podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
Pamoja Podcast
Shows
Pastor Baraka Thomas Tegge
Walio Pamoja Nami ni Wengi Kuliko Walio Pamoja Nao
2025-04-22
1h 51
The Wellness Junction Podcast
E6. Meso Mary Gorety: A Rising Star in Youth Advocacy. (IWD Special)
Hey Friendđ. It's great to be here with you once again. In this episode, I welcome Meso Mary Gorety, to chat about her experience supporting girls and young women facing sexual and gender-based violence (SGBV). Meso discusses her work with various organizations, including Pamoja CBO and the She Leads project by Plan International, aiming to provide education on menstrual hygiene, sexual and reproductive health, and mental health. She shares her personal motivation stemming from her sister's traumatic experience with SGBV, highlighting the pivotal role of educating and empowering young girls in the community. We also talk about the...
2025-04-08
59 min
Pastor Baraka Thomas Tegge
Bwana Yu Pamoja Nawe, Ee Shujaa
2025-02-25
1h 25
LOVE UNTOLD PODCAST
Secret behind prayers
Karibu tusikilize kwa pamoja kipindi cha Bongo gospel leo na kujifunza mengi juu ya maombi na kwa nini tuombe wakati Mungu anajua na kufahamu haja za mioyo yetu. Na nini kipo nyuma ya maombi
2025-02-02
1h 51
Manifest Travel
Safari Tours, Passion Projects, and Entrepreneurship with Scott Brills
#40: Welcome back to Manifest Travel, the podcast where we explore intentional travel, personal growth, and the stories that inspire us to design the life of our dreams. Iâm your host, Brittany Braddock, and today, weâre diving into the world of safaris, cultural exploration, and career reinvention with none other than Scott Brills, founder of Pamoja Safaris. Scott has spent years curating unforgettable experiences in the heart of Africa, and heâs here to share what makes a safari tour so magicalâand how Pamoja Safaris is doing things differently. We explore everything from tipping culture and the...
2025-01-28
58 min
The Remote Work Tribe Podcast
The Remote Work Tribe Podcast: Scott Brills
In this episode of the Remote Work Tribe podcast, we chat with Scott Brills, an International Entrepreneur and adventure Capitalist. We discuss his leadership style and multiple businesses' approach to life, what it takes to lead numerous teams, when to hire people to help you scale, and more. Episode Timestamps:How did he go into the tea-making business? (0:35)How did he stumble into tea in general? (1:50)How is his business, Asa Tea, going? (3:40)Splitting time between multiple businesses successfully. (5:11)Tips on how to harness split focus as a strength. (6:32)Rabbit holes he has found that h...
2025-01-16
33 min
A Inner Habit with Shruti K Doctor
PAMOJA LEO Revolutionizes Family Empowerment in Tanzania!
In this inspiring episode of the Together Today Podcast, we sit down with Georgina Harris, the founder of Pamoja Leo, a leading nonprofit organization in Tanzania. Learn how their impactful work in child welfare and empowering families is driving sustainable change and strengthening communities. Through real-life success stories, we explore the social impact of their programs and the incredible journey of this organization in creating a brighter future for children and families. đ„CONNECT WITH ME: YouTube: https://youtube.com/@innerhabit Instagram: https://instagram.com/inner_habit Twitter: https://twitter.com/inner_habit Website: https://innerhabit.com đ GET IN TOUCH: đ© Email: admin@inn...
2024-12-06
47 min
Through The Creative Door
23 | Following Your Own Beat with Katanga Junior
In this episode of Through the Creative Door, host Alexis speaks with Katanga Junior, a Tanzanian-born musician whose work spans hip-hop, ragga, reggae, and indie folk. Known for his genre-blending style and creative flair, Junior shares what it means to him to create freely across styles, the inspirations behind his latest album Pamoja, and the challenges and rewards of collaborating with diverse artists. This episode dives into Juniorâs journey, his passion for connecting with audiences, and the perseverance that shaped his most memorable works. Itâs an inspiring look at the artistry and dedication that fuels his vibrant soun...
2024-10-28
18 min
Kujua Podcast
Podcast episode 12: VITU SABA AMBAYO NI MACHUKIZO KWA BWANA #2 IMEANDIKWA NA MARY SMITH
hatia; Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyomyepesi kukimbilia maovu; Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.Wakati uliopita tulianza kujifunza kuhusu vitu ambavyo ni chukizo kwake Mungu. Katika o r o d h a ya M i t h a l i 6 : 1 6 - 1 9 , t u l i j i f u n z a k u h u s u k i t u c h a k w a n z a , m a c h o y a k i b u r i . L e...
2024-09-09
09 min
Kujua Podcast
Podcast Episode 9: Interview with Lindsey about Anxiety
sikiliza mahojiano haya ya dhati na mgeni maalum, Lindsey, akizungumzia kujua Mungu yuko pamoja naye hata anapokuwa na wasiwasi.listen to this heartfelt interview with special guest, Lindsey, talking about knowing God is with her even when she has anxiety.
2024-08-21
48 min
Porter le deuil des morts. Relier les histoires des lieux, des personnes et de leurs vestiges
Kutembea na Mizimu ya Chimurenga ya Pili ya Zimbabwe
Katika kipindi hiki, Bongani Kona anatembelea tena waasi wa vijijini ili kukomboa nchi yake ya Zimbabwe kutoka kwa utawala wa wazungu katika miaka hii ya 1970. Kona anasema kuwa jinsi maadhimisho ya waliouawa kutokana na vita hivi yanavyofanywa na serikali ya baada ya ukoloni, ni suala linaloathiri masilahi ya walio hai na waliokufa. Hili ni toleo la Kiswahili la podikasti hii. Unaweza pia kusikiliza matoleo katika â Kiingerezaâ na Kifaransa. Shukrani Mwandishi : Bongani KonaUhariri wa hati: Sophie Schasiepen kwa usaidizi wa Andri BurnettTafsiri : M.W.O & M. M., AfrolingoMsimulizi: Furaha RuguruMtayarishaji / mhariri: Andri BurnettMtayarishaji Mtendaji: Sophie...
2024-05-16
30 min
Mourning the Dead: Connecting histories of people, places, and remains
Kutembea na Mizimu ya Chimurenga ya Pili ya Zimbabwe
Katika kipindi hiki, Bongani Kona anatembelea tena waasi wa vijijini ili kukomboa nchi yake ya Zimbabwe kutoka kwa utawala wa wazungu katika miaka hii ya 1970. Kona anasema kuwa jinsi maadhimisho ya waliouawa kutokana na vita hivi yanavyofanywa na serikali ya baada ya ukoloni, ni suala linaloathiri masilahi ya walio hai na waliokufa. Hili ni toleo la Kiswahili la podikasti hii. Unaweza pia kusikiliza matoleo katika Kiingereza na Kifaransa. ShukraniMwandishi : Bongani KonaUhariri wa hati: Sophie Schasiepen kwa usaidizi wa Andri BurnettTafsiri : M.W.O & M. M., AfrolingoMsimulizi:Â F...
2024-05-16
30 min
CastOr
2 millions de shillings tanzaniens
Un podcast trÚs humain, et oui car c'est le thÚme de ce troisiÚme Castor !Comme à l'accoutumée nous ne sommes pas seuls, et qui de mieux que des invités qui ont pour passe temps l'aide,et qui de mieux donc que des invités qui font partie d'une association ? Nous avons nommé Salomé et Quentin, deux personnes fabuleuses qui vont raconter quelques étapes de leurs parcours.Vous l'aurez compris dans ce CastOr on parle d'association, de solidarité et d'humanisme en rÚgle général, on parle aussi de fiert...
2024-05-11
1h 33
LOVE UNTOLD PODCAST
SHUKRANI YA PUNDA MATEKE
Ibada ya Tarehe 21/1/2024 Sermon Summary Mch: Ephraim Mbila. 1Samweli 25 Habari ya Nabali. Somo: Shukurani ya Punda ni Mateke. Nabali alikua ana mifugo yapatayo 4,000 na wachungaji. Daudi alipokua eneo alilokua akifanya machungi aliweza pia kufanyika ulinzi wa mifugo yake pamoja na wachungaji wa mifugo yake. Maana ya jina Nabali - mtu Mpumbavu âa Foolâ. Ijapokua alikua na mali nyingi lakini alikua mtu muovu,aliyekosa adabu. Ijapokua ni mtu mpumbavu na muovu Alipata mke mzuri Abigail -maana ya jina lake âfuraha ya baba yake.â Abigail aliutambua udhaifu wa mume wake na kwa hekima aliufunika. Katika habari iliyo katika kitabu hiki, Inafika kipindi cha Mavu...
