podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
The Chanzo
Shows
Happy Hour With Rhys Jones
Happy Hour Bonus with Topps Chanzo - Bonus Episode
Today we interviewed all-round entertainer Topps Chanzo!
2024-02-28
31 min
Popeular History: A Catholic History of the World
Cardinal-Elect Protase RUGAMBWA
Cardinal-Elect Rugambwa on Catholic-Hierarchy.org: https://www.catholic-hierarchy.org/bishop/brugam.html Cardinal-Elect Rugambwa on Gcatholic.org: http://www.gcatholic.org/p/22827 See of Tabora on Catholic-Hierarchy.org: https://www.catholic-hierarchy.org/diocese/dtabo.html See of Tabora on Gcatholic.org: http://www.gcatholic.org/dioceses/diocese/tabo0.htm?tab=info Vatican announcement of Fr Rugambwa as Bishop of Kigoma: https://press.vatican.va/content/salastampa/it/bollettino/pubblico/2008/01/18/0033/00076.html Vatican announcement of Bishop Rugambwa as Adjunct Secretary of the Congregation for the Evangelization of Peoples:
2023-09-12
07 min
Nukta the Podcast
MFAHAMU MBUNIFU WA MAJIKO YANAYOTUMIA MAWE TANZANIA
Nishati ya kupikia ni miongoni mwa mahitaji muhimu ya binadamu duniani kote, hiyo ndio huwezesha mapishi ya aina mbalimbali za vyakula tunavyokula ili kuimarisha afya na kuwezesha utendaji wa shughuli za kila siku. Watu wengi wanatambua gesi, mkaa, umeme, mafuta pamoja na kuni kama ndio vyanzo vya nishati ya kupikia kwa kuwa ndio ambavyo vinatumika kwa kiasi kikubwa kwa sasa huku jitihada nyingi zikielekezwa kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia. Hata hivyo, jijini Dar es Salaam kuna ubunifu mpya wa nishati ya kupikia inayotumia mawe, ambapo inatajwa kupunguza kwa kiasi kikubwa gharama...
2023-09-08
07 min
Nukta the Podcast
Hizi ndio hifadhi tano kubwa za Taifa, Tanzania
Tanzania ni miongoni mwa mataifa ambayo yamebarikiwa vivutio vingi vya utalii ambavyo sio tu vinapendezesha nchi bali ni chanzo kizuri cha mapato hususani fedha za kigeni ambazo hutumika kwa shughuli za maendeleo. Tovuti ya runinga ya Tanzania Safari Channel ambayo hutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini, inabainisha kuwa Asilimia 40 ya ardhi ya Tanzania imetengwa kwa ajili ya uhifadhi. Hii inajumuisha hifadhi za Taifa 22, eneo la hifadhi ya Ngorongoro, mapori tengefu, hifadhi za misitu asilia na misitu ya kupandwa, maeneo ya kihistoria pamoja na hifadhi za bahari. Maeneo yote hayo ndio kitovu k...
2023-08-11
07 min
LENZI Podcast with Michael Kamukulu
S1E8 [Part 2] Simu Sio Chanzo za Migogoro kwenye Mahusiano ft. Teacher Gonza
Katika ulimwengu huu ambao matumizi ya simu na mitandao ya kijamii yamekuwa makubwa, simu zinadhaniwa kuwa mojawapo ya vyanzo vikuu vinavyosababisha migogoro na kuvunjika kwa mahusiano na ndoa. Msikilize Michael Kamukulu pamoja na Teacher Gonza wakielezea ni kwa namna gani simu SIO chanzo cha migogoro ya mahusionao kama wengi wanavyodhani.
2023-07-22
24 min
LENZI Podcast with Michael Kamukulu
S1E7 [Part 1] Simu Sio Chanzo cha Migogoro kwenye Mahusiano ft Teacher Gonza
Katika ulimwengu huu ambao matumizi ya simu na mitandao ya kijamii yamekuwa makubwa, simu zinadhaniwa kuwa mojawapo ya vyanzo vikuu vinavyosababisha migogoro na kuvunjika kwa mahusiano na ndoa. Msikilize Michael Kamukulu pamoja na Teacher Gonza wakielezea ni kwa namna gani simu SIO chanzo cha migogoro ya mahusionao kama wengi wanavyodhani.
2023-07-15
25 min
Nukta the Podcast
MVUVI MPAMBANAJI NDANI YA ZIWA VICTORIA
Ziwa Victoria ni moja ya maziwa makuu ya Afrika Mashariki. Ni ziwa ambalo lipo kwenye mstari wa ikweta na limezungukwa na nchi tatu zilizopo Afrika Mashariki yaani Tanzania, Kenya na Uganda. Ziwa hili ni chanzo cha Mto Nile wenye urefu wa kilomita 6,650 na urefu huo unaufanya kuwa mto mrefu zaidi duniani, Ziwa Victoria ndiyo ziwa kubwa zaidi barani Afrika na lina ukubwa wa kilomita za mraba 68,800 ambapo ni la pili duniani kwa ukubwa likitanguliwa na Ziwa Superior lililopo Amerika ya kaskazini, kwa ukubwa huu nchi za Rwanda na Burundi zinaweza kuwa visiwa ndani ya ziwa...
2023-03-21
06 min
PWANIFM PODCAST
NYUWI SI UTSAI
Makala haya ya Nyuwi si utsai ni makala kwa lugha ya kigiriama kutoka jamii ya mijikenda yanayozungumzia kuhusu kukomesha visa vya mauaji ya wazee kwa kisingizio cha uchawai. Kwa zaidi ya miaka kama miaka mitatu iliyopita wazee wengi katika kaunti ya Kilifi wamekua wakiuliwa kwa kusingiziwa kuwa ni wachawi hali ambayo imeleta wasiwasi mkubwa kwa jamii ya kaunti hio. Kila mwaka wazee 150 huuliwa hii nikulingana na shirika la utunzi wa mila na damaduni za mijikenda MADCA . Ndio sababu iliyonifanya kuzama na kuja na makala haya ambapo niliongea na spika wabunge la kaunti ya Ki...
2023-03-18
10 min
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21)
Kifungu hiki kinaeleza kwamba Yohana alionyeshwa “mto safi wa maji ya uzima, wenye kung’aa kama bilauri.” Neno maji linatumika katika ulimwengu huu kama chanzo cha uhai na uzima. Aya hii inatueleza kwamba maji haya ya uzima yanatiririka katika Mbingu na Nchi Mpya mahali ambako watakatifu wataishi milele. Hali ukitiririka toka katika kiti cha enzi cha Mwana-kondoo, mto wa maji ya uzima unaulowanisha Ufalme wa Mbinguni na uvifanya vitu vyote kuwa vipya. Na katika hii sentensi inayosema, “kiti cha enzi cha Mwana-Kondoo,” neno “Mwana-Kondoo” ina maanisha ni Yesu Kristo, ambaye amewaokoa wanadamu kwa injili ya maji na Roho wakati alipokuwa hapa...
2023-01-14
30 min
Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)
SURA YA 10-2. Imani ya Kweli Huja Kwa Kusikia (Warumi 10:16-21)
Aya ya 17 inasema, “Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.” Je, imani inayomwokoa mtu katika dhambi zake zote inatoka wapi? Imani ya kweli inakuja kwa kulisikia Neno la Mungu. https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
2023-01-13
34 min
99.9 GHETTO FM
WANAWAKE WADHULUMIWA MAJENGO KUTOKANA NA MILA NA DESTURI KALI
Chanzo kuu cha dhulma ya kijinsia eneo la majengo hapa Nairobi ni mila na itikadi kali. Unafikiri serikali inaweza fanya nini ili kuondoa baadhi ya mila na itikadi kali?
