Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Sanaa Kwa Sana

Shows

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutuHabari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutuUelewa wa Hakibunifu bado ni mdogo lakini ni jambo muhimu sana ulimwenguni – Wakili Joshua MsambilaKesho Aprili 26 ni Siku ya Kimataifa ya Hakibunifu - Siku ambayo ni fursa kwa ulimwengu kukumbushwa umuhimu wa haki kwa watu wanaobuni mambo mbalimbali duniani. Ili kufahamu zaidi kuhusu Hakibunifu tumezungumza na mtaalamu wa Sheria za Sanaa na Hakimiliki, Wakili Joshua Msambila wa nchini Tanzania, kwanza anaeleza kilichomsukuma yeye kujikita katika eneo hili la sheria.2025-04-2502 minOngeza Volume PodcastOngeza Volume PodcastEpisode 11: Catching up, down, left, right and centreBoys and Girls! Ongeza Volume just turned 1 year. Link to episode 10 coming soon. While we were away, we had some conversations on release date timings, consumer attention span behaviors and the wasaniis you would like to experience live properly in 2024. We then briefly highlight projects released so far as of May 2024. OV (KE)New Music Playlist - https://open.spotify.com/playlist/2oKhriYW8pQWKG9xtvHPTZ?si=afc22f695f07475b We then quickly highlight the major events attended so far: Ivy Alexander and The Syndicate Band at Geco Cafe; Afreenation featuring...2024-06-072h 12Maisha Ni Kuthubutu PodcastMaisha Ni Kuthubutu PodcastJinsi Ya KUJITAMBULISHA DM Au Kwenye Text Kwa Mara Ya Kwanza Unapomtafuta Mtu Yoyote.Kama wewe ni wale ambao unawatumia watu DM au text za kawaida Kwa Mara ya Kwanza kama vile "Niaje, Mambo, Vipi, Shwari Mkuu, Harakati Ni Vipi Kiongozi, Mrembo mambo n.k" Tambua unakosea sana Tena sana hiyo siyo Kujitambulisha badala ni salamu tu. Swali linakuja unajua jinsi ya Kujitambulisha mtu akiona DM au text Yako apate kuijibu bila kupuuzia. Unahitaji kuzingatia maeneo matano wakati unamuandika Mtu DM Yako; 1. Jina la mtu unayemtumia ujumbe wako. 2. Jina lako. 3. Shughuli Yako. 4. Hitaji au shida Yako. 5. Hitimisho. Ukizingatia mambo yote hayo DM zako zitajibiwa mpaka ushangae. Kwa mfano... "Habari kaka Amos Nyanda naitwa Innocent...2024-03-1408 minTunado?Tunado?Ep. 12: I've Heard So Much About African SnakesFollowing a slight recording hiatus – this is where we say "Your faves return..." but juu we're unsure about being your faves, we'll play it safe so that hii affection isiwe one-sided – we return with a new Tunado? episode.But si episode tu ndio mpya, the show itself is new. Tune into Episode 12 and find out how as we discuss: Conjuring scandals to boost our failing careersIntroducing a new show structureImplications of the October 4th cabinet reshufflePresident Ruto's travelling expenditure within a yearA museum welcomes nudist visitorsPalestine vs. IsraelThe King Charles III Royal VisitTusker OktobafestKenyan singers on COLORS...2023-11-061h 43Tunado?Tunado?Ep. 11: Chumvi kwa MapuaYet another short episode that we recorded a while back as a minisode. Kwa hii, we cover:The philosophy and sociology of drugs and illegalityIs it really drug abuse?Should drugs be decriminalized?State policingUnderstanding the root causes of drug abuseRecorded on 24.07.23, the same day we recorded Episode 5, I'm Pressed.Ahsante sana for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠Audio: Paul Shiundu Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.2023-10-2343 minTunado?Tunado?Ep. 10: A Brief History of...Originally recorded as a minisode, as you can hear, join us for Episode 10 of the Tunado? Podcast, where we cover:Mosoti's evolution of listening to EminemOur introduction to SlaughterhouseA brief history of The Effects and UmoraniThe Effects = The Kenyan Slaughterhouse?A brief history of Sanaa kwa SanaSnapshots of Kenyan hip-hopRecorded on 07.08.23, the same day we recorded Episode 6, The Trinity.Ahsante sana for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠Audio: Paul Shiundu Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.2023-10-0953 minTunado?Tunado?Ep. 9: Of a Dying Breed (w/ Slim Shaka)A friend of the podcast and Sanaa kwa Sana, the 65th Slam Champion Slim Shaka, joins us once again. Remember him from Episode 3 (Saba Saba Hadi Lini?) and Episode 4 (Was Jesus Agender?)