2024-01-21
17 min
Michongo podcast
Uwekezaji katika mifuko ya UTT amis
UTT amis ni ufupisho wa Unit Trust of Tanzania asset management and investment services ikiwa ni kampuni inayojohusisha na uendeshaji wa mifuko ya uwekezaji wa pamoja, kwa sasa kuna mifuko sita unaweza kusikiliza episode ya podcast hii kuelewa kuhusiana na mchongo huu wa uwekezaji UTT amis.
2023-10-16
56 min
Diaries of a Modern Trailblazer
11: Steph's Diary: Not The Plan, But I am Exactly Where I Need to Be!
If you've been tuning into this podcast, you know I've been very adamant about hitting a big milestone, which was to present a collection this month in September during Fashion Week. Well long story short, that didn't happen.Iâm not going to lie, I felt defeated, but that feeling lasted for a short period of time. Because I realized Iâm exactly where I need to be. There is so much more for me to observe and learn over the next few months so Iâm ready for Fashion Week in February!Topics...
2023-09-29
16 min
LOVE UNTOLD PODCAST
MIMI NIPUNGUE by Mwl Onorodgers
MIMI NIPUNGUE WEWE UONGEZEKE Yohana 3:25 Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso. 26 Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ngâambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea. 27 Yohana akajibu, akasema, Hawezi mtu kupokea neno lo lote isipokuwa amepewa kutoka mbinguni. 28 Ninyi wenyewe mwanishuhudia ya kwamba nalisema, Mimi siye Kristo, bali nimetumwa mbele yake. 29 Aliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi, yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi. 30 Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua. =>Haya ma...
2023-09-19
23 min
Queen Gee Podcast
Fanya Haya Kama Una Kipato Kidogo Ili Uwe Na Mstakabali Mzuri Kifedha
Karibu Kwenye Episode Nyingine Ya The Wealth Building Podcast, Elimu Hii Waliyosahau Kukufundisha Shule, Share Na Wengine Tujifunze Pamoja.XOXO,The Wealth Building Coach
2023-09-19
08 min
Nukta the Podcast
MFAHAMU MBUNIFU WA MAJIKO YANAYOTUMIA MAWE TANZANIA
Nishati ya kupikia ni miongoni mwa mahitaji muhimu ya binadamu duniani kote, hiyo ndio huwezesha mapishi ya aina mbalimbali za vyakula tunavyokula ili kuimarisha afya na kuwezesha utendaji wa shughuli za kila siku. Watu wengi wanatambua gesi, mkaa, umeme, mafuta pamoja na kuni kama ndio vyanzo vya nishati ya kupikia kwa kuwa ndio ambavyo vinatumika kwa kiasi kikubwa kwa sasa huku jitihada nyingi zikielekezwa kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia. Hata hivyo, jijini Dar es Salaam kuna ubunifu mpya wa nishati ya kupikia inayotumia mawe, ambapo inatajwa kupunguza kwa kiasi kikubwa gharama...
2023-09-08
07 min
Alexis Bombal Podcast
EP 09 Manix Isangya parle: Projet Pamoja One, lâintĂ©gration des immigrants aux USA, Experience...
Bienvenue dans Bombal Podcast, l'Ă©mission oĂč nous explorons les sujets les plus explosifs et les plus intrigants de notre Ă©poque. Dans chaque Ă©pisode, nous invitons des experts, des penseurs et des innovateurs pour discuter des idĂ©es qui changent le monde, des Ă©vĂ©nements qui font l'actualitĂ© et des tendances Ă©mergentes dans des domaines tels que la technologie, les affaires, la culture et la sociĂ©tĂ©.EP 09 Manix Isangya parle: Projet Pamoja One, lâintĂ©gration des immigrants aux USA, Experience...
2023-09-06
57 min
Malek's Podcast
Podcast Episode 130 (Live at Hom)
1- Soubeiran, Idd Aziz - Way Of Love Feat. Idd Azizmelodic 2- Adassiya - Mektoub (feat. P.Rivas & Lorenz) [Jean Claude Ades Remix] 3- Alex Wann - Rayarah 4- Maxi Meraki - Dare Your Move 5- Eran Hersh, Anorre - Regained (Extended Mix) 6- Swedish House Mafia - Moth To A Flame (feat. The Weeknd) [Adriatique Remix] 7- Marasi - Tormenta (Extended Mix) 8- Space Motion - Keyta feat. Sofiya Nzau (Original Mix) 9- John Summit vs Keinemusik - Rapture Where You Are 10- Temper Trap - Sweet Disposition (DSF, CHRIS IDH & DINO MFU remix) 11- Joezi - 7 Seconds (feat...
2023-08-31
1h 54
Diaries of a Modern Trailblazer
09: Steph's Diary: What Showing Up for Myself Looks Like
In the ninth episode, youâre hearing from yours truly, Stephanieâthe Originator of this podcast and the Founder of Pamoja.I'm being honest on this podcast about where I stand and what I'm going through because I want to share this journey. I want people to understand where I started, where I'm coming from, and witness the great progress of what it is I'm executing.Not everything is rosy. Not everything goes as planned. But itâs not an excuse to throw in the towel and give up. Failure is inevitable, but it is also a...
2023-07-23
22 min
FEHLER (FREI) - Aus Fehlern lernen
#9 - Bianca Rech - FC Bayern MĂŒnchen, die Perfektion, das Team und der Waschmaschinenschlauch
Bianca Rech, die frisch gebackene deutsche Meisterin als neue Chefin der Frauen beim FC Bayern MĂŒnchen ist eine rheinische Frohnatur, die sehr offen, lustig, ehrlich und auch direkt ist. In Ihrer neuen Rolle als 'die groĂe Chefin' des FC Bayern MĂŒnchen im Bereich Frauenfussball berichtet Bianca ĂŒber Ihren Umgang mit Fehlern und wie Sie nicht nur bei sich, sondern auch bei anderen damit umgeht. Als ehemalige Fussballerin. welche unter anderem Europameisterin; mehrfache Deutsche Meisterin und mehrfache DFB Pokal Siegerin ist, bringt sie ihre Erfahrungen und das Thema der nordischen Gelassenheit in Ihre FĂŒhrungsrolle ein. Bianca beton...
2023-06-21
29 min
PackageInk
230606 PackageInk E5-S3 - Hilda Englund & Josefine Johansson (SWE) - Pamoja Girls
In this episode we will speak with Hilda Englund och Josefine Johansson, a part in the Pamoja Girls team is here to talk about their work with graphic design and the main work behind the organization Pamoja Girls. Girlpower! Pamoja Girls eller ja Josefine och Hilda som Àr en del i ett globalt initiativ med mÄlsÀttningen att fÄ tjejer runtom i vÀrlden att tro pÄ sig sjÀlva och varandra. Det hÀr görs med hjÀlp av suuperviktig bok som de har fÄtt Àran att illustrera i samklang med den grafiska profil de ocksÄ sty...
2023-06-06
36 min
Redio Rumuli Podcast
Msaada Utokao Mbinguni Baraka Za Kalvari No 2
Msaada Utokao Mbinguni ni kipindi ambacho kinamsaidia msikilizaji kuutazama msaada wa Mungu ambao huyafanya yale yaliyoshindikana na kumpa upenyo wa namna ya kiMungu katika kuuendea ushindi aliokusudiwa na Mungu mwenyewe. Katika Kipindi hiki, utapata kusikia na kufahamu Baraka za Mungu zitokanazo na kazi ya msalaba wa Yesu Kristo kwa wanandamu wote, ushindi uliomo pamoja na wokovu uliopatikana Kalvari kwa kifo cha Yesu Kristo.
2023-05-11
45 min
Redio Rumuli Podcast
Msaada Utokao Mbinguni Baraka Za Kalvari No 1
Msaada utokao Mbinguni ni kipindi ambacho kinamsaidia msikilizaji kuutazama msaada wa Mungu ambao huyafanya yale yaliyoshindikana na kumpa upenyo wa namna ya kiMungu katika kuuendea ushindi aliokusudiwa na Mungu mwenyewe. Katika Kipindi hiki, utapata kusikia na kufahamu Baraka za Mungu zitokanazo na kazi ya msalaba wa Yesu Kristo kwa wanandamu wote, ushindi uliomo pamoja na wokovu uliopatikana Kalvari kwa kifo cha Yesu Kristo.