2022-12-21
10 min
===== كلمات الحياة" ، "الأخبار السارة" ، "ترانيم الإنجيل" - باللغات الرئيسية المستخدمة في جزر القمر" / / "Paroles de Vie", "Bonnes Nouvelles", "Chants Gospel" - Dans les Principales Langues Parlées aux Comores =====
Swahili Baravenes - The Mbili Barabara".mp3 / "ال اثنين الطرق" - Swahili.mp3
Swahili Baravenes - "Les Deux Routes".mp3 / Swahili Baravenes - "The Two Roads".mp3 //YOHANE 1 - Neno akawa mwanadamu1Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu. 3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. 4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu. 5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda. 6Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, 7ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini. 8Yeye hakuwa hu...
2022-12-13
01 min
Men The Podcast
Parenting from a distance
Jambo la kutafuta kwa ajili ya kuangalia na kuhudumia familia yako ni jambo ambalo halikwepeki kwa mwanaume, tena ikiwa ni mwanaume anaewajibika katika majukumu yake. Lakini, kwenye kutafuta wanaume wengi sana wamejikuta ikiwabidi kwenda kuishi mbali na familia zoo ili waweze kuzihudumia na pia waweze kutimiza ndoto walizonazo juu ya familia zao. Kuishi mbali na familia kunakuja na changamoto nyingi sana ambazo labda jamii haizitambui. Wanaume wengi wanateseka na namna ya kulea watoto wao, lakini pia hata namna ya kuboresha mahusiano na wenzi wao huku wakikabiliana na umbali uliopo kati yao.
2022-11-10
1h 18
Men The Podcast
Parenting from a distance
Jambo la kutafuta kwa ajili ya kuangalia na kuhudumia familia yako ni jambo ambalo halikwepeki kwa mwanaume, tena ikiwa ni mwanaume anaewajibika katika majukumu yake.Lakini, kwenye kutafuta wanaume wengi sana wamejikuta ikiwabidi kwenda kuishi mbali na familia zoo ili waweze kuzihudumia na pia waweze kutimiza ndoto walizonazo juu ya familia zao. Kuishi mbali na familia kunakuja na changamoto nyingi sana ambazo labda jamii haizitambui. Wanaume wengi wanateseka na namna ya kulea watoto wao, lakini pia hata namna ya kuboresha mahusiano na wenzi wao huku wakikabiliana na umbali uliopo kati yao.Philip Changala alihamia Dar...
2022-11-10
1h 18
Salama Na
SE7EP19 - SALAMA NA DITTO | TUNER
Lameck Ditto Sr ni Baba, Mwalimu, mwanamuziki, muandishi, mentor, mume na zaidi ya yote ni mwana tu ambaye maisha alopitoa kipindi anakua hayajawahi na wala hayatawahi kumsahaulisha yeye ni nani na wapi ambapo ametokea na wapi anataka sana kuelekea maana huko ndo kwenye kesho yake, na kwa kumsikiliza ambavyo nimemsikiliza, kesho yake anaithamini sana na amekua akiiandaa vizuri ili hata siku moja asije akakwama na kuanza kuishi maisha ya jana ambayo yalikua si mazuri hata kidogo. Yeye na Baba yake mzazi walikutana kwa ‘bahati mbaya’ tunaweza tukasema hivyo maana wakati yuko zake Morogoro akiendelea na maisha ya kuis...
2022-10-20
1h 20
Vijana na Mapenzi
Tabia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
Kuna misemo kwamba pesa ni sabuni ya roho, pesa ndizo chanzo cha maovu yote na kadhalika. Je, ni kweli kuwa mwanaume anapopata pesa mienendo yake hubadilika? Kwamba wanajiburudisha mno kwa vileo, kuwa na wapenzi wengi wa kike, kuoa mke mwingine na kadhalika. Tumezungumza na wananchi.
2022-10-20
05 min
Vijana na Mapenzi
Tabia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
Kuna misemo kwamba pesa ni sabuni ya roho, pesa ndizo chanzo cha maovu yote na kadhalika. Je, ni kweli kuwa mwanaume anapopata pesa mienendo yake hubadilika? Kwamba wanajiburudisha mno kwa vileo, kuwa na wapenzi wengi wa kike, kuoa mke mwingine na kadhalika. Tumezungumza na wananchi.
2022-10-20
05 min
Chimbuko la Tamaduni - Maasai
EPISODE 2 | CHIMBUKO LA TAMADUNI – PODCAST
Chanzo cha kila jamii kote ulimwenguni huwa Familia. Ni kutokana na familia ndipo tunapata jamii na hata taifa. Katika awamu ya leo, tunaangazia muundo wa familia ya Kimaasai
2022-10-06
09 min
Meza Huru
Mezani na MASTER JAY Part II
Sehemu ya pili ya maongezi na Master Jay. Kama hujasikiliza nyimbo alizotengeneza (naamini ni vigumu), utakuwa umemuona kwenye mashindano ya kusaka vipaji Joachim Marunda Kimaryo ni Gwiji kabisa katika tasnia ya muziki wetu Amehusika katika Hip Hop, Bongofleva, Dansi mpaka nyimbo za Dini 😁 Tumepata nafasi ya kuzungumza naye na ametupa simulizi ambazo zinaweza kutumika kama chanzo rasmi cha historia za muziki wetu kuanzia mwanzo mpaka tulipo. Jumuika nasi mezani, tusikilize PART II ya MTABE huyu wa sanaa 😉 Karibu. #MezaniNaMasterJay #MezaHuru Anchor - https://anchor.fm/meza-h...
2022-09-30
58 min
Meza Huru
Mezani na MASTER JAY Part I
Nani asiyemfahamu Master Jay? Kama hujasikiliza nyimbo alizotengeneza (naamini ni vigumu), utakuwa umemuona kwenye mashindano ya kusaka vipaji Joachim Marunda Kimaryo ni Gwiji kabisa katika tasnia ya muziki wetu Amehusika katika Hip Hop, Bongofleva, Dansi mpaka nyimbo za Dini 😁 Tumepata nafasi ya kuzungumza naye na ametupa simulizi ambazo zinaweza kutumika kama chanzo rasmi cha historia za muziki wetu kuanzia mwanzo mpaka tulipo. Jumuika nasi mezani, tusikilize PART I ya MTABE huyu wa sanaa 😉 Karibu. #MezaniNaMasterJay #MezaHuru Anchor - https://anchor.fm/meza-huru Google podcast...
2022-09-23
1h 26
The Dickens Olewe podcast
Episode 4/4: The way forward
Discussion focussed on a comprehensive research about media viability in Kenya, Uganda and Tanzania by the Media Innovation Centre at Aga Khan University and DW Akademie. Featuring: Carol Beyanga (UGANDA) – Head of Mentorships, Partnerships and Monetization at Nation Media Group Henry Maina (KENYA) – Lecturer University of Nairobi, Media Complaints Commissioner, former Regional Director of Article 19 Tony Kirita (TANZANIA) – Founder, The Chanzo Initiative (online news platform)
2022-08-04
43 min
The Dickens Olewe podcast
Episode 2/4: Business models and navigating crises
Media houses were already struggling before the COVID-19 pandemic, with only about 50% having broken even or made a profit in 2019. The pandemic led to a decrease in advertising demand but at the same time an increase in demand for information, and, therefore, larger audiences. Most media houses adapted to the pandemic only with layoffs and paycuts, but did not transform their business model, which is a key mark of business resilience in crisis. Listen to this discussion focussed on a comprehensive research about media viability in Kenya, Uganda and Tanzania by the Media Innovation Centre at Aga Khan University and...