? Naam, amerudi. On this episode that starts morbidly, we cover:Death and suicideSocial media and our relationship with deathMITI CS Moses Kuria's statements on hiked fuel pricesDavid Ndii's statements on the state of the nationWest African coupsThe Macondo Literary FestivalResponding to comments from Episode 4Slim Shaka's forthcoming journey to BrazilAhsante sana for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠2023-09-252h 08Tunado?Tunado?Ep. 8: Make It ThreeOn Episode 8 of the Tunado? Podcast, we cover:Thank-yous to our listeners, essential international hip-hop albums, essential Kenyan hip-hop albums, the Kenya vs. Tanzania rap beef, and a list of the top 25 Kenyan rappers of 2023.Ahsante sana for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠Audio: Paul Shiundu Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.2023-09-111h 13Tunado?Tunado?Ep. 7: Hip-Hop at 51?On Episode 7 of the Tunado? Podcast, we cover:Feedback from Episode 6, "The Trinity"Roger's take on Jay-Z vs. Eminem, who had the bigger impact?Hip-hop at 50 celebrations at the Yankee Stadium and The MistThe Kalamashaka (K-Shaka) comebackLack of structures vis-à-vis artists failing to build connections with fansHip-hop and personal identityReacting to the New Old Heads podcast episode on "Women in hip-hop are now disrespecting themselves"Reactions from Ivia Mutethya and Seise BagboEssential hip-hop albumsAhsante sana for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠Audio: Paul Shiundu H...2023-08-282h 06Tunado?Tunado?Ep. 6: The TrinityOn Episode 6 of the Tunado? Podcast, we cover:The history of Sanaa kwa SanaWhat memory means to usAn S.I. UNIT performance showArt standards and how expensive pursuing art isOur art history, practice, and growthThoughts on Zadie Smith's views on the multiplicity of identitiesA trip down hip-hop memory laneHip-hop's legacy and impact on usK-Shaka at Santuri Salon's Jadili Session 7 & The MistAhsante sana for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠Audio: Paul Shiundu Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.2023-08-141h 49Tunado?Tunado?House You Doing?In light of the recent developments on the Finance Act, 2023, we share with you this minisode, a brief conversation we had on June 26, 2023, the day that President Ruto assented to the act.A conversation between Mosoti Norman, afrikan, and Paul Shiundu.Ahsante for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠Audio: Paul Shiundu Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.2023-08-0708 minTunado?Tunado?Ep. 5: I'm Pressed!Aptly, the fifth episode of the Tunado? Podcast is (once again) political. We cover:Updates on the Azimio-led anti-government protestsThe different types of people protestingThe ever-declining economyHow we're all connectedPolice vs. ProtestorsWill there be a dialogue between the people and the state?A nationwide matatu go-slow as the answer to the revolutionOur leadership problemLinda Katiba members walilinda tumbo?Ahsante sana for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠Audio: Paul Shiundu Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.2023-07-311h 49Tunado?Tunado?Ep. 4: Was Jesus Agender? (w/ Slim Shaka)The intelligent folks, Roger, Slim Shaka, and Paul Shiundu, wenye walifanya Episode 3 possible made this one possible as well.On our fourth episode of the Tunado? Podcast, we cover:Media's role in shaping our realityReality