2023-05-11
1h 01
Tetea Mazingira Swahili Podcast
2. Muji wa Goma ume kuwa kwenye hatari ya kuvamiwa na uchafu - Tetea Mazingira Swahili Podcast pamoja naye Fiston Muhindo kwenye Radio Tayna
Muji wa Goma ume kuwa kwenye hatari ya kuvamiwa na uchafu - Tetea Mazingira Swahili Podcast pamoja naye Fiston Muhindo kwenye Radio Tayna ndani ya kipindi Environnement notre VieLiens pour écouter le #podcast #TeteaMazingira sur la #Gouvernance des #Ressources_Naturelles en #français :#Amazon : https://music.amazon.fr/podcasts/afae369e-aefd-4214-9d43-28cd4b27b7ac/magazine-tetea-mazingira#Podcastaddict : https://podcastaddict.com/podcast/4102425Pocket Casts : https://pca.st/rgoa9mb9#GooglePodcasts : https://podcasts.google.com/feed/aHR0cHM6Ly9hbmNob3IuZm0vcy9iYWQwZWNkYy9wb2RjYXN0L3Jzcw?ep...
2023-03-28
15 min
Queen Gee Podcast
Sababu Zinazokufanya Ushindwe Kuweka Akiba (S04E05)
Hello Wealthy People! Episode hii ni ya wote tunaoshindwa kuweka akiba, sababu hizi ukizifanyia kazi utavuka eneo hilo la kuweka akiba na utakuja kunishukuru baadae.  Tafadhali Usiache Ku-Subscribe, like, comment pamoja na kushare episode hii na rafiki.  XOXO, Your Wealth Building Coach
2023-03-06
10 min
Malek's Podcast
Podcast Episode 124
1- Roy Rosenfeld - Kala 2- Erdi Irmak, HAUMS - City of the Sun 3- Modd, Lisandro (AR) - Silmarillion 4- Planet Funk - Chase the Sun (Makebo Remix) 5- SeÌbastien LeÌger - Ariana 6- Fran, KVSH, Maz - NingueÌm (feat. Chico Chico) 7- Berin - AmareÌ 8- Egeme & Sofiya Nzau - No Nginya 9- Enzo Siffredi, BAQABO - PAMOJA (Tayllor Remix) 10- Notre Dame - Yumi 11- Darmon, Eran Hersh, BLONDISH - Sorry 12- FairPlay - Latlal (Spada Remix) 13- Keinemusik & Desiree - Pussy Power (feat. Nomi Ruiz) [Desiree Remix]
2023-02-27
1h 06
Redio Rumuli Podcast
Rhema Outreach Ministries Kyabajwa At Redio Rumuli
Washirika wa Kanisa la Rhema Outreach Ministries Kyabajwa, walipata nafasi ya kufika kwenye Studio za Redio Rumuli kwa ajili ya kufanya shughuli mbalimbali za kujitolea, ikiwa ni pamoja na kufanya usafi wa mazingira. Kitendo hiki kiliwabariki zaidi watendakazi wa Kituo hiki, na zaidi ya yote watumishi hao wakapata nafasi ya kueleza kuhusu msukumo wa wao kufanya hivyo. Karibu upate kusikiliza shuhuda zilizomo kwenye rekodi hii kwa baraka zaidi.
2023-02-15
31 min
Diaries of a Modern Trailblazer
02: Stephâs Diary: Stepping Into Greatness
Episode Summary:Â In this episode, I take a step back at the end of the year and reflect on what Iâve accomplished as the founder of Pamoja and this new venture and leap of faith Iâm stepping into, launching this podcast. Stepping outside of my comfort zone is only leading to continued growth. I have faith and the utmost belief that I can do anything I put my mind to. Great things are to come in the future!Topics Covered:The inkling for entrepreneurship and why I lau...
2022-12-31
16 min
Salama Na
SE7EP29 - SALAMA NA DEO GRATIUS | PRIVILEGED?!
 Deo Gratias, jina tu linatosha kujielezea kama wewe nawe utakua kama mimi wa kutaka kujua maana ya majina ya watu ili uweze kujua tabia zao au ujiulize wazee wake walikua wanafikiria nini wakati wanaamua kumpa jina hilo mtoto wao. Kwa Deo maana imejibeba na imejikamilisha na kwa yeye kuamua kubaki na jina lake hilo hilo mpaka kwenye stage ambako ndo sehemu yake ya kazi inabidi hilo nalo likuambie jambo kuhusu yeye na jinsi ambavyo anajichukulia na kuyachukulia mambo ambayo ameyachagua kuyafanya. Shukrani ziende kwa Mungu ndo maana ya jina lake, shukrani ziende kwa Mungu kwa kila alifanyalo l...
2022-12-29
1h 11
Redio Rumuli Podcast
Ladies Of Destiny Mahusia Ya Mama
Ladies of Destiny (Mabinti wenye Hatima ya  ki-Mungu), kipindi kinachompa binti msaada wa kukabiliana na changamoto  mbali mbali katika maisha yake. Kipindi hiki kinalenga kusaidia  maisha ya binti/mtoto wa kike ili aweze kuifikia hatima yake njema  ambayo ameandaliwa na Mungu. kwa kufuatilia utaweza kupata mwelekeo  mzuri pamoja na kufanya maamuzi bora kwa mustakabali wa maisha yako kama  binti, huku jamii yote ikisaidiwa kupata mlengo kamili wa namna ya  kuwalea vyema watoto wa kike.
2022-11-22
29 min
Redio Rumuli Podcast
Ladies Of Destiny July 14 Final
Ladies of Destiny (Mabinti wenye Hatima ya  ki-Mungu), kipindi kinachompa binti msaada wa kukabiliana na changamoto  mbali mbali katika maisha yake. Kipindi hiki kinalenga kusaidia  maisha ya binti/mtoto wa kike ili aweze kuifikia hatima yake njema  ambayo ameandaliwa na Mungu. kwa kufuatilia utaweza kupata mwelekeo  mzuri pamoja na kufanya maamuzi bora kwa mustakabali wa maisha yako kama  binti, huku jamii yote ikisaidiwa kupata mlengo kamili wa namna ya  kuwalea vyema watoto wa kike.
2022-11-22
27 min
Redio Rumuli Podcast
Ladies Of Destiny Binti Na Badiliko
Ladies of Destiny (Mabinti wenye Hatima ya  ki-Mungu), kipindi kinachompa binti msaada wa kukabiliana na changamoto  mbali mbali katika maisha yake. Kipindi hiki kinalenga kusaidia  maisha ya binti/mtoto wa kike ili aweze kuifikia hatima yake njema  ambayo ameandaliwa na Mungu. kwa kufuatilia utaweza kupata mwelekeo  mzuri pamoja na kufanya maamuzi bora kwa mustakabali wa maisha yako kama  binti, huku jamii yote ikisaidiwa kupata mlengo kamili wa namna ya  kuwalea vyema watoto wa kike.
2022-11-22
27 min
Redio Rumuli Podcast
Ladies Of Destiny Binti Mwenye Nidhamu
Ladies of Destiny (Mabinti wenye Hatima ya ki-Mungu), kipindi kinachompa binti msaada wa kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha yake. Kipindi hiki kinalenga kusaidia  maisha ya binti/mtoto wa kike ili aweze kuifikia hatima yake njema ambayo ameandaliwa na Mungu. kwa kufuatilia utaweza kupata mwelekeo mzuri pamoja na kufanya maamuzi bora kwa mustakabali wa maisha yako kama binti, huku jamii yote ikisaidiwa kupata mlengo kamili wa namna ya kuwalea vyema watoto wa kike.
2022-11-22
27 min
The Dairy Edge
The Dairy Farming Experience in Kenya
George Ramsbottom, Dairy Specialist in Teagasc Oakpark, joined Stuart Childs on this weekâs Dairy Edge podcast to speak about his recent trip to Kenya. George went out to visit a masters student Michael OâLoughlin who is evaluating the efficiency of the extension programme being run by a charity called Development Pamoja. George explains how cows in Kenya arenât large producers mainly driven by lack of availability of water and mediocre quality feed. George went on to tell of the discussion groups in Kenya also operating...