2022-08-04
35 min
The Chanzo
Twaha Mwaipaya: Rais Samia Hawezi Kukwepa Hitaji la Katiba Mpya
Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) Twaha Mwaipaya amesema kwamba kwa kazi ambayo baraza hilo imekuwa ikiifanya kwenye kuchochea uhuishwaji wa mchakato wa Katiba Mpya nchini ana imani kwamba nyaraka hiyo muhimu itapatikana kabla ya mwaka 2025. Mwaipaya alitoa tathmini yake hiyo wakati wa mahojiano na The Chanzo yaliyofanyika katika ofisi ya chombo hicho cha habari Msasani, Dar es Salaam hapo Julai 28, 2022, ambapo alitoa maoni yake kuhusiana na masuala kadhaa ya kitaifa, ikiwemo hitaji la Katiba Mpya na mageuzi ndani ya Jeshi la Polisi. “Kitendo cha watu waliokwamisha mchakato wa Katiba Mpya, wakafika sehemu wakazungumza kuhusu Katiba Mp...
2022-08-01
41 min
The Chanzo
Aidan Eyakuze: Ni Wajibu wa Wananchi Kusimamia Uwazi, Uwajibikaji
Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Aidan Eyakuze amesema kwamba ni wajibu wa wananchi kuhakikisha kwamba Serikali yao inafanya mambo kwa uwazi ili kuchochea uwajibikaji hali inayoweza kuchangia kuboresha hali zao za maisha kiuchumi na kijamii. Eyakuze, ambaye shirika lake linafanya kazi zake nchini Tanzania, Uganda na Kenya kuchochea uwazi na uwajibikaji serikalini, alitoa kauli hiyo wakati wa mahojiano maalum na The Chanzo yaliyofanyika ofisini kwake hapo Julai 8, 2022. “Hii Serikali inakutumikia wewe, wewe si mtumishi wa Serikali,” alisema Eyakuze, ambaye pia ni Mwenyekiti-mwenza wa Open Government Partnership, mpango wa kidunia unaopigania uwazi, ushirikishwaji wa wananchi na uwajibikaji serikalini. “Wewe ndiyo mwajiri wa hiyo S...
2022-07-11
43 min
Swahili
Sheria ya Mungu, Adui yako, Wanawake, na Mkeo
Tunaishi katika ulimwengu wa ushindani. Nyakati nyingine uhusiano wetu na “washindani, au wapinzani, huwa na uadui, na wameazimia kutushtaki au hata kutuweka gerezani. Wanafunzi wanaopenda amani hawakasiriki au kulipiza kisasi dhidi ya adui zao. Badala yake, wameazimia kuwa chanzo cha migogoro na wapinzani. Yesu pia alitufundisha jinsi ya kupatana na watu wa jinsia tofauti. Kama dhambi zingine, Yesu huenda kwenye chanzo: mioyo yetu. Ikiwa tunataka kweli kuwa sehemu ya suluhisho kama vile chumvi na mwanga, lazima tujifunze jinsi ya kudhibiti tamaa zetu za ngono.
2022-06-16
36 min
Swahili
Chumvi na Mwanga
Chumvi ni kihifadhi, na Wakristo walio na maoni kama ya Yesu ni kama chumvi ya ulimwengu. Wanafunzi wenye mitazamo kama ya Kristo ‘wanapotiwa mafuta pamoja na watu wa ulimwengu kuwa chumvi ya dunia, uvutano wao utaokoa ulimwengu kutokana na uharibifu kamili. Wanakuwa bidhaa ya thamani ambayo Yesu anaitumia kuleta mapinduzi katika utamaduni. Mfano wa pili unaonyesha kwamba Wakristo ndio chanzo pekee cha nuru kwa giza. Kama vile mfano wa kwanza, maneno ya Yesu yanamaanisha kihalisi kwamba “ninyi na ninyi peke yenu ni chumvi na nuru. Wanafunzi Wake wasipotimiza wajibu wao kama chumvi na nuru, hakuna mtu mwingine anayeachwa kuitimiza. Watu weny...
2022-06-16
26 min
Men The Podcast
Ep 52 - I still want to be a father
Mahusiano huisha, na mara nyingine pia ndoa huvunjika. Si vitu ambavyo tunafurahia vikitokea ila uhalisia wa maisha ndivyo ulivyo. Swali ni pale tu, vipi ndoa ikivunjika wakati tayari kuna mtoto ambaye ni zao la ndoa hiyo ni nini kifanyike ili wazazi wote wawili waweza kuwa na haki sawa juu ya mtoto au watoto wao? Michael na Nadia wameketi pamoja na J (si jina lake halisi) wakijadili namna mwisho wa mahusiano ya ndoa yake kulivyokua chanzo cha yeye kutopata nafasi ya kuwa baba kwa namna ambayo angependa kuwa baba kwa mtoto wake
2022-05-26
1h 14
Men The Podcast
I still want to be a father
Mahusiano huisha, na mara nyingine pia ndoa huvunjika. Si vitu ambavyo tunafurahia vikitokea ila uhalisia wa maisha ndivyo ulivyo. Swali ni pale tu, vipi ndoa ikivunjika wakati tayari kuna mtoto ambaye ni zao la ndoa hiyo ni nini kifanyike ili wazazi wote wawili waweza kuwa na haki sawa juu ya mtoto au watoto wao?Michael na Nadia wameketi pamoja na J (si jina lake halisi) wakijadili namna mwisho wa mahusiano ya ndoa yake kulivyokua chanzo cha yeye kutopata nafasi ya kuwa baba kwa namna ambayo angependa kuwa baba kwa mtoto wakeJ anawakilisha wanaume wengine...
2022-05-26
1h 14
Unaweza talks
82/100: Jua chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwenye mahusiano yenu
Dini na jamii ni vyazo vikubwa vya mgawanyo wa majukumu kwenye ndoa
2022-05-07
05 min
Unaweza talks
81/100: Jua chanzo cha mgawanyo wa majukumu kwenye ndoa yenu
Mgawanyo wa majukumu ni muhimu sana, hivyo unapaswa kujua na kufahamu
2022-05-06
09 min
Unaweza talks
Fahamu chanzo cha majukumu ya mwenza wako kwenye mahusiano ya ndoa
Majukumu ya wanandoa ni muhimu kuyajua. Ndoa inahitaji majukumu yafanyike. Majukumu kama kupika n.k lazima yawekewe utaratibu
2022-05-05
11 min
The Chanzo
Ben Ishabakaki: Katiba Mpya Italeta Mageuzi Kwenye Mfumo wa Utoaji Haki
Machache sana yanajulikana kuhusiana na utaratibu wa maridhiano kati ya mshitakiwa na waendesha mashitaka nje ya mijumuiko ya mawakili na wanasheria tangu utaratibu huo uanzishwe kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mnamo mwaka 2019. Huu ndiyo msingi wa hatua ya The Chanzo kumtafuta wakili maarufu nchini Tanzania ambaye ni moja kati ya mawakili ambao wameshughulika na kesi nyingi za wateja wao kukubali kuingia maridhiano na waendesha mashitaka ili waweze kupata uhuru wao. Huyu siyo mwengine bali ni wakili Benedict Ishabakaki ambaye katika mahojiano maalumu yafuatayo na The Chanzo anashindwa kujizuia kuelezea mchango wa utaratibu huo katika mchakato mzima wa uboreshaji wa...