as is vs. as we perceiveWhether the institution of marriage will disappearElevating Jesus Christ to godlike statusJesus being agenderWomen in politicsPolitics of representationThe concept of developmentAhsante sana for listening!All things Sanaa kwa Sana: ⁠https://linktr.ee/sanaakwasana⁠Audio: Paul Shiundu Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.2023-07-241h 24Tunado?Tunado?Ep. 3: Saba Saba Hadi Lini? (w/ Slim Shaka)On our third episode of the Tunado? Podcast, we dive into our conversations without intros, yet kuna new voices. Tunado?Our very own Roger joins us for the first time (what is Sanaa kwa Sana without him?); the skillful wordsmith Slim Shaka graces our platform; our sound engineer Paul Shiundu anaungana nasi pia.This is the second part of our longest recording yet. Hiyo segment ilii-precede itatoka as a follow-up episode. Kwa hii, we cover:Saba Saba then vs. nowWhether Raila is selfishRaila vs. RutoThe aftermath of the Azimio-led protestsPresident Ruto's game planThe Ruto-Gachagua d...2023-07-171h 26Tunado?Tunado?Ep. 2: "I Apologize to Nadia Mukami."Apparently, we're still here.On our second episode of the Tunado? Podcast, we, rather, one of us apologizes to Nadia Mukami for his atrocious slander in an unreleased episode.We cover:What the groupies said kwa DMs after the "Post Nugget Clarity" episodeThe apology to Nadia MukamiKenyan artists' fans not having a shared name such as "Stans"Norman Mosoti's performance at K1's Mizani Open MicThe future of poetry/spoken word performanceStandout concept showsGufy and Mufasa's poetry performance show, Nairobi Dating StoriesUpcoming shows (which have happened this past week, as of the publishing date)2023-07-031h 35Tunado?Tunado?Ep. 1: Post Nugget ClarityA first of many?As the cliché goes, only time...Like many of our ideas, this has been in the talks for a while. Finally, we present to you the first episode of the Tunado? podcast. We settled on the name three days after recording, that's why unaskia tukisema "haina jina."We hope that you enjoy our debut podcast episode. We also hope to do this regularly.We start by debating how chao mian is pronounced to introducing the podcast and its spontaneity, our kuku pono chronicles, era ya vitu za n...2023-06-191h 02Salama NaSalama NaSE7EP26 - SALAMA NA MASOUD KIPANYA | HERI KUFA MACHO…Habibi Masoud Kipanya ni Ally Masoud Nyomwa ambaye ni LEGEND. Kwa mujibu wake alizaliwa huku kakunja ngumi na dhana yake ni kwamba alizaliwa ili awe bondia! Kwa anacho kifanya na ambacho amekua akikifanya tena kwa ufasaha kwa miaka nenda miaka rudi bila ya shaka ni UBONDIA. Hakuna ambaye atabisha juu ya hilo. Amekua akipigania mambo tele na kuyasemea mengi pamoja na kuchekesha na kuelimisha kupitia kalamu yake. Kwa mujibu wake yeye ni mbobevu katika taaluma ya kupuuza na kuchukulia mambo poa kwa kipindi sasa. Lakini pia anaamini yeye ni MTATA. Tukienda mbele na kurudi nyuma, hapo kwenye UTATA hakuna...2022-12-081h 51Salama NaSalama NaSE7EP17 - SALAMA NA ROSE MUHANDO | NIPE UVUMILIVUKatika binadamu ambao walinipa wakati mgumu na kusubiri kwingi kabla ya kuja kukaa kwenye meza yetu ya kigae na kiti chakavu basi mmoja wao ni Rose huyu wa Muhando. Upatikanaji wake ni kama ukitaka kumuona SIMBA mbugani, lazima uamke asubuhi na mapema au uwe na bahati ya mtende kama ambayo sisi tumepata. Ingawa tulisubiri kwa masiku tele na miezi tele katikati ya mwaka huu tuliweza kumpata na kukaa nae chini ili tuweze kuzungumza nae. Rose ni wa moto sana, kalenda yake imejaa safari tele za nje na ndani ya nchi, anazunguka mara kwa mara kwaajili ya kutoa...2022-10-061h 20The Top 5 with LaMusicJunkieThe Top 5 with LaMusicJunkieThe Top 5 feat Kuiyu: The In-BetweenerWhat happens when you put The In-Betweener and LaMusicJunkie in one room? A lot of laughs, that’s what.On this episode of The Top 