2022-11-15
26 min
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Jinsi Ya Kushinda Roho Ya Kukata Tamaa Hata Pale Unapopata Hali Ya Kukata Tamaa.
Je, umekuwa unakata tamaa kirahisi? Je, umekuwa una pata roho ya kukata tamaa kwenye maisha yako? Je, unaamini huwezi kuendelea tena kwenye kitu unachofanya (Taja kimoyo moyo) na kuona ni bora uache kwa kukatatamaa? Lakini... Kumbuka kukata tamaa haifanyi maisha yako kuwa rahisi hata kidogo. Episode hii itaenda kuvunja kila kitu na roho ya kukata tamaa haitakuwa sehemu ya maisha yako tena. Kukata tamaa ni dhambi mbaya sana lakini unaweza kushinda roho ya kukata tamaa pasipo kujali nini unapitia kwa sasa kwenye maisha yako.... ....na kuwa na hamasa kubwa kutoka ndani, ujasiri pamoja na uvumilivu kwa kuamini unaweza kupiga hatua...
2022-11-04
22 min
Redio Rumuli Podcast
Ladies of Destiny (Mabinti wenye Hatima ya ki-Mungu), kipindi kinachompa binti msaada wa kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha yake.
Kipindi hiki kinalenga kusaidia maisha ya binti/mtoto wa kike ili aweze kuifikia hatima yake njema ambayo ameandaliwa na Mungu. kwa kufuatilia utaweza kupata mwelekeo mzuri pamoja na kufanya maamuzi bora kwa mustakabali wa maisha yako kama binti, huku jamii yote ikisaidiwa kupata mlengo kamili wa namna ya kuwalea vyema watoto wa kike.
2022-10-25
01 min
The Insightful Podcast Show (TIPS)
Prelude: Know what this Podcast is about
Tupe maoni yako. Kila mtu huwa na ndoto za mafanikio tunachotofautiana ni njia, na ukubwa wa ndoto hizo. Wapo wenye ndoto za kuwa mabilionea, na pia wapo wenye ndoto za kuweza kupata mlo wa leo tu. Na tofauti hizo naimani husababishwa na makuzi ya nyumbani, marafiki tunaojizungunga nao Pamoja na fursa tunazozipata au kuzaliwa nazo. Mimi binafsi naamini vitu hivyo vitatu vinaenda sambamba kuijenga âmindsetâ ya mtu. Nchi nyingi za Africa hali duni ya manyumbani hupelekea mtu kujifunga kifikra na hii husababishwa sana na ukosefu wa elimu Pamoja na utandawazi. Marafiki pia hujenga mindset ya mtu kwani ukij...
2022-10-03
03 min
Qualitist. on Soundcloud
Qualitist. Podcast | Guest Mix 005 - TAYLLOR
We are excited to introduce our new guest - TAYLLOR Born in 1990 and raised in Greece, Dim started his career by mixing hip-hop and rnb sounds in highschool parties. His hobby was his passion, so soon he found himself working as a professional DJ. At his early 20s he was part of a Dj Duo, called Starsound. Events around Europe and all over Greece, were some of the group's highlights. In 2014 he moved to Dubai and started his solo career. Ranked no. 40 Best Afro House Producer in Beatport for 2021. As a producer, his showcase includes releases at Hurry Up Slowly...
2022-07-15
1h 00
Radio Public APGCITV Anchor.fm from Lancaster Pennsylvania state in America
Radio Public APGCITV-USA FM Bwana YESU KRISTO Iko Pamoja nawe
By Apostle Jean Baptiste Paluku Mulovery from Apostolic Power of God Church International Ministries APGCI UNITED CHURCHES GLOBALY MINISTRIES BIBLE --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/apostolicpowerofgod/support
2022-07-12
16 min
Uchumi na Biashara
Uchumi na Biashara Podcast; Bidhaa ghali, pigo kwa uuzaji chakula
Bi. Mwansa, mwanamke mwenye umri wa miaka 70 amekuwa akijihusisha na upishi wa vyakula mbalimbali ambavyo huviuza kwa wateja kila siku, biashara ambayo ameifanya kwa zaidi ya miaka arubaini sasa. Biashara hii aliitegemea sana kuyakidhi mahitaji yake pamoja na wanawe kukiwamo kugharimia karo ya ya wanawe. Mwanamke huyu ambaye ni mkazi wa Majengo, Mvita katika Kaunti ya Mombasa anajihuisha na upishi wa chapati na maharagwe ya nazi. Vyakula vingine ambavyo pia Bi. Mwansa hupika ni mikate ya sinia na mitai. Kupanda kwa gharama ya bidhaa za upishi ukiwamo ya unga wa ngano, mafuta ya kupikia miongoni mwa bidhaa nyingine ambapo huzitumia...
2022-06-23
21 min
Spikenard
Episode 58 Part 2 with Jeff Baluku - Burundi Pamoja Festival
Two weeks ago Jeff Baluku shared with us in Episode 57 Part 1 about his journey to how he got where he is. This week he joins Steve in sharing how he came about starting the Burundi Pamoja Festival. This story is full of inspiring moments and events that took place to start this event that has gone on for over five years. Connect with Jeff:https://www.instagram.com/jeffbaluku/?hl=enFestival Links: https://www.instagram.com/pamojafestival/?hl=enhttps://www.facebook.com/PamojaFest/...
2022-05-31
23 min
FPLTZ Podcast
Double Gameweek 34 | FPLTZ Podcast | FPL Tanzania | Swahili Tips 2021/22
Double Gameweek 34 ni ya kipekee maana kuna maamuzi mengi ya kufanyika na Mkali pamoja na Eric watajibu maswali kadhaa yanayotatiza kuelekea gameweek hii. Karibuni! Support Us: https://www.buymeacoffee.com/FPLTanzania About Us: FPLTZ Podcast ni podcast ya kwanza ya kiswahili kutoka #FPLTANZANIA kwa ajili ya fantasy premier league inayokuwa hosted na Godfrey Shirima na Eric Baisi (wenye miaka zaidi ya 20 combined kwenye kucheza game hii) ina drop kila sehemu unapoweza kusikiliza podcast kila Jumatano!Â
2022-04-22
41 min
Vijana na Mapenzi
Vijana na Mapenzi Podcast; Mwanamke mwenye mtoto, atapataje mume mwaminifu?
Mwanamke anapopata mtoto nje ya ndoa ama kumzaa mtoto katika ndoa kisha kutengana na mumewe, wapo wanaojipata katika njia panda anapotafuta mchumba. Baadhi huhofia kuwa katika mapenzi kwa hofu ya kulaghaiwa tena na hofu ya kupata mwanamume atakayempenda pamoja na mwanawe. Je, mwanamke huyu afanye nini ili ampate mchumba wa kumwamini?Tunaliangazia suala hili kwa kuhusisha kauli za wananchi vilevile mshauri.
2022-04-21
06 min
FPLTZ Podcast
Double Gameweek 33 | FPLTZ Podcast | FPL Tanzania | Swahili Tips 2021/22
Double Gameweek 33 ni ya kipekee maana kuna maamuzi mengi ya kufanyika na Mkali pamoja na Eric watajibu maswali kadhaa yanayotatiza kuelekea gameweek hii. Karibuni! Support Us: https://www.buymeacoffee.com/FPLTanzania About Us: FPLTZ Podcast ni podcast ya kwanza ya kiswahili kutoka #FPLTANZANIA kwa ajili ya fantasy premier league inayokuwa hosted na Godfrey Shirima na Eric Baisi (wenye miaka zaidi ya 20 combined kwenye kucheza game hii) ina drop kila sehemu unapoweza kusikiliza podcast kila Jumatano!Â
2022-04-15
44 min
Gumzo na Mwanaspoti
Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Chris Oguso(Police FC) Tunarejesha nidhamu katika Soka. Sehemu 2
Afisa Mkuu Mtendaji wa Klabu ya Police FC, Chris Oguso anasema watarejesha nidhamu katika soka ya humu nchini. Katika mahojiano na mwanahabari wetu Walter Kinjo pamoja na Rodgers Eshitemi, Oguso anasema nidhamu itaboresha ligi kuu ya FKF vilevile kuwaboresha wachezaji.