2022-05-05
31 min
The Chanzo
Mwanahamisi Singano: Mfumo Dume Huwabeba Wanaoutetea,Kuwaadhibu Wanaoubomoa
The Chanzo imefanya mahojiano maalum na mwanaharakati Mwanahamisi Singano ili kupata mtazamo wake kuhusiana na mambo mbalimbali yanayohusu harakati za kupigania usawa wa kijinsia pamoja na zile za kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Kwa mujibu wa mwanaharakati huyo, mfumo dume ndiyo chanzo cha matatizo mengi katika jamii kwani unalenga kuifanya jamii kuwa yenye manufaa kwa jinsia moja (ya wanaume) kwa gharama ya jinsia nyengine (ya wanawake). Katika mahojiano hayo yaliyofanyika nyumbani kwake, Singano pia anatoa tathmini yake ya ujio wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa kwanza mwanamke nchini Tanzania na endapo kama hatua hiyo ni chanya au...
2022-04-26
1h 07
Unaweza talks
50/100: Kutokuipenda ndoa na kutokujua kuwa ndoa hupitia vipindi mbali mbali ni chanzo cha talaka
Kama mwenza wako haipendi ndoa, mtaachana tu. Na kama hamjui kuwa ndoa hupitia vipindi mbali mbali vyenye changamoto
2022-04-05
11 min
Unaweza talks
48/100: Kutokujuana ni chanzo cha mahusiano na ndoa nyingi kuvunjika
Wanandoa wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa hawajuani vizuri tabia zao
2022-04-03
06 min
Unaweza talks
47/100. Kukosekana kwa uaminifu kwenye ndoa na mahusiano ni chanzo cha talaka na kuachana
Uaminifu ni muhimu sana kwenye mahusiano na ndoa. Ukikosekana, talaka na kuachana itakuwa lazima
2022-04-02
07 min
Ongea Na Kocha.
Ongea Na Kocha; Instant Cashflow – Kuongeza Idadi Na Kiwango Cha Manunuzi.
Habari Mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo tumeendelea na uchambuzi wa kitabu cha INSTANT CASHFLOW kilichoandikwa na Bradley Sugars.Kitabu hiki ni mwendelezo wa msingi mkuu tuliojifunza kwenye kitabu cha BILLIONAIRE IN TRAINING cha mwandishi huyo huyo.Kwenye BILLIONAIRE IN TRAINING tulijifunza ngazi tano za ujasiriamali ambazo ni kama ifuatavyo;Ngazi sifuri; mwajiriwa, hapa chanzo cha kipato ni ajira tu.Ngazi ya kwanza; kujiajiri, hapa unafanya kila kitu mwenyewe.Ngazi ya pili; meneja, hapa umeajiri wengine kukusaidia, ila bila uwepo wako hakuna kinachoenda....
2022-03-21
3h 07
Jasusi
Machi 12 kama leo, mwaka jana, nilitangaza kifo cha Magufuli... kilichofuata sintokisahau maishani
Machi 12 kama leo, mwaka jana, nilitangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli. Kabla ya tangazo langu hilo, tayari kulikuwa na tetesi kadhaa kwamba afya ya kiongozi huyo ilikuwa tete. Hata hivyo, kwa kupitia vyanzo vyangu vya kuaminika, nilikuwa mtu wa kwanza kutangaza kifo hicho. Lakini madhila yaliyonikumba baada ya kuweka taarifa hiyo hadharani, sintoyasahau. Nilitukanwa, nililaaniwa, nilitishwa, na kwa hakika laiti hao waliokerwa wangeweza kunifikia, bila shaka muda huu ningekuwa marehemu. Hatimaye, siku tano baadaye, aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan alitangaza kuwa kweli Magufuli amefariki...
2022-03-11
08 min
Unaweza talks
23/100: Maamuzi yoyote mazuri kwenye ndoa yanahitaji kuhusisha mantiki na hisia kwa pamoja
Kutokutumia hisia na mantiki kwenye maamuzi mengi kwenye ndoa ndiyo chanzo cha migogoro mingi
2022-03-09
09 min
Unaweza talks
21/100. Sababu za wanandoa wengi kutokuwa wawazi kwa wenza wao
Kukosekana kwa uwazi ni chanzo cha migogoro mingi kwenye mahusiano
2022-03-07
12 min
Fridah TV
KUJINASUA KUTOKA KINYWANI MWA FISI WAKATI WA SIASA
Unyanyasaji wa kingono imekuwa chanzo kwa baadhi ya wanawake kukosa kuwania nafasi ya uongozi hapa nchini. unyanyasaji huu ukiwalenga wanawake wanaojitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta nafasi. Tume ya kutetea haki za binadamu hapa nchini KHRC ikitaja wanawake kutoka kaunti ya Nairobi,Vihiga,Kwale, Migori ndio wanaodhirika na kaunti ya Embu ikiwa na wanawake wakakamavu. licha ya changamoto ya unyanyasaji wa kingono kuwa kizuizi kwa wengi, katika makala haya wanawake wanahimizwa kujihusisha na kazi za vyama na kisha kujiunga na mashirika yanayosaidia wanawake kifedha kuepuka balaa hii. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/sho...
2022-03-02
06 min
The Chanzo
Mazungumzo na Tito Magoti juu ya hali ya haki jinai
Dar es Salaam. Moja kati ya matatizo makubwa ambayo wadau wa haki za binadamu wamebainisha kuwa yanaukumba mfumo wa utoaji haki nchini Tanzania ni namna mfumo wa haki jinai wa taifa hilo la Afrika Mashariki ulivyotengenezwa kwa kuipa nguvu maradufu Serikali ya kuamua hatma ya mshukiwa huku Mahakama ikipokwa nguvu hiyo. Pengine hakuna sauti muhimu nchini linapokuja suala la umuhimu wa kurekebisha mfumo wa haki jinai Tanzania zaidi ya Tito Magoti, mwanasheria na mwanaharakati wa haki za binadamu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), ambaye pia alishawahi kuwa muhanga wa mfumo huo na kukumbana na madhila yake. ...
2022-02-15
25 min
===== كلمات الحياة" ، "الأخبار السارة" ، "ترانيم الإنجيل" - باللغات الرئيسية المستخدمة في جزر القمر" / / "Paroles de Vie", "Bonnes Nouvelles", "Chants Gospel" - Dans les Principales Langues Parlées aux Comores =====
Swahili Baravenes - The Mbili Barabara".mp3 / "ال اثنين الطرق" - Swahili.mp3
Swahili Baravenes - "Les Deux Routes".mp3 / Swahili Baravenes - "The Two Roads".mp3 //YOHANE 1Neno akawa mwanadamu1Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu. 3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. 4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu. 5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda. 6Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, 7ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini. 8Y...
2022-02-03
01 min
Ongea Na Kocha.
