maisha na Godfrey Mbise.Habari Mwanamafanikio?Karibu usikilize kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo kwa juma hili kuna mambo makubwa matatu.Moja ni mafanikio ni vita, KISIMA CHA MAARIFA ni jeshi na wewe ni mwanajeshi kwenye hii vita. Hapa utajifunza kwa ufupi sifa za wanajeshi wa Sparta na mambo muhimu ya kuzingatia kwenye jeshi hili la KISIMA.Mbili ni uchambuzi wa kitabu kinachoitwa Musashi's Dokkodo (The Way of Walking Alone) ambacho kina Amri 21 za maisha ya kishujaa. Katika amri hizo 21 kuna mengi sana ya kujifunza katika kuishi maisha ya kijeshi.Tatu ni mahojiano na mwanamafanikio mwenzetu...2021-11-223h 19Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.ONGEA NA KOCHA; Nguvu Ya Fikra, The Prophet, Sebastian Kalugulu.Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo unakwenda kujifunza mambo matatu makubwa.Moja ni Nguvu ya fikra kwenye safari ya mafanikio. Hapa utajifunza jinsi fikra zako zilivyo na nguvu ya kuumba na jinsi ya kujenga fikra sahihi na kuzilinda.Mbili ni uchambizi wa kitabu cha The Prophet ambapo utajifunza mambo mengi kuhusu maisha, makubwa yakiwa Upendo, Kazi na Thamani.Tatu utajifunza kutoka kwa mwanamafanikio mwenzetu Sebastian Kalugulu kwenye safari yake ya mafanikio ambayo ina mafunzo mengi ya mapambano bila ya kukata tamaa.Karibu sana usikiliza kipindi hiki ili uweze kujifunza na...2021-11-083h 25Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha.Ongea Na Kocha; Kuanza Mwaka Wa Mafanikio 2021/2022.Habari mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA cha kuuanza mwaka mpya wa mafanikio 2021/2022.Kwenye kipindi hiki nimeeleza kwa kina mwongozo wetu ambao tutakwenda nao kwa mwaka huo mzima wa mafanikio.Nimetoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali, ikiwepo lengo la thamani ya utajiri, kwa kuzidisha mara mbili ya ile thamani uliyonayo sasa.Pia kumekuwa na michango mizuri ya wanamafanikio wengine walioshiriki kipindi moja kwa moja.Mwisho kabisa nimejibu maswali ya wanamafanikio waliyouliza kuhusu mambo mbalimbali.Karibu sana usikilize kipindi hiki ili upate uelewa mzuri way ale tunayokwenda kufanyika...2021-11-012h 58ONGEAONGEASehemu ya Thelathini na Sita (Mwisho)Mambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya thelathini na sita ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-12-1616 minONGEAONGEASehemu ya Thelathini na TanoMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya thelathini na tano ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-12-1616 minONGEAONGEASehemu ya Thelathini na NneMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya thelathini na nne ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-12-1613 minONGEAONGEASehemu ya Thelathini na TatuMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya thelathini na tatu ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-12-1615 minONGEAONGEASehemu ya Thelathini na MbiliMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya thelathini na mbili ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-12-1614 minONGEAONGEASehemu ya Thelathini na MojaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya thelathini na moja ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-12-1615 minONGEAONGEASehemu ya ThelathiniMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Thelathini ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afya ya Uza...2020-12-1615 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na TisaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na tisa ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-12-1614 minSavedandSexual PodcastSavedandSexual PodcastEp| 52. Christianity and Culture - When we must talk about sexChristianity and Culture The When... Let's get into it Blessings   To Register for Ongea: https://savedandsexualke.wixsite.com/mysite/box-set   To Get In Touch: Instagram: https://www.instagram.com/savedandsexual/  Website: https://savedandsexualke.wixsite.com/mysite  Facebook: https://www.facebook.com/SavedandSexual-Podcast-111076600662927  Email: savedandsexual.ke@gmail.com2020-12-0721 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na NaneMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na nane ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-11-1313 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na SabaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na saba ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-11-1313 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na SitaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na sita ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-11-1312 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na TanoMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na tano ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-11-1014 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na NneMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na nne ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-10-0317 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na TanoMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na tano ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi...2020-10-0300 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na TatuMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na tatu ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-10-0313 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na MbiliMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya Ishirini na mbili ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-10-0313 minONGEAONGEASehemu ya Ishirini na MojaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya ishirini na moja ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-10-0314 minONGEAONGEASehemu ya IshiriniMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya ishirini ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afya ya Uza...2020-10-0312 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na TisaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya kumi na tisa ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-10-0317 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na NaneMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya kumi na nane ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-09-2312 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na SabaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya kumi na saba ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-09-2316 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na SitaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya kumi na sita ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-09-2318 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na TanoMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya kumi na tano ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.  ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.  Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine.  Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afy...2020-09-2119 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na NneMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya kumi nne ya kipindi cha ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi...2020-09-1512 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na TatuMambo vipi rafiki? Katika kipindi cha kumi na tatu tumesikia Ndonga na Kipepeo wameitwa polisi, je nini kitatokea? Huku Kipepeo kamwambia Bingo bila kondumu, hakuna kufanya ngono! Je, mahusiano yao yataendelea? Amani nae na Tunu, ndo hivyo! Tunu bado kashikilia msimamo wake. Je, mahusiano yao yataishiaje? ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.     ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao.     Vipindi hivi vya Ongea...2020-09-1115 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na MbiliMambo vipi rafiki?  Karibu kusikiliza sehemu ya 12 ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA.  Katika sehemu ya 11 tunaona Tunu na Leah wanaamua kwenda kutoa taarifa kwa mtendaji wa serikali za mtaa juu ya kile  Ndonga na Kipepeo walichomfanyia Leah.  Amani nae bado hajakata tamaa, anaendelea kumlaghai Leah wafanye ngono. Unadhani mahusiano ya Amani na Leah yataishia wapi? ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia.     ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya...2020-09-0814 minONGEAONGEASehemu ya Kumi na MojaMambo vipi rafiki?  Karibu kusikiliza sehemu ya 11 ya kipindi chako cha tamthilia ya ONGEA.  ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sa...2020-09-0614 minONGEAONGEASehemu ya KumiMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehenu ya kumi ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-08-1315 minONGEAONGEASehemu ya TisaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya tisa ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-08-0714 minONGEAONGEASehemu ya NaneMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya nane ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-06-2612 minSAUTI-SIKIKASAUTI-SIKIKASauti Ya Husna-Sikiliza Sauti ya MudaKatika mfululizo wa kukusanya SAUTI-SIKIKA, tunaisikiliza Sauti ya Husna, akituelezea umuhimu wa kuisikiliza sauti iliyo ndani ya Muda. Je wajua Muda una-ongea, na je, wajua Muda una Sauti. Karibu kusikiliza..... Uache Muda uongee! 2020-06-0702 minONGEAONGEASehemu ya SabaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya saba ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-06-0113 minONGEAONGEASehemu ya SitaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya sita ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-05-2212 minONGEAONGEASehemu ya TanoMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya tano ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-05-1513 minONGEAONGEASehemu ya nneMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya nne ya ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afya...2020-04-1717 minONGEAONGEASehemu ya TatuMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya tatu ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-04-1012 minONGEAONGEASehemu ya PiliMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya pili ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-04-0117 minONGEAONGEASehemu ya KwanzaMambo vipi rafiki? Karibu kusikiliza sehemu ya kwanza ya kipindi cha redio cha tamthilia ya ONGEA. ONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia...2020-03-1814 minONGEAONGEAUtanguliziONGEA ni Kijiwe rafiki kwa vijana, wa kike na wa kiume, wanafunzi na wazazi pia. ONGEA ni tamthilia ya redio inayohusisha maisha ya vijana (katika uhusika tofauti tofauti) wenye Umri wa rika balehe kati ya miaka 15-19 Pamoja na Wazazi/walezi wao. Vipindi hivi vya Ongea vimeandaliwa na Tume ya kudhibiti ukimwi Tanzania (TACAIDS) na Tume ya kudhibiti ukimwi Zanzibar (ZAC) kwa kushirikiana na UNICEF, pamoja na wadau wengine. Kipindi cha ONGEA Kinawafikishia vijana taarifa sahihi, Ujumbe sahihi kuhusu VVU/UKIMWI, Afya ya Uzazi, Lishe bora, Stadi za Maisha , Usafi wa Hedhi na...2020-03-1801 minWhat Is ThisWhat Is ThisONGEA SUMMIT 2020: Musau of AD FamilyThis interview was recorded on location at the 2020 Ongea Summit held at Sarit Centre on February 23rd. Pepper and Victor spoke to AD Family manager Musau about the success of his camp, upcoming projects and what it takes to manage artists in the country. Follow What is This Instagram: https://www.instagram.com/whatisthispod/ Twitter: https://twitter.com/whatisthispod All previous episodes here: https://lnk.bio/97zA Subscribe to the podcast on iTunes: https://itunes...2020-03-1024 minWhat Is ThisWhat Is ThisONGEA SUMMIT 2020: ShukidThis interview was recorded on location at the 2020 Ongea Summit held at Sarit Centre on February 23rd. Pepper and Victor spoke to Kenyan rapper and songwriter Shukid about the longevity of music and what it takes to create music that transcends music. Follow What is This Instagram: https://www.instagram.com/whatisthispod/ Twitter: https://twitter.com/whatisthispod All previous episodes here: https://lnk.bio/97zA Subscribe to the podcast on iTunes: https://itunes.apple.com/ke/podcast/what-is-this/id1378080206?mt=22020-03-1024 minWhat Is ThisWhat Is ThisONGEA SUMMIT 2020: Mwalimu Gregg TendwaThis interview was recorded on location at the 2020 Ongea Summit held at Sarit Centre on February 23rd. Pepper and Victor spoke to Mwalimu Greg Tendwa on the importance of mentorship in the music industry. They also discussed the aspect of cultural awareness and identity and the impact this has on musicians. Follow What is This Instagram: https://www.instagram.com/whatisthispod/ Twitter: https://twitter.com/whatisthispod All previous episodes here: https://lnk.bio/97zA Subscribe to the podcast on iTunes: https...2020-03-0335 minWhat Is ThisWhat Is ThisONGEA SUMMIT 2020: Martin NielsenThis interview was recorded on location at the 2020 Ongea Summit held at Sarit Centre on February 23rd.  Pepper and Victor spoke to Martin Nielsen, CEO of Mdundo about the inception of Mdundo, Kenyan consumer habits and challenges facing music consumption and streaming in the country. Follow What is This Instagram: https://www.instagram.com/whatisthispod/ Twitter: https://twitter.com/whatisthispod All previous episodes here: https://lnk.bio/97zA Subscribe to the podcast on iTunes: https://itunes.apple.com/ke/podcast...2020-02-2721 minGlobal MNE ReportGlobal MNE ReportEpisode 4 - Global MNE ReportWeekly top 10 Chart highlighting the Global Music News & Entertainment report. The “In Love” themed report highlights REGGAE MONTH with upcoming events, such as: the Jamaican Music Conference and ONGEA! 2020 happening in Nairobi, Kenya Feb 20-23. Bongo Riot (South Africa’s recording artist) rendition of “In Love” solidifies the themed report. It is to be importantly noted that all content of the report is based on the Merits of each Artist musical production and not on fan base or record sales2020-02-1344 minGlobal MNE ReportGlobal MNE ReportEpisode 2 - Global MNE ReportWeekly top 10 Chart highlighting the Global Music News & Entertainment report. The “Jah is Good” themed report highlights upcoming events, such as: the Jamaican Music Conference, ONGEA! 2020, World Performance Week in Kenya, British Council FestivalConnect 2020 Grant and Hub Goethe Membership programme in SA. Don Dada’s (South African recording artist) rendition of “Jah Is Good” solidifies the themed report. It is to be importantly noted that all content of the report is based on the Merits of each Artist musical production and not on fan base or record sales2020-01-2545 minPerspectivePerspectiveFungua Roho Yako,ONGEA!This is a continuation from the earlier podcast.We kinda dug into relationships and ended up on this love and communication thing. Skiza2019-03-0549 minAfrica Podcast NetworkAfrica Podcast NetworkTCM Rebranded And Slow Growth in Kenya's Music IndustryTurner networks a Time Warner company has rebranded one of their movie channels in Africa; from TCM to the American Block Buster Channel. We are joined by the head of Entertainment for Turner southern Europe and Africa, Guillermo Farré, about the new channel and the future of Turner in Africa. We are also joined by Mike Strano Founding Director of Phat! Entertainment in Kenya as they kick off the Ongea Music Summit this week.<br /><br />--- <br /><br />This episode is sponsored by <br />· Anchor: The easiest way to ma...2018-02-141h 23The Business of EntertainmentThe Business of EntertainmentTCM Rebranded And Slow Growth in Kenya's Music IndustryTurner networks a Time Warner company has rebranded one of their movie channels in Africa; from TCM to the American Block Buster Channel. We are joined by the head of Entertainment for Turner southern Europe and Africa, Guillermo Farré, about the new channel and the future of Turner in Africa. We are also joined by Mike Strano Founding Director of Phat! Entertainment in Kenya as they kick off the Ongea Music Summit this week.<br /><br />--- <br /><br />This episode is sponsored by <br />· Anchor: The easiest way to ma...2018-02-141h 26The Business of EntertainmentThe Business of EntertainmentTCM Rebranded And Slow Growth in Kenya's Music IndustryTurner networks a Time Warner company has rebranded one of their movie channels in Africa; from TCM to the American Block Buster Channel. We are joined by the head of Entertainment for Turner southern Europe and Africa, Guillermo Farré, about the new channel and the future of Turner in Africa. We are also joined by Mike Strano Founding Director of Phat! Entertainment in Kenya as they kick off the Ongea Music Summit this week.--- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/appSupport th...2018-02-141h 19Ibrahim Khizibah\'s showIbrahim Khizibah's showOngea Tv2017-05-1801 minRadio SWAHILI GRANDS LACS MEDIASRadio SWAHILI GRANDS LACS MEDIASSIKILIZA GINSI SAIDA KAROLI ANAVYO SEMA KUUSU WIMBO MPYA WA DIAMOND PLATNUMZ-SALOMEWatu wengi wana sema eti Platnumz ana shindwa kutunga nyimbo zake ndo maana ana imba nyimbo za wasani wengine. Aliye imba wimbo -Salome ambao Platnumz ali imba kwa ki vyake ana tupatia onyo lake kuusu wimbo huo. Sikiliza anavyo ongea na usi kose ku share na ku comenti video hii. The post SIKILIZA GINSI SAIDA KAROLI ANAVYO SEMA KUUSU WIMBO MPYA WA DIAMOND PLATNUMZ-SALOME appeared first on Swahilimedias.2016-09-2100 min