2022-02-27
28 min
Gumzo na Mwanaspoti
Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Chris Oguso (Polisi FC); maslahi ya wachezaji
Afisa Mkuu Mtendaji wa Klabu ya Police FC, Chris Oguso anasema wachezaji wengi ambao wanashiriki Ligi Kuu ya FKF wana matumaini ya kujiunga na klabu hiyo kutokana na sheria vilevile maslahi ya wachezaji. Katika mahojiano na wanahabari wetu, Walter Kinjo pamoja na Rodgers Eshitemi, Oguso anasema klabu hiyo imefanya kipaumbele maslahi ya wachezaji ili kuboresha soka na kurejesha imani ya mashabiki kwa Ligi Kuu ya FKF.
2022-02-20
31 min
Taiwanese Diaspora ć°çŁäșș Podcast
#51: [Friendspiration Series] Stephanie Evans, founder of Pamoja
This is the first episode in the Friendspiration Series! We recorded this almost exactly a year ago in Feb 2021, a few months after Pamoja officially launched. I'm super excited to introduce you to Stephanie Evans, founder of Pamoja! We first met at a post-MBA program in Italy, and I'm so excited for her to share her journey in founding a leather goods brand while working full-time. Her first product: The Nia (3-in-1 multi-functional bag: wallet, crossbody, clutch). Topics discussed: entrepreneurship, goal setting, product development and prototyping, finding partners, social impact, and more. Perspective on...
2022-02-03
37 min
Kisa Changu
Kisa Changu Podcast: John Kiriamiti - maisha ya uhalifu; alianzia uandishi jela
Anafahamika kufuatia visa vyake vya wizi sugu wa pesa katika benki wakati wa miaka ya 70. John Kiriamiti aliacha masomo akiwa katika kidato cha kwanza akiwa mwanafunzi katika shule ya upili ya Prince of Wales ambayo sasa ni Nairobi School, na hapo ndipo alipoanza uhalifu. Hata hivyo, wasemao husema kwamba siku za mwizi ni arubaini. Kiriamiti pamoja na wenzake walikamatwa na kuhukumiwa jela kutokana na uhalifu huo. Akiwa jela, John Kiriamiti alianza uandishi wa vitabu, ambavyo baadaye vilikuwa maarufu nchini na kupendwa sana hasa na wanafunzi. Vitabu vilivyoandikwa na Kiriamiti ni kama My Life in Crime, My Life With a Criminal...
2022-02-03
48 min
Radio Public APGCITV Anchor.fm from Lancaster Pennsylvania state in America
Radio Public APGCITV-USA ( Nivema na yakupendeza Kwa wangu ku Kaa Pamoja Kwa Umoja Zaburi 133:1-3
APGCITV USA/ UNDERSTANDING THE APOSTOLIC POWER OF GOD, MINISTRY And are built upon the foundation of the apostles and prophets, Jesus Christ himself being the chief corner stone; In whom all the building fitly framed together groweth unto an holy temple in the Lord: In whom ye also are builded together for an habitation of God through the Spirit. Ephesians 2:20-22 The word apostolic is not a theological perspective or a doctrinal word. It is a functional word. It is the function of those who are walking within the confines of apostolicity. The apostolic ministry is probably the key to...
2022-01-23
2h 33
FPLTZ Podcast
Gameweek 20 & 21 | FPLTZ Podcast | FPL Tanzania | Swahili Tips 2021/22
Support Us: https://www.buymeacoffee.com/FPLTanzania Kwenye episode hii tumefanya pamoja na FPL Tanzania Scouts Ipy & Pio ili kuweza kuongelea gameweek ya 20 na 21 kwa pamoja. Tumepitia kila mechi na kugusia potential assets na pia all important captain picks for these back to back game weeks ahead of us. Enjoy! About Us: FPLTZ Podcast ni podcast ya kwanza ya kiswahili kutoka #FPLTANZANIA kwa ajili ya fantasy premier league inayokuwa hosted na Godfrey Shirima na Eric Baisi (wenye miaka zaidi ya 20 combined kwenye kucheza game hii) ina drop kila sehemu unapoweza kusikiliza...
2021-12-27
50 min
FPLTZ Podcast
Meet the FPL Manager - Ipyana Itika | Scout | FPL Tanzania
Kwenye episode hii Godfrey na Eric wapo pamoja na FPL manager Ipyana Itika a.k.a Scout. Manager Ipyana anajivunia kuanzisha moja ya competitive mini league ya âGaffersâ pamoja ya kuaminiwa na his fellow fpl managers kama scout. Ungana nasi kupata kusikia passion, dedication, fun and lessons learned from the âscoutâ himself. FPL Manager profile: Team name: Havocks Top Rank: 690k Twitter: @Tanzania_FPL About Us: FPLTZ Podcast ni podcast ya kwanza ya kiswahili kutoka #FPLTANZANIA kwa ajili ya fantasy premier league inayokuwa hosted na Godfrey...
2021-12-20
42 min
Uchumi na Biashara
Uchumi na Biashara Podcast: Krismasi ya taabu; bidhaa ghali, maisha magumu
Msimu wa Krismasi na mwaka mpya kwa kawaida huwa wenye shamrashamra. Watu wengi hununua vyakula, wengine nao husafiri kwenda kusherehekea pamoja na jamaa, ndugu na marafiki. Lakini msimu huu, huenda mambo yakawa tofauti kulinganishwa na miaka ya awali kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa za msingi. Mwanahabari wetu, Martin Ndiema amezungumza na baadhi ya Wakenya kuhusu kupanda kwa bei za bidhaa na jinsi wanavyopanga kusherehekea msimu huu.
2021-12-09
07 min
Siasa na Gumzo
Gumzo la Wiki Podcast: Kenya si tajiri; Wakenya wamwambia Uhuru
Kauli ya Rais Kenyatta kuwa Kenya ni namba sita barani Afrika kwa utajiri imewaghadhabisha Wakenya wanaosema umaskini umekithiri nchini. Kuhusu siasa, Rais Kenyatta anasema wanasiasa viana watashindwa na wazee licha ya mbio zao za kisiasa. Je, sasa ni wazi kuwa Uhur anamuunga mkono Odinga kuwania urais? Je, hatima ya OKA ni gani? Aidha, IEBC imejiondoa katika kamati ya pamoja ya maandalizi ya uchaguzi. Maoni yako ni gani? Wanahabari wetu John Mbuthia wa Nyeri na Moses Kiraise wa Pokot Magharibi wametangamana na wananchi kuhusu masuala haya.
2021-12-05
08 min
Radio Public APGCITV Anchor.fm from Lancaster Pennsylvania state in America
Radio Public APGCITV-USA (Ufungulivu wako ) Pamoja Na Apostle Cado Kasereka At our Place Bukere
Apostolic Power of God Church International Ministry in the world đ APGCI UNITED CHURCHES GLOBALY --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/apostolicpowerofgod/support
2021-11-30
12h 17
Siasa na Gumzo
Gumzo la Wiki Podcast; OKA yafufuka, Jubilee ikiwaka moto
Imekuwa wiki yenye matukio kadhaa ya kisiasa huku muungano wa OKA ulioonekana kufifia ukifufuka kwa mikutano ya kuwatia wasiwasi wapinzani japo swali ni lile lile la ni nani atakayepata tikiti? Kule Jubilee, mikakati ya kumtema Ruto rasmi inaendelea huku naye akiendeleza cheche kali, wakati huu akikosoa mikopo waliyoichukua kwa pamoja na Rais Kenyatta. Wanafunzi nao wamefanikiwa kuishinikiza serikali kuwapa likizo. Ndiyo suluhu ya mioto shuleni? Moses Kiraese wa Pokot Magharibi, William Omasire wa Nyamira na Martin Ndiema wa Trans Nzoia wanatupambia sehemu hii.
2021-11-07
20 min
Gumzo na Mwanaspoti
Gumzo na Mwanamichezo Podcast: Ndondi yataka nidhamu
Katika mashindano ya ndondi, nidhamu na heshima pamoja na uvumilivu ni baadhi ya mambo yanayochangia mwanabondia kuimarika. Edwin Okongâo, mwanabondia ambaye ameliwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali anasema bila nidhamu ni vigumu sana kuimarika katika mchezo wa ndondi. Walter Kinjo amezungumza na Okongâo kuhusu safari yake akiwa mwanabondia na umuhimu wa nidhamu.