Ongea Na Kocha; Uwajibikaji, Tribe Na Isaack Zake.
Habari mwanamafanikio?Karibu kwenye kipindi hiki cha ONGEA NA KOCHA ambapo unakwenda kujifunza yafuatayo.Kwenye somo la juma utajifunza umuhimu wa kuwa kwenye jamii ambayo inakuwajibisha ili kuweza kufanya makubwa. Kwa asili sisi binadamu ni wavivu na huwa tunapenda kufanya vitu rahisi. Lakini hivyo haviwezi kutufikisha kwenye mafanikio. Tunahitaji sana kuwa kwenye jamii zinazotusukuma kufanya makubwa ili tuweze kufanikiwa.Kwenye kitabu cha juma tunajifunza kutoka kitabu kinachoitwa Tribe: On Homecoming and Belonging kilichoandikwa na Sebastian Junger. Sisi binadamu ni viumbe wa kijamii na hivyo tunafanya vizuri sana tunapokuwa ndani ya jamii inayotuelewa, kututegemea na...
2022-01-07
3h 13
The Chanzo
Pili Mtambalike: Serikali Iwe na Uvumilivu ili Waandishi Waweza Kufanya Kazi kwa Uhuru
Dar es Salaam. Pili Mtambalike, mwandishi wa habari, mkufunzi na mshauri wa masuala ya habari wa siku nyingi nchini Tanzania amesema kwamba kipindi cha uongozi chini ya Hayati Rais John Magufuli ndiyo kipindi ambacho Tanzania ilishuhudia kiwango cha chini kabisa cha kuvumiliana kati ya Serikali na waandishi wa habari kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania huru.Mtambalike, moja kati ya sauti muhimu katika vuguvugu la kudai uhuru zaidi wa vyombo vya habari nchini, alitoa kauli hiyo wakati wa mahojiano maalum na The Chanzo yaliyofanyika nyumbani kwake Mbezi Beach, Dar es Salaam hivi karibuni. Amesema kukosekana huko kwa kuvumiliana...
2021-12-07
52 min
The Chanzo
Zitto Kabwe: Hatujaweza Kutumia Uhuru Wetu Kuleta Maendeleo ya Taifa Letu
Hii ni sehemu ya tatu na ya mwisho ya mahojiano maalum kati ya The Chanzo na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe yaliyofanyika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam mnamo Novemba 27, 2021. Kwenye sehemu hii, Mbunge huyo wa zamani wa Kigoma Mjini anaeleza tathmini yake ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika ambayo kilele cha maazimisho ya sherehe hizo yatafanyika Disemba 9. Zitto anasema kwamba juhudi nyingi katika kipindi hiki cha miaka 60 zimeelekezwa kwenye kujenga nchi badala ya kujenga taifa. Anadai kwamba miaka 60 ya uhuru bado kuna wananchi nchini Tanzania wana hali zile zile za maisha walizokuwa nazo wakati nchi ikijipatia uhuru...
2021-12-06
26 min
The Chanzo
Zitto Kabwe: Hili la Wamachinga Linanisononesha Sana
Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano maalum kati ya The Chanzo na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe yaliyofanyika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam mnamo Novemba 27, 2021. Kwenye sehemu hii, Zitto Kabwe, ambaye alipata kuwa mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini kwenye Bunge la 11, anafafanua mgogoro unaoendelea hivi sasa nchini Ethiopia baina ya jeshi la nchi hiyo na wanamgambo wa TPLF ambao mpaka sasa umegharimu maelfu ya maisha ya raia wa Ethiopia na kuwafanya wengine wengi kukimbilia uhamishoni. Zitto anatueleza kiini cha mgogoro huo na kipi anadhani kinapaswa kufanywa kurejesha hali ya utulivu nchini humo, akisisitiza umuhimu wa...
2021-12-06
49 min
Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Kubarikiwa, Kuvunjwa na Kutolewa -2
Je! Unashikilia sehemu yako kutoka kwa Mungu? Ikiwa ndivyo, hiyo inaweza kuwa chanzo cha maumivu wakati unasubiri "kuzaa" yale ambayo Mungu amekupangia.
2021-12-06
23 min
The Chanzo
Zitto Kabwe: Taasisi za Kimataifa Zina Nguvu Sana Tanzania Kuliko Watanzania
Hii ni sehemu ya kwanza ya mahojiano maalum kati ya The Chanzo na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe yaliyofanyika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam mnamo Novemba 27, 2021.Kwenye sehemu hii, Zitto Kabwe, ambaye alipata kuwa mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini kwenye Bunge la 11, anaeleza namna alivyoupokea uamuzi wa Serikali wa kuwaruhusu wasichana waliolazimika kuacha masomo yao baada ya kupata ujauzito kuendelea na masomo hayo kupitia mfumo rasmi baada ya kujifungua.Zitto, ambaye alikuwa moja kati ya watu waliokuwa mstari wa mbele kwenye harakati za kuitaka Serikali ifute marufuku hiyo iliyokuwa imewekwa kwa mabinti hao, anaieleza The Chanzo...
2021-12-02
32 min
The Chanzo
Vitali Maembe: Muziki wangu haupigwi redioni,watangazaji wamekatazwa
Dar es Salaam. Vitali Maembe ni moja kati ya wasanii wachache sana nchini Tanzania ambao unaweza kusema muziki wao unaakisi moja kwa moja kile wanachokifanya kwenye jamii zao husika kama wanachama wa jamii hizo. Ni msanii anayeonekana kukerwa na aina zote za dhuluma lakini sana sana dhuluma zinazofanywa na wale waliopewa dhamana ya uongozi wa nchi kwa wananchi wa nchi hiyo. Hili linaonekana wazi wazi kwenye nyimbo na kazi nyingine za sanaa za msanii huyo kama vile uchoraji. Nyimbo yake ya hivi karibuni kabisa Kaizari, kwa mfano, ilimuingiza Vitali Maembe matatizoni na mamlaka za nchi baada ya polisi kufika nyumbani...
2021-12-01
1h 02
Paukwa Radio
Nini Chanzo Cha Moto Shuleni? | Mjadala
Mikasa ya moto imezidi kuripotiwa shuleni. Tukio la hivi karibuni limehusisha shule ya Buruburu Girls na nyinginezo. Je ni nani wa kulaumiwa?Pata maoni ya Mwalimu Anduvate, Mwalimu Omukuba, Mchanganuzi wa masuala ya Elimu Jasper na Mzazi Vincent.
2021-11-01
1h 32
The Chanzo
Jenerali Ulimwengu Juu Ya Nafasi Ya Wananchi
Jenerali Ulimwengu katika ziara yake ya uzinduzi wa kitabu ya Rai Ya Jenerali, ameendelea kuzungumzia maswala mengi ikiwemo mchakato wa Katiba mpya na kwa nini ni wa muhimu. Katika mazungumzo hayo anazungumzia nafasi ya mwananchi katika uendeshaji wa nchi.
2021-10-20
1h 27
The Chanzo
CATHERINE RUGE
Leo kwa bahati nzuri tumepata fursa ya kuzungumza na Catherine Ruge, Katibu wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), lakini pia mbunge mstaafu wa viti maalumu kupitia tiketi ya CHADEMA kwa Jimbo la Serengeti. Mnamo mwaka 2020, Ruge aligombea ubunge wa jimbo la Serengeti kupitia tiketi ya CHADEMA. Na leo, kwa bahati nzuri, tumebahatika kumualika kwenye Podcast yetu hii kuzungumzia, sana sana, harakati zake za kisiasa na mustakabali mzima wa BAWACHA na CHADEMA kwa ujumla na hali ya siasa zetu za nchi kwa sasa.