5 with LaMusicJunkie podcast, I interviewed this unique Kenyan musician who’s been in the game for over 10 years. And his name is Kuiyu! Tune in to find outWhat his name actually meansWhat happened to his first group W3NZAWhy he decided to record a live EPWhat he’s needing right nowAnd so much more!And get ready to laugh out loud as we talk about his top 5 songs...2022-08-291h 01The Top 5 with LaMusicJunkieThe Top 5 with LaMusicJunkieThe Top 5 feat Kuiyu: The In-BetweenerWhat happens when you put The In-Betweener and LaMusicJunkie in one room? A lot of laughs, that's what.On this episode of The Top 5 with LaMusicJunkie podcast, I interviewed this unique Kenyan musician who's been in the game for over 10 years. And his name is Kuiyu! Tune in to find outWhat his name actually meansWhat happened to his first group W3NZAWhy he decided to record a live EPWhat he's needing right nowAnd so much more!And get ready to laugh out loud as we talk about his top 5 songs, and the p...2022-08-291h 01The ChanzoThe ChanzoVitali Maembe: Muziki wangu haupigwi redioni,watangazaji wamekatazwaDar es Salaam. Vitali Maembe ni moja kati ya wasanii wachache sana nchini Tanzania ambao unaweza kusema muziki wao unaakisi moja kwa moja kile wanachokifanya kwenye jamii zao husika kama wanachama wa jamii hizo. Ni msanii anayeonekana kukerwa na aina zote za dhuluma lakini sana sana dhuluma zinazofanywa na wale waliopewa dhamana ya uongozi wa nchi kwa wananchi wa nchi hiyo. Hili linaonekana wazi wazi kwenye nyimbo na kazi nyingine za sanaa za msanii huyo kama vile uchoraji. Nyimbo yake ya hivi karibuni kabisa Kaizari, kwa mfano, ilimuingiza Vitali Maembe matatizoni na mamlaka za nchi baada ya polisi kufika nyumbani...2021-12-011h 02Out The Booth PodcastOut The Booth PodcastOTBPODKE: KURATORS OF THE KULTURE - AWARD SZNMusic award ceremonies may have lost the glamor that they once held. However, that has not stopped them from occurring, but what do they actually mean for the entertainment scene. In this episode, you get to hear the opinions of various music enthusiasts and curators in regard to the awards that are happening in the country and beyond. Featuring ; Monica Savanne - Founder and Editor in Chief at Tangaza Magazine, Pepper Five - host of What is This podcast and 2020-11-2450 minSalama NaSalama NaEp. 36 - Salama Na JOH MAKINI | KIUNGOStory ya kwanza siku zote itakua ni jinsi ambavyo mimi na Joh Makini tulipokutana mara ya kwanza, nakumbuka vizuuuri sana sana haswa, jinsi alivyokua mwembamba na asiyekua na maneno mengi, ila macho yake, macho yake yalikua kama Askari wa shabaha ambaye akilenga hawezi kukosa, na guess what? Wanasema katika vitu ambavyo havibadiliki kwa binadamu anapokua basi macho ni moja wapo. Macho yake ni yale yale ya sniper, ila kwa sasa ni ya sniper aliye relax ambaye shabaha zake na malengo yake yanaeleweka. Hahitaji kujitambulisha anapokua kwenye mawindo yake. Heshima zangu nyinyi zinaenda kwake, maana kuweza kukaa kwenye...2020-10-0151 minThe JD Dragon Disability Rights Podcast: Exploring how disability and diversity are connectedThe JD Dragon Disability Rights Podcast: Exploring how disability and diversity are connectedAngalia nyumba ya sanaa ya Atelier Für Alle.Sisi hapa AFA tunafurahi sana kuwa mchoro wetu wa kwanza umepakiwa kwenye jumba la sanaa la Atelier Für Alle.  