2021-11-02
14 min
Kisa Changu
Kisa Changu Podcast: Ulemavu si hoja; ndoa ni ya dhati
Linet Kagasa mwenye umri wa miaka 30 asiye na miguu yote miwili vilevile aliyelemaa mkono wa kushoto alikuwa na ndoto ya kupata mtu wa kumpenda na kumfanya mkewe. Alipatana na Peter Odiwuor kwenye mtandao wa Facebook na wakaanza uhusiano ambao uliwafikisha katika ndoa na sasa wanaishi pamoja. Katika Kisa Changu wiki hii wawili hawa wanazungumza na Faith Kutere kuhusu safari yao ya mapenzi na jinsi jamii ilivyochukulia uhusiano wao.
2021-10-31
19 min
Kisa Changu
Kisa Changu Podcast: Ulemavu si hoja; ndoa ni ya dhati
Linet Kagasa mwenye umri wa miaka 30 asiye na miguu yote miwili vilevile aliyelemaa mkono wa kushoto alikuwa na ndoto ya kupata mtu wa kumpenda na kumfanya mkewe. Alipatana na Peter Odiwuor kwenye mtandao wa Facebook na wakaanza uhusiano ambao uliwafikisha katika ndoa na sasa wanaishi pamoja. Katika Kisa Changu wiki hii wawili hawa wanazungumza na Faith Kutere kuhusu safari yao ya mapenzi na jinsi jamii ilivyochukulia uhusiano wao.
2021-10-24
19 min
Dhamana
Mgawanyo wa mali baada ya Talaka.
MGAWANYO WA MALI BAADA YA TALAKA.Mgawanyo wa mali zilizochumwa kwa jasho la wanandoa wote wawili hugawanywa sawa kwa kila mmoja. Mchango katika kupatikana kwa mali hizo ndio sababu kubwa ambayo huzingatiwa katika kugawa mali za ndoa.Mchango katika kupatikana kwa mali za ndoa ni pamoja na kazi za nyumbani ambazo hufanywa na wanawake katika ndoa. kazi hizo hutambuliwa kisheria Kama mchango unaompa haki mwanamke kupata mgao katika mali zilizochumwa pamoja baada ya ndoa kuvunjika.Mali zinazogawanywa ni zile zilizopatikana kwa nguvu ya pamoja na si mali binafsi za wanandoa waliotengana. Kuna uwezekano kwa wanandoa kuwa na mali binafsi ambazo...
2021-10-18
02 min
Dhamana
Kutokuwa na kazi ni kosa kisheria.
KANUNI YA ADHABU SURA YA 16 KIFUNGU CHA 176(h).Kinasema, "mtu mwenye afya kamili ambaye hajishughulishi katika kazi yoyote ya uzalishaji na hana namna yoyote inayoonekana waziwazi ya kujikimu, atahesabiwa kuwa ni mtu mvivu na mzembe na atapaswa kulipwa faini isiyozidi shilingi mia tano au kifungo kisichozidi miezi mitatu au vyote kwa pamoja.#sheria#junguupdates
2021-10-15
01 min
Vijana na Mapenzi
Vijana na Mapenzi Podcast: Ni sawa kwa msichana kuwekeza kiuchumi kabla hajaolewa?
Baadhi ya wasichana siku hizi wamejaliwa na ajira tofauti na miaka ya nyuma ambapo kazi ya mwanamke ilikuwa jikoni. Wengine wanaofanya kazi hupata mapato ya kujisetiri na hata kujiendeleza kimaisha. Lakini ni sawa kwa msichana kujinunulia mali mfano magari, nyumba na kadhalika kabla hajaolewa ama anastahili kusubiri aolewe ili ajiendeleze pamoja na mumewe? Vijana wanalichangamkia suala hili katika makala haya. Vilevile tumemhusisha mshauri anayetoa wosia kuhusu suala hili.
2021-10-10
10 min
Ado Veli Podcast
Ado Veli Podcast - Sad Girl Hours Playlist Hosted By Pesh
Ado Veli Podcast season 08 episode 13, which is episode number 195 Pesh hosts, the sad girl hours playlist, giving y'all those soothing,melow and slow RNB vibes. Tracklist Intro 0:00:00 Mumbi Macharia - Sad Girl Hours 0:01:43 Jaydonthedayone - Time Goes 0:03:34 Steph Kapela - Pamoja 0:06:46 ManuhIsMe ft Joan - Into You 0:10:51 Angie Wambura - Tired 0:12:33 Kabuga ft Shirley G - Been Crazy 0:17:22 Harawa - Her Freestyle 0:20:18 Darya Kish - Sometimes 0:23:25 Emmah Cheruto - Is It Though (Interlude) Shift Happens EP 0:27:13 Karun ft Higo And Mpho Sebina - Paths 0:29:13 Kelele Kollektiv ft King Kerby - Bambi (Original Mix) 0:34:37 Wendy Kay ft Mbithi - Crush 0:38:00 Waithatha...
2021-09-23
1h 09
Sepetuko
Sepetuko Podcast; Uhuru ameamua ni Raila - kuondoa chuki za kihistoria
Uhuru Kenyatta amefanya kikao kilichowaleta pamoja Raila Odinga na viongozi wa One Kenya Alliance, OKA. Uhuru aliwashawishi kumuunga mkono Raila, akisema ndiye wa pekee mwenye ushawishi wa kisiasa. Japo haijasemwa, Uhuru analenga kuondoa siasa za chuki za kihistoria na kuchimbana...za tangu miaka ya 60. Pia analenga kuondoa propaganda dhidi ya familia ya Jaramogi ila kumtenga Ruto au kutotimiza ahadi ambazo Uhuru alimpa kuhusu kumuunga mkono 2022 ni kutobadili kitu; ni kuendeleza uadui wa kisiasa nchini.
2021-08-13
05 min
Kisa Changu
Kisa Changu Podcast: Ugonjwa wa kinga mwilini kushambulia seli umenivurugia maisha!
Dickson Kibiwott alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Masinde Muliro takriban miaka 5 iliyopita alipougua ghafla. Alipatakina na tatizo la kiafya ambapo kinga ya mwili hushambulia seli mwilini, ugonjwa ambao unajulikana kama multiple sclerosis, ambao ulimlemaza baada ya siku tatu tu. Ugonjwa huu hauna tiba na wakati mwingine humsababisha mtu kupooza, kukosa kuona vizuri, kuhisi uchovu mwingi, kushindwa kutafuna chakula na kumeza, kushindwa kuzungumza miongoni mwa matatizo mengine mengi. Kibiwott alilazimika kusitisha masomo yake na mamaye akilazimika kusitisha biashara ili kumshughulikia akiwa nyumbani. Faith Kutere amezungumza na Kibiwott pamoja na mamaye, Loice Tum anayeeleza changamoto za kumshughulikia...
2021-08-08
13 min
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Mambo Matano (05) Ya Kufanya Ili Uongeze Uwezo Wa Kujiamini
Hofu na uoga imekuwa kizuizi cha kushindwa kutimiza malengo yako pamoja na ndoto zako? Kupitia Podcast hii utakuwa mtu mwenye kujiamini kwa kujua nini ufanye ili uweze kushinda na Kutawala hofu na uoga kwenye maisha yako; kujiamini ni matokeo ya kushinda hofu na uoga ili upate matokeo makubwa hakikisha unafanyia kazi uliyojifunza kupitia Podcast hii na uanze kuwa mtu mwenye kujiamini inawezekana sana kutimiza malengo yako, ndoto zako pamoja na maono yako. kauli Mbiu: âMAISHA NI KUTHUBUTUâ
2021-07-31
13 min
Vijana na Mapenzi
VIJANA NA MAPENZI PODCAST: Jamaa abaki njia-panda baada ya kuachwa na mke
Podcast hii inamwangazia jamaa mwenye umri wa miaka 30 ambaye hajui la kufanya baada ya mkewe kumtoroka. Kijana huyo anayefanya kazi katika Kaunti ya Isiolo anasema kwamba siku moja mkewe alimwomba ruhusa ya kwenda kuwaona wazazi wake na hadi sasa hajarejea. Mwanamke huyo aliondoka pamoja na mtoto wao wa umri wa miaka 3 na anapopigiwa simu na mumewe anasema kwamba aliolewa kwingine. Kijana huyu yuko katika njia-panda asijue la kufanya. Mshauri wa masuala ya kijamii, Rachel Mahungu anampa ushauri katika podcast hii.