2021-10-16
45 min
The Chanzo
Mazungumzo na Mzee Pius Msekwa
Dar es Salaam. Mnamo Disemba 9, 2021, Tanganyika inatimiza miaka 60 tangu ipate uhuru wake kutoka kwa Waingereza tarehe kama hiyo mwaka 1961. Tukiwa tunaelekea kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, tunayofuraha ya kujumuika na Spika mstaafu na kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mzee Pius Msekwa. Pamoja na mambo mengine, Mzee Msekwa alikuwepo wakati Tanganyika inajipatia uhuru wake na hivyo kumuwezesha kushuhudia mabadiliko mengi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ambayo Tanganyika, na baada ya Muungano na Zanzibar mwaka 1964, Tanzania, imeyapitia katika kipindi hiki cha miaka 60. Kitu cha kwanza ambacho The Chanzo ilitaka kufahamu kutoka kwa Mzee Msekwa ni...
2021-10-11
36 min
Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Uhusiano wa karibu na Mungu -2
Kumuweka Mungu kwanza hutuunganisha ndani yake kama chanzo cha nguvu zetu. Tunahitaji kumpa matunda ya kwanza ya wakati wetu.
2021-10-11
26 min
My Village Podcast
Episode 42: How to raise capital for your startup with Erick Osiakwan and CK Japhet
In this episode, we explore how entrepreneurs can raise capital for their startups with Eric Osiakwan managing partner of Chanzo capital and CK Japheth the team lead at the innovation village.
2021-10-07
49 min
The Chanzo
Kutana na Mwanadada anayewasaidia waathirika wa UKIMWI katika kupata mwenza
Aisha ni mwanadada wa Kitanzania anayeishi na maambukizi ya UKIMWI kwa muda wa miaka 21 sasa. Kutokana na uzoefu wake katika kutafta mwenza, Aisha ameamua kuanzisha jukwaa la kuwasaidia watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI katika juhudi za kupata mwenza. Aisha anasema mpaka sasa kinadada wengi zaidi wanajitokeza kuliko wanaume, msikilize zaidi
2021-10-06
18 min
The Chanzo
Mazungumzo na Askofu Dk Benson Bagonza
Dini ina mchango mkubwa sana katika uendeshaji wa nchi. Mbali na kushuhudia shule, vituo vya afya na hospital na vyuo vikuu vinavyojengwa na kuendeshwa na taasisi mbali mbali za dini nchini Tanzania, tumekuwa tukishuhudia pia namna ambavyo viongozi wa dini wamekuwa wakipaza sauti zao kutoa muelekeo wa kisiasa, kiuchumi, na hata kidiplomasia ambao Tanzania inapaswa kuufuata. Kuweza kujadili mambo haya kwa ujumla na nini mchango wa taasisi ya dini katika kujenga taifa la haki na kidemokrasia, tunayofuraha kubwa sana kuungana na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza
2021-09-30
30 min
The Chanzo
Njia Bora ya Kutatua Kero za Muungano ni Kufufua Mchakato wa Katiba Mpya
The Chanzo imeongea na Rais wa zamani wa Chama Cha Wanasheria Zanzibar na aliyekuwa mjumbe wa tume ya Katiba Tanzania, Awadh Ali Said, mazungumzo haya yaliangazia kero za muungano na namna bora ya kutatua kero hizo,
2021-09-21
21 min
The Chanzo
Mahojiano na Ismail Jussa
Tumefanya mahojiano na mwanasiasa mashuhuri Zanzibar, ameongelea mengi. Kwanza kuhusu hali yake ya kiafya, maoni yake kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar, mtazamo wake kuhusu uongozi wa Rais Hussein Mwinyi na mengineyo mengi
2021-09-17
37 min
Palm Online Upgrade
BADILISHA MARAFIKI ILI UTIMIZE NDOTO ZAKO
Marafiki ni chanzo cha mafanikio yako
2021-09-16
14 min
The Chanzo
Mahojiano na Fatma Karume
The Chanzo imefanya mahojiano na Mwanasheria Fatma Karume juu ya maisha yake kwa sasa, kesi yake, hatma yake kuhusu uwakili na mambo mengine mengi kuhusu harakati zake.
2021-09-13
23 min
Sepetuko
Sepetuko Podcast; Mkasa wa Laikipia una mizizi kwenye siasa
Idara za usalama zafaa kuangalia kwa umakini chanzo cha mavamizi ya Laikipia; kichocheo ni ushindani wa 2022.
2021-09-13
05 min
The Chanzo
Wamachinga Vs Wafanyabiashara Kariakoo, Nini Kinaendelea?
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Tanzania azungumzia mvutano kati ya wenye maduka na wamachinga Kariakoo Katika mahojiano maalumu na The Chanzo leo, Septemba 9, 2021, Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Tanzania Ludovick Kiondo amesema kwamba wamachinga wanatumika kama mtaji wa kura bila kujali mapato ya nchi. Kiondo amesema hayo kufuatia tahuruki iliyojitokeza Kariakoo, Dar es Salaam, leo Alhamisi kati ya mwenye duka mmoja aliyetaka wamachinga kuondoka mbele ya duka lake na wamachinga kugoma kufanya hivyo. Taharuki hiyo iliyodumu kwa dakika kadhaa imemfanya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla kumuagiza Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ng’wilabuzu Ludigija kuandaa kikao kati ya Serikali, wenye ma...
2021-09-09
06 min
The Chanzo
Mhariri wa Raia Mwema azungumzia kusitishwa kwa leseni
Mhariri wa Raia Mwema ameongea na The Chanzo akizungumzia uamuzi wa serikali kusitisha leseni yao kwa siku thelathini.
2021-09-07
05 min
TUJIBEBE
Msimu wa Pili - kipindi cha sita
Chanzo chema, mwisho mwema - pakua kipindi cha sita!
2021-08-23
15 min
Men The Podcast
Ep 38 - Ukweli kuhusu nguvu za kiume
Tatizo la nguvu za kiume ni tatizo gani? Linaathiri wanaume wangapi duniani? Chanzo cha hili tatizo ni nini? Matumizi ya dawa za asili kama “Vumbi la Congo” na “Al Kasusi” ni kweli yanasaidia kutatua tatizo hili? Ni tatizo linalotibika? Kuna madaktari wanaoweza kusaidia kwenye hili tatizo? Linahusiana vipi na afya ya akili? Mbona mara nyingine hili tatizo kama linapotea na mara nyingine kama linarudi? Kuna suluhisho la kudumu? Haya ni baadhi ya maswali ambayo wanaume wengi sana hujiuliza kuhusiana na “Nguvu za Kiume”. Katika nia ya kujenga na kuboresha afya ya akili kwa wanaume, episode hii imeamua kuzungumzia...