Langalie kwa kutumia kiunga hapa chini: https://sites.google.com/d/1Fes_OTtasjJqsp8o7HS6SVZfP0CWz4f1/p/1bfX0P3bsH0DkD4Gh75KZNIMoFV53WNWk/edit2020-09-2801 minMsasaonlineMsasaonlineUHUSIANO ULIOPO KATI YA KAZI NA WITO.Haijalishi uko wapi, unaishi wapi, wewe ni nani na unafanya nini. Ila ukweli ni kuwa kila mmoja wetu ana masaa 24 kwa siku. Na katika masaa hayo hayo tunatumia kwa kupumzika na kufanya mambo mbalimbali katika maisha. Moja kati ya maswali mwanadamu amekua akijiuliza mara kwa mara, ni kutaka kufahamu dhumuni la maisha yake hapa duniani. Tumekua tukijiuliza mimi ni nani? kwanini nipo hapa duniani?.Na katika kutafakari huko ndipo wengi wetu tunafikiria kuhusu kazi au wito wetu. Kwani kuna utofauti mkubwa uliopo kati ya KAZI na WITO. 1. KAZI. Neno "KAZI" linawakilisha aina ya huduma unayoitoa kwa mabadilishano. Kwa kufanya kazi...2020-08-3102 minNMU PODCASTNMU PODCASTTHE POWER OF STORY TELLING IN MUSIC SESSION TWO..Kwenye Episode hii Tumeongelea Nyimbo ambazo wasnii Nguli watatu wameweza kutumia adithi zenye ujumbe mzito na kuweza kuziweka kwenye Ngoma, Kwa namna nyingine Tunaweza kusema wasanii hawa wametumia simulizi ambazo zipo mtaani wa watu wanakumbana nazo kwenye maisha ya kawaida na wao wakaamua kuzitumiakatika Sanaa ya muziki na utunzi wenye mpangilio, hatimaye na wakatuletea ngoma au mziki unao ishi siku zote. Kwenye part Hii ya Pili, Utaweza kusikia Namna ambavyo msanii Ferooz alivyoweza kuakisi na kusimulia Ugonjwa wa ukimwi na kuweza kuelezea na kufundisha jamii, madhara ya UKIMWI, Pia na kuweza kusambaza elimu kubwa ambayo ilikuwa Haijawafikia...2020-08-0630 minSalama NaSalama NaEp. 25 - Salama Na Gabo | MTOGAPAAFWEJina halisi ni Salim Ahmed Issa, na kwa mujibu wa niloyasoma ni mjukuu wa moja ya watu maarufu mkoani Iringa ambaye alikua anatambulika kama Mtogapaafwe Kiyeyeu. Huyo alikua ni BABU wa Gabo Zigamba kabisaa ambaye binti yake Rafia Issa Kiyeyeu ndo Mama mzazi wa Gabo huyu tunayemfahamu mimi na wewe. Unaambiwa kaburi la Marehemu Mzee Mtogapaafwe lilikua na maajabu sana, ila hiyo ni khadithi ya siku nyengine. Hapa ilikua juu ya utambulisho wetu kwake na sifa zake actor hodari toka kwetu Tanzania. Gabo si moja ya marafiki zangu ila baada ya kuonana hapa ndo urafiki wetu ulipoanzia...2020-07-1652 minSalama NaSalama NaEp. 19 - Salama Na Monalisa | MASHHURAKabla sijasema jinsi ambavyo nampenda na kumheshimu mgeni wetu wa wiki hii napenda kusema cha kwanza ambacho nilikipenda kwake kwanza ilikua jina lake, Ms Yvonne Cherrie kisha Monalisa. Rafiki mzuri, mstaarabu na mtu mwema sana. Mona pia ana bahati sana, bahati ya kuwa na Mama ambaye ni hodari na mcheshi ambaye nae alifanya kazi yake ya kuhakikisha bintiye kwanza anafanya yote anayostahili kufanya kama mtoto kabla haja mshika mwanaye mkono na kumtambulisha kwenye dunia ya sanaa ambayo ilitufanya tumtambue na kumpenda pia na pia kuwakubali zaidi kama Mama na mtoto ambao ni mahodari sana. Kwenye...2020-06-041h 00Salama NaSalama NaEp. 17 - Salama Na Shikana | DYNAMITEMi na rafiki yanyu huyu tumepishana zaidi ya miaka kumi na nne, wakati anazaliwa mimi nilikua nagombana na makondakta kupata nafasi kwenye chai maharagwe ya kutoka Buguruni kuelekea Posta. Ila kupishana kwetu kwa umri naamini ndo kunaufanya ushoga wetu uwe special zaidi, maana yeye akiwa ananikhadithia kinachokiki kwenye umri wake, nami nakua namuelezea challenges za unapozidi kukua na naamini hii inatufanya tuwe bora zaidi. Na ki ukweli mara nyingi yeye amekua shujaa wangu, maana kuna mengine mazito kwake yanakua mepesi tu na hunisaidia kuona mambo kwa picha tofauti. Kwa hilo namshukuru sana. Wakati mwengine wanasema umri sio kipimo cha...2020-05-2145 minSalama NaSalama NaEp. 15 - Salama Na Rosa Ree | OSHUNUkiwa zako nyumbani umejikalia kwenye sofa unamuangalia Rosaree kwenye TV kwa mara ya kwanza sidhani kama utaweza kugandua macho, pengine ukiwa na watu walokuzidi umri style yake inaweza ikawashtua kiasi na haswa wakiskia anachoimba ni kwa lugha ya Kiswahili ndo kabisa. Ki ufupi binti huyu toka kwenye familia yenye story ambayo kwa ki binadamu si tu yeye pekee amepitia, lakini ni yeye ambaye anafahamika na wengi kati yetu na hii ni nafasi yako na yangu pengine ya kutufanya tuamini kwamba ulichopitia au unachopitia, huko peke yako na pia hayo mambo yana mwisho wake. Ki kawaida Rosaree sio...2020-05-0742 min