2021-06-19
10 min
Africans Heal
1. Intro to The Africans Heal Platform - Africans Heal Podcast
đThis week's episode is an intro to Africans Heal. đ€Welcome to Africans Heal. My name is Christine Kesekwa and I will be your host. In this episode, I share why I chose to launch The Africans Heal Platform and the Africans Heal Podcast. The Africans Heal Platform is here to help foster a healthy African diaspora community and promote mental health wellness through storytelling and celebrating our cultures. I believe that African voices matter. This platform is here for us to do that, share our stories, our stories of joy, our stories of pain, and...
2021-03-05
08 min
Simply Me Podcast
Nilichojifunza 2020 kutoka Kitabu cha Nabii Isaya
Nimeweza kushare na nyiee, sura na aya ninazozipenda kutoka Kitabu cha Nabii Isaya kama masomo yangu ya nyakati kwa mwaka 2020. Ntaandika sura na aya zake hapo chini,Ukipenda utazisoma kwa ajili ya chakula cha roho. Sijaweka tafakari ila karibu tutafakari pamoja mpendwa. Isaya 1:18-20,1:26,12:1-3,14:3,33:18, 35:3,40:28,41:180, 43:1-5 na Isaya 62âĄâĄâĄâĄâĄâĄ. Usisahau kupitia kurasa yangu ya Instagram @pazasauti0 na pia kushare,kuscribe,kuacha ujumbe katika episode hii. Byee ĂĂ. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/lina-killian/message
2021-02-19
09 min
Salama Na
Ep. 40 - Salama Na KADUGUDA | SIMBA WA YUDA
Mara ya kwanza kukutana na Mwina Kaduguda na tukaongea kiasi ilikua kwenye seminar ambayo timu ya Simba ya wanawake ilikua imeandaliwa kwaajili ya kuwaweka sawa kwenye masuala ya biashara, jinsi ya kujitunza wao na vipaji vyao, jinsi ya kuishi na umaarufu na pia kusimamia masuala yao ya kifedha. Mzee Kaduguda alikuwepo kwenye kikao hiko akiwa kama Mwenyekiti wa klabu ya Simba, na pia mmoja wa watoa nasaha kwa mabinti hao. Na kusema za ukweli toka siku hiyo baada ya kumsikiliza akiongea na wachezaji wale pamoja na Mimi ambaye nilikua mgeni tu kwenye seminar ile, nilivutiwa sana na...
2020-11-05
00 min
Yesaya Software Podcast
Maandalizi ya Devfest November 07 -08, 2020 na Faida ya Kushiriki Event hii ya Developers
Mambo vipi, kwenye toleo hili nimezungumza na waandaji na washiriki wa Sherehe ya Developers hapa Tanzania yaani Devfest. Devfest ni sherehe za kila mwaka kwa developers, tumekuwa tukienda pale Buni pamoja na yote kuhusu TEHAMA tumekuwa tukila na kujumuika kwa pamoja. Sasa sherehe hizi zimenasimamiwa na community ya Google Developers Group (GDG), kupata update kutoka kwao wafuate pale Twitter @GDGDarEsSalaam.Kwenye mazungumzo haya nilimwalika Georgia, yeye ni mmoja wa waandaji wa sherehe hizi, yupo pia Veronica ambaye mwaka jana alikuwa sehemu ya walioshiriki kuendesha sherehe hizo. Ninao pia wazungumzaji (speakers) kwenye event ya mwaka jana (David Tan...
2020-10-24
31 min
Simply Me Podcast
SARS&STANDING TOGETHER WITH NIGERIANS đȘ By Joshua Koya ambaye ni muanzilishi wa Nguvu Health.
SARS ni kifupi cha Special Anti Robbery Squad ni kikundi maalumu cha polisi huko Nigeria, kiliundwa 1992 kudhibiti ujambazi, wizi wa mali kama pikipiki, wizi wa mifugo nk. Kampeni za #endsars zilianza Nigeria mwezi wa October, 2020 kwenye mitandao ya kijamii (twitter ). Wakiwa na kampeni yakufuta Sars kutokana na matendo wanayofanyiwa vijana kama ubakaji, utekaji nyara, unyanyasaji wa vijana wanamiliki vitu na magari ya thamani. Mgeni wetu Joshua Koya ambaye ni muanzilishi wa Nguvu Health( @nguvuhealth_ : companyâs handle @joshkoyajfk : personal handle. ) amezungumza kwa lugha ya kingereza kutupa habari zaidi juu ya hali ya watu huko Nigeria na wanachopitia. Tujifunze pamojađ --- Send...
2020-10-19
13 min
Yesaya Software Podcast
Nimefanya Uchambuzi wa Episode Tisa (9) Zilizopita
Mambo vipi, kwenye toleo hili nimezungumza na ⊠anyways leo mwenyewe na sina mgeni hapa nimeona ni vyema kukafanya mapitio ya matoleo tisa (9) yaliyopita na episode ya 10 imekuwa ni ya kipee kabisa kama milestone muhimu ya kujitafakari na kupata feedback kutoka kwako.Nimefanya uchambuzi wa matoleo tisa (9) yaliyopita, nimekukumbusha machache wasemaji wetu walivyochangia. Ilikuwa wakati mzuri sana na nimejifunza mengi sana kupitia wao. Nawashukuru sana sana.Episode 01 - GeorgiaEpisode 02 - SamEpisode 03 -  JonathanEpisode 04 - NaaminiEpisode 05 - BillyEpisode 06 - EphraimEpisode 07 - Dr. NeemaEpisode 08 - MohamedEpisode 09 - AnthonyKipee kabisa napenda niwashukuru wasikilizaji kwa kusikiliza Yesaya Software Podcast, nif...
2020-10-17
20 min
Simply Me Podcast
Road to Millionaire!
Tunaweza kuwasikia wajasiriamali wadogo, wenye hari na nguvu yakusaka dolari (pesa)bila kukata tamaa pamoja na changamoto zote wanazopitia. Wametupa elimu na maarifa wanayotumia kundeleza biashara zao kwa muda sasa. Pia utasikia sababu mbalimbali zinazowapa kusonga mbele na mbele zaidi katika kusimamisha na kuimarisha biashara zao kikamilifu. Wakisisitiza vijana tuwe na Subira kwani Subira yavuta Kheri. Asante sana mwana Paza sauti. Hizi ni kurasa zao za Instagram, tafadhali wafollow kuwaunga mkono na kujifunza kwa wewe unayependa ujasiriamali na bado unajishauri kuanza na pia wewe ulikata tamaa yakuanza kabisa Inawezekana! https://www.instagram.com/shaynayscollection/ @shaynayscollection https...
2020-08-31
19 min
Utawezana? Podcast
Most Disliked Songs On Youtube!
Nilikuwa nna haraka Kidogo Wakati Narekod Nilikuwa Nawahi Kwenda Kunywa Chai Hii Episode Lakini Kitu Kizuri Ni Kwamba Nimekuletea Orodha Ya Video Ambazo Zimepata "Dislikes" Nyingi Sana Huko Mjini Youtube Kwa Tarehe 24 August 2020! Tuendeleee Kuwa Pamoja
2020-08-15
07 min
Creatives in Focus : The Podcast
Jason Kitenge - Social entrepreneurship and innovation
Welcome to the Creatives in Focus Podcast. The podcast where we discuss the journey to excellence and creating for impact. Connect with us on Instagram @creativesinfocus Twitter: @creativesnfocus #creativesinfocus. This is episode 24 On this episode, I had the pleasure to speak to Jason Kitenge. social entrepreneur, policy advisor, writer and the founder of Pamoja Network. Pamoja network is a pre-accelerator delivering consultancy to entrepreneurs across Africa to facilitate sustained job creation for youth across local communities. On this episode: 1. Advice on entrepreneurship and leadership 2. Starting and building a...
2020-07-30
00 min
Linus Siwiti's podcast
Episode 17 - Tafakari ya Maandiko Ya BibliaLinus Siwiti's podcast
18 Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu. Mithali 30:1819 Mwendo wa tai katika hewa; Na mwendo wa nyoka juu ya mwamba; Mwendo wa merikebu katikati ya bahari; Na mwendo wa mtu pamoja na msichana. Mithali 30:1920 Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu. Mithali 30:2021 Kwa ajili ya mambo matatu nchi hutetemeka, Naam, kwa ajili ya manne haiwezi kuvumilia. Mithali 30:2122 Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula; Mithali 30:2223 Mwanamke mwenye kuchukiza aolewapo; Na mjakazi aliye mrithi wa bibi...