2021-07-15
1h 11
Men The Podcast
Ep 38 - Ukweli kuhusu nguvu za kiume
Tatizo la nguvu za kiume ni tatizo gani? Linaathiri wanaume wangapi duniani? Chanzo cha hili tatizo ni nini? Matumizi ya dawa za asili kama “Vumbi la Congo” na “Al Kasusi” ni kweli yanasaidia kutatua tatizo hili? Ni tatizo linalotibika? Kuna madaktari wanaoweza kusaidia kwenye hili tatizo? Linahusiana vipi na afya ya akili? Mbona mara nyingine hili tatizo kama linapotea na mara nyingine kama linarudi? Kuna suluhisho la kudumu?Haya ni baadhi ya maswali ambayo wanaume wengi sana hujiuliza kuhusiana na “Nguvu za Kiume”. Katika nia ya kujenga na kuboresha afya ya akili kwa wanaume, episode hii imeamua kuzungumzia...
2021-07-15
1h 11
SIRI ZA BIBLIA
DHAMIRA YA KUIFUTA ISRAEL KWENYE RAMANI YA DUNIA - Sehemu ya KWANZA
Katika karne ya 19 idadi kubwa ya Wayahudi waliishi katika maeneo kadhaa ya Milki ya Urusi yaliyotwaliwa na milki hiyo mnamo 1800. Uadui dhidi ya Wayahudi ulitokea katika utawala wa Kirusi. Kuanzia mwaka 1880 kulitokea ghasia mbalimbali ambako Wayahudi walishambuliwa katika miji ya Urusi. Wimbi la pili la ghasia hizo zilizoitwa pogromu zilikatokea mwaka 1905, ambapo Wayahudi zaidi ya 2000 waliuawa mjini Odessa . Wakati ule Wayahudi wa Urusi walianza kuhamia nje: wengi wao walikwenda Marekani, lakini wachache walielekea Palestina. Mapogromu yalikuwa pia chanzo cha harakati mpya ya Uzayuni (Zionism) kati ya Wayahudi wa Ulaya. Uzayuni ulilenga kuwapa Wayahudi eneo maalum ili...
2021-05-15
11 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMU
Kumekuwa na mitazamo mingi ya tofauti tofauti ya namna ya kushughulikia matatizo sugu ambayo yamewakabili watoto wa Mungu kwa muda mrefu sana. Kuna watu wametaka kutoka katika umasikini kwa muda mrefu lakini hawajatoka mpaka sasa na hawajui tatizo limekaa wapi, wengine wametaka kutoka katika matatizo ya ndoa, wengine wametaka kuoa au kuolewa lakini mambo hayo yameshindikana kabisa hata kwa kufunga na kuomba hawajaweza kutoka katika matatizo hayo na mpaka sasa hawana majibu ya matatizo yao. Kuna watu familia zao zimekuwa na vifo vya kutatanisha au vya ghafla, wengine wamekuwa na magonjwa ya kutisha kutoka kizazi hadi kizazi na hata...
2021-04-21
10 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMU
Kumekuwa na mitazamo mingi ya tofauti tofauti ya namna ya kushughulikia matatizo sugu ambayo yamewakabili watoto wa Mungu kwa muda mrefu sana. Kuna watu wametaka kutoka katika umasikini kwa muda mrefu lakini hawajatoka mpaka sasa na hawajui tatizo limekaa wapi, wengine wametaka kutoka katika matatizo ya ndoa, wengine wametaka kuoa au kuolewa lakini mambo hayo yameshindikana kabisa hata kwa kufunga na kuomba hawajaweza kutoka katika matatizo hayo na mpaka sasa hawana majibu ya matatizo yao. Kuna watu familia zao zimekuwa na vifo vya kutatanisha au vya ghafla, wengine wamekuwa na magonjwa ya kutisha kutoka kizazi hadi kizazi na hata...
2021-04-20
08 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMU
Kumekuwa na mitazamo mingi ya tofauti tofauti ya namna ya kushughulikia matatizo sugu ambayo yamewakabili watoto wa Mungu kwa muda mrefu sana. Kuna watu wametaka kutoka katika umasikini kwa muda mrefu lakini hawajatoka mpaka sasa na hawajui tatizo limekaa wapi, wengine wametaka kutoka katika matatizo ya ndoa, wengine wametaka kuoa au kuolewa lakini mambo hayo yameshindikana kabisa hata kwa kufunga na kuomba hawajaweza kutoka katika matatizo hayo na mpaka sasa hawana majibu ya matatizo yao. Kuna watu familia zao zimekuwa na vifo vya kutatanisha au vya ghafla, wengine wamekuwa na magonjwa ya kutisha kutoka kizazi hadi kizazi na hata...
2021-04-19
10 min
===="Bishaaro Wanaagsan", "Heesaha Injiilka", "Ereyada Nolosha" - Luqadaha Ugu Muhiimsan ee Lagu Adeegsaday Soomaaliya / "Good News", "Gospel Songs", "Words of Life" - Main Languages Used in Somalia ====
Kiswahili(Baravenes) - "Barabara Mbili" / "The Two Roads" - Swahili(Baravenes).mp3
Sawaaxili (Baravenes) - "Labada Waddo".mp3 / "السواحيلية - "الطريقان(Baravenes).mp3 // YOHANE 1Neno akawa mwanadamu1Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu. 3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. 4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu. 5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.6Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, 7ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini. 8Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga. 9Huu ndio...
2021-04-08
01 min
JADI YETU
Ndoto na chanzo chake katika kuishi
Kujitambua katika mazingira ya mtu binafsi katika kupata uchanganuzi na marekebisho na utatuzi wa tabia mwili na kuwa mwenye akili timamu
2021-01-20
04 min
Afya Talk
Afya Talk EP12: Homa Ya Ini
Leo tunatizama kuhusu Homa ya Ini: Kujua kazi za Ini, chanzo cha Ugonjwa wa homa ya Ini, aina, na Njia za kujilinda. Karibu na shirikisha wengine. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania
2020-12-17
14 min
Men The Podcast
Ep - 26 - Kupiga Chabo & Mental Health
Kupiga chabo, kula deo, kupiga kideo, kuchungulia.(Voyeurism). Kama ni mtoto wa kiume ambae umekua hapa hapa nchini Tanzania, basi haya si maneno mageni na wengi sana wamekua wakiona hili ni jambo la kawaida la kufanya kwenye jamiio. Si jambo jema, si jambo la kujivunia LAKINI pia si jambo ambalo watu wanaliongelea.Je unafahamu kua kuna uhusiano wa afya ya akili na tabia hii? Unafahamu kua kuna urahibu (Addiction) ambayo inaweza kutokana na hiki kitendo? Nini chanzo chake? Kinaweza kuathiri vipi afya yako ya akili?Michael na Nadia wanajadili hili kwenye “episode” hii ya 26: Kupiga Chab...
2020-11-20
54 min
Men The Podcast
Ep - 26 - Kupiga Chabo & Mental Health
Kupiga chabo, kula deo, kupiga kideo, kuchungulia.(Voyeurism). Kama ni mtoto wa kiume ambae umekua hapa hapa nchini Tanzania, basi haya si maneno mageni na wengi sana wamekua wakiona hili ni jambo la kawaida la kufanya kwenye jamiio. Si jambo jema, si jambo la kujivunia LAKINI pia si jambo ambalo watu wanaliongelea. Je unafahamu kua kuna uhusiano wa afya ya akili na tabia hii? Unafahamu kua kuna urahibu (Addiction) ambayo inaweza kutokana na hiki kitendo? Nini chanzo chake? Kinaweza kuathiri vipi afya yako ya akili? Michael na Nadia wanajadili hili kwenye “episode” hii ya 26: Kupiga Chab...