2020-07-30
14 min
Podknown: Eternal Sunshine of a Lockdown Mind
Pamoja with Pablo
Convo about monkey shit curry, traveling, and diversity. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app
2020-06-24
53 min
Salama Na
Ep. 13 - Salama Na Zuhura | DADAKE
Moja ya watu walopigana vita zao wenyewe kimya kimya na wengine wakashuhudia tu mtu yuko jukwaa la kimataifa na anazidi kusoga. Maana halisi ya nitafanya kama ilivyo ili tuone mbele itakuaje maana Mungu amekua mwema haswa, so kwake yeye hakuna kinachoshindikana na kiukweli kabisa kama wewe ni wa mbili basi utaendelea kuzivaa maana mwenye hizo mbili kuvaa moja abadan! Mimi nilikutana naye kwa mara ya kwanza kwenye mahangaiko ya kazi yangu ya kwanza, radio mpya ilikua imeanzishwa hapa mjini, kwa msaada wa Soggy Doggy Anter aka Chief Rumanyika nikapata nafasi ya angalau kuingia mule ndani na nikakutana...
2020-04-23
54 min
Hospital Records Podcast
Hospital Podcast 413 with London Elektricity
It's that time of week again! London Elektricity is back for the 413th episode of the Hospital Podcast! In this weeks mix, expect to hear more new music from Deg's debut LP 'Letters From Ndegwa' Also the brand new track 'I See The Future In Your Eyes' from the legend that is Netsky!  Tracklist: Degs - Trade Places (feat. LSB & Phoebe) Degs - Colour My Soul (feat. Logistics) Netsky - I See The Future In My Eyes Askel - Through Calibre - Pillow Dub ...
2020-04-07
1h 20
Salama Na
Ep. 10 - Salama Na MwanaFA | KARAMA
Weekend mbili zilitopita rafiki yangu Mwinyi aka Mpwa aka Cousin aka Hamis alikua akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake na alikua amefiksha umri wa kustahili kusherehekea kwa kweli na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa maisha, mke wake kipenzi alinipigia simu siku nne kabla ya birthday ya mumewe na kutaka tujumuike nae kum suprise, pia akaniambia ana kazi sana ya kuweza kukamilisha hilo tukio maana jamaa (Mwana FA) kashasema yeye hana mango wa kutaka shughuli, angependa maisha yaendelee tu kama kawaida. Pengine alikua akitarajia dinner nyumbani na mkewe na wanawe basi. So kukawa na zoezi hapo la kuhakikisha jamaa hasomi mchongo na...
2020-04-02
55 min
Sky Wave Radio Hosted By Petko Turner
Podcast - Mr Turner - Sunset Grooves 113 - Free DL As Usual
Free DL > https://hypeddit.com/track/xy5u3q Tracklist: Intro - Martin Luther King Gerra G - A Mascara Nicola Cruz - Stereo Receiver Grover Washington Jr. - 2 Of Us (Lntg Rework) Folk & RĂžvere - Fortihouse (Petko Turner's Delta Edit) Pamoja - Oooh, Baby (Disco Tech Edit) Warren G - Regulate (CC EDIT) Nebraska - Keep On Keeping On Quannum - I Changed My Mind (Mr. Turner's Stereo MCs Edit) Gecko Turner - Un Limon En La Cabeza (Quantic Remix) Mitko - NYC Flow Dynamics - Better On Stage G.P. - Ainât Right (James Rod Rework) Nin...
2020-03-18
59 min
Pamoja Podcast
Season 1 Episode 08: How do you manage your money?
Money. If money was a human being, how would you describe your relationship with it? What misconceptions do you have about people and money? How do you manage your income? You toil and hustle for a small fraction of what you wish to get; how do you spend it? Do you set aside a salary for yourself We discuss all this and more with Eugene Kavuma (producer of Pamoja) and Aisha Ali, a financial literacy expert Expert in our latest episode. c.c. Rehema WL
2020-02-21
53 min
Pamoja Podcast
Season 1 Episode 07: A Conversation about Pamoja, Dopamine, and Shared Experiences Podcasting and Facing our Fears
What's it like to start a podcast? What does impact look like creating a podcast for youthful Ugandan audiences? How do you face your greatest fears in life? Answers to these and more are discussed by these great ladies, both creators of some of Uganda's newest and growing podcast brands, Pamoja Podcast and Dopamine Podcast.
2020-01-03
54 min
Pamoja Podcast
Season 1 Episode 06: Profile: Activist Hamidah Nassimbwa
What does activism mean for (Muslim) women politicians in #Uganda? With the rising threat to civic space, many activists are putting their lives on the line to speak out against different forms of injustices in their communities. We get an insight into this through Nnalongo Nassimbwa Hamidahâs story about courage, conviction, and a strong desire to create a better world for future generations. Sis. Hamidah tells all about the risk she has put her family through in the name of activism. Click to listen in and find out, download, and share with your friends and family. Do...
2019-10-31
45 min
Pamoja Podcast
Season 1 Episode 05: What's it like growing up with a Muslim Dad and a Christian Mom?
Very often, when two people decide to get married and start a family, the conversation about how their religious or ideological differences affect how their children's growth and worldview, is often overlooked. This episode features stories of young adults growing up in such families and highlights their struggles, life lessons, and unique perspectives about religion and the world as a result. Key reflection/lesson from episode: Itâs the duty of parents to teach their children what is right and wrong. Itâs also important for parents to mold key values and belief practices that will enable thei...
2019-09-13
51 min
Pamoja Podcast
Season 1 Episode 04: The Story of a Revertee ft. Sis. Halima Tedoldi
This episode features the life of Sis. Halima Tedoldi, who reverted to Islam at 21 years old. Her story demonstrates inspiration, courage, and love in a daily effort to become a better Muslim. Enjoy and don't forget to share with your friends and family!
2019-08-23
33 min
Pamoja Podcast
Season 1 Episode 03: Muslim, Single & Searching (Pt 2): What You Should Know Ft. Jamida Nakaye
A marriage counselor, Ms. Jamida Nakaye, shares some tips and advice on how to best prepare to find the right person for a long-term relationship/marriage.
2019-06-28
51 min
Pamoja Podcast
Season 1 Episode 02: Muslim, Single & Searching (Pt 1): Where is Bae?
What's it like to be a young unmarried Muslim searching for love? Where are they looking? Do you identify with their observations, experiences, and lessons? Do you know what matching-making is all about? Find out in the second segment how a group of Muslims are matching others looking to settle down in a halal manner! Featured Guests: Mr. Kiwanuka Kizili Dr. Ssekyanzi Bob
2019-06-07
40 min
Cleverly Changing Podcast
How to Handle Stress While Homeschooling | Lesson 8
Episode 8 touches on how to deal with stress while trying to teach your children and live your everyday lives. Everyone will encounter stress in their lives there is no way around it. Not all stress is bad, but should be managed and can even be positive, itâs all depends on what steps you take to stay in control of the stress thatâs in your lives.History (0:08)Rwandan ProverbInstruction in youth is like engraving in stone. â Moroccan ProverbWord of the Episode! (2:13)tuko pamoja Cl...
2019-05-10
48 min
Pamoja Podcast
Season 1 Episode 1: The Ramadhan Spirit
It's Pamoja's first episode! Since it was prepared towards the first week of Ramadan of 2019, we wanted the content to be relevant. Therefore, I invite guests and we share about norms, beliefs and information about best practices in preparation for the holy month.
2019-05-03
45 min
Cleverly Changing Podcast
Transitioning to Homeschool | Lesson 6
History (0:10)Episode 6Instruction in youth is like engraving in stone. â Moroccan ProverbWord of the Episode! (1:30)tuko pamoja Cleverly Cultured Kids (2:13)Interviewed by her mother, Miriam, Aamira shares her thoughts about being homeschooled and how other people react to learning that she is homeschooled.Episode 6 discusses how to begin homeschoolingGrown Up Talk (5:18)Elle and Miriam discuss deschooling and how they navigate their homeschool journeys. They also answer a question from a listener on transitioning from tra...
2019-04-12
40 min