2020-11-20
54 min
Salama Na
Ep. 41 - Salama Na KALITO | THE ORIGINATOR
Carlos Bastos aka Kalito ni moja kati ya wale binadamu ambao hawahitaji ‘kutambulishwa’ na hiyo si kwa sababu ya muonekano wake hata kidogo zaidi ni personality yake, anaongea, anachekesha, anajielewa, anajua nini cha kusema na wapi pa kusema pia. Katika watu ambao namshukuru Mungu kwa kuwafanya wawe rafiki zangu Kalito ni mmoja wapo. Jinsi ambavyo alifika Tanzania inaweza ikakufanya ujue pia yeye ni mtu wa aina gani haswa, kutoka mwenyewe familia ambayo mtoto wa kiume ni pekee, na pengine alikua na uhakika wa kupata kila anachotaka lakini aliamua kupaki begi na kuchanja mbuga kuja hapa Tanzania. Kusema za u...
2020-11-12
00 min
Uplifting Moment with Luphurise Mawere
Usifiche Talanta yako By Luphurise Mawere
USIFICHE TALANTA YAKO _By Luphurise Mawere_ Mathayo 25: 14-18 _Mathayo 5: 15 Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani._ Habari tuliyosoma kwenye Kitabu cha Mathayo 25: 14-18 inafananishwa na maisha yetu hapa duniani. Mungu amewekeza ndani yetu talanta, yaani ameweka karama, vipawa, ujuzi na maarifa. Kila mtu amepewa kadri uwezo wake, na Mungu anatutegemea kile alichowekeza ndani yetu kitumike hata kama unakiona ni kidogo kuliko wengine. Tuepuke kabisa kuwa kama mtu huyu aliyepewa talanta moja yeye badala ya kuzalisha akaifukia chini. Watu wengi wanafukia uwezo yaani potential Mungu alizoweka ndani yao kwasababu wanafikiri...
2020-10-26
17 min
Clearing the FOG with co-hosts Margaret Flowers and Kevin Zeese
Changing To An Ecological Way Of Valuing National Economies
The Global South is adversely impacted by the many crises that exist in this world - the climate crisis, pandemic, recession, war to name a few. Although the Global South is wealthy in terms of culture, biodiversity, knowledge and more, the way the Global North defines what is valuable contributes to economic inequality between the North and South and exploitation of peoples and the planet. Now, my guests Arnie Saiki and Chanzo Greenidge are challenging that paradigm with a new concept of intemerate accounting. The idea is receiving growing support by Pacific Island nations. They explain what it is...
2020-10-13
1h 00
Venture The World
E4: Eric Osiakwan - Goes From Connecting Africa To The Backbone of the Internet to Investing In The Founders Building On Top of It
Episode 4 explores the world of Venture Investing & Building Africa's Technology Backbone with @EricOsiakwan, Partner at Chanzo Capital and his journey to building the African venture capital firm. Chronicling his early days as a networking engineer & a true infrastructure technologist which was critical in bringing much of Africa online by bring down the cost of data, building the connections between national internet service providers (ISPs) & also the sub sea cables on both sides of the African continent. And wading deep into his pan-African business development and investing portfolio. See acast.com/privacy for privacy and opt-out...
2020-08-27
00 min
Msasaonline
SOMALIA : WATU 10 WAUAWA KATIKA JARIBIO LA KUVUNJWA GEREZA.
Mamlaka ya Somalia inasema watu 10 wamefariki wakati wa majibizano ya risasi nje ya gereza la Mogadishu. Msemaji wa wizara ya habari alisema mahabusu 6 ambao walikuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi Al-Shabab waliuliwa na askari wanne pia waliuawa. Chanzo cha majibizano ya risasi ni jaribio la mahabusu mmoja kutaka kutoroka. Kuna taarifa zinazosema mahabusu mmoja aliweza kupora bunduki kutoka kwa msimamizi wa gereza na baadae mahabusu na wafungwa wengine walivunja chumba cha kuhifadhia bunduki. Kikosi maalumu cha polisi kililelekwa kukabiliana na ghasia hizo ambazo zilikuwa zinalenga kuvunja gereza. Gereza hilo lina wafungwa ambao ni wanamgambo maarufu wa Al-Shabab ambao wanatumikia kifungo...
2020-08-11
01 min
Msasaonline
KANYE WEST AJITOA KWENYE MBIO ZA KUGOMBEA URAIS WA MAREKANI.
Wakati taifa la Tanzania likiwa kwenye maandalizi ya uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu 2020, huku ikishuhudiwa muamko mkubwa wa wasanii na watu maarufu wakijitokeza kuchukua fomu kwaajili ya kuhitaji ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali. Nchini Marekani msanii Kanye West amejitoa kwenye mbio hizo za kugombea nafasi ya Urais. Rapa Kanye West alitangaza azma yake ya kugombea nafasi ya Urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu ndani ya Marekani, huku akiwa anajaribu kushindana na Donald Trump ambae alikua ni rafiki yake kwenye harakati za kumsaidia kumfanyia kampeni wakati anataka kuingia White House. Taarifa za Kanye West kujiondoa kwenye mbio hizo zimetolewa...
2020-07-15
01 min
AFRICA: Changing the Narrative
Showcasing Brilliant African Innovations Against COVID-19
A pitch competition to showcase and support African entrepreneurs who have developed solutions to support Africa’s fight against the coronavirus. Entries are evaluated primarily on their impact against the virus and the viability of delivering the product or service. Financial sustainability is of secondary importance. Entrepreneurs will “pitch” their ideas, and will be questioned by a judging panel comprised of a seasoned group of innovation investment experts. Welcome Address by Professor Tarun Khanna, Harvard Business School Judges Panel inclues Juliet Ehimuan, Director - West Africa, Google, Andile Ngcaba, Founding Partner and Chairman Convergence Partners, Eric Os...
2020-05-27
1h 27
AFRICA: Changing the Narrative
Showcasing Brilliant African Innovations Against COVID-19
A pitch competition to showcase and support African entrepreneurs who have developed solutions to support Africa’s fight against the coronavirus. Entries are evaluated primarily on their impact against the virus and the viability of delivering the product or service. Financial sustainability is of secondary importance. Entrepreneurs will “pitch” their ideas, and will be questioned by a judging panel comprised of a seasoned group of innovation investment experts. Welcome Address by Professor Tarun Khanna, Harvard Business School Judges Panel inclues Juliet Ehimuan, Director - West Africa, Google, Andile Ngcaba, Founding Partner and Chairman Convergence Partners, Eric Os...
2020-05-27
1h 27
#CitiTrends
#CitiTrends S06 Ep14: COVID-19 and the African Digital Economy
My guest. on the show this week - Eric Osiakwan, Managing Partner of Chanzo Capital, Entrepreneur and Investor with 15 years of ICT industry leadership across Africa and the world - joined the show to share insight into what an African economy needs to be doing to digitise in these times of a pandemic. What critical blocks need to be laid to ensure a viable digital economy is sustained and grown. Enjoy the show.
2020-04-29
52 min
Midnight Notions
#024
A driving four-on-the-floor set for your quarantine dance session. Tracklist: -----------> 1. Neon - Le Macho Du Mambo (Arabian Mix) / BCM Records 2. Bryan Kessler - Tender Me The Tenderness / Hafendisko 3. Sleazy McQueen & Terry Grant - Floating On Air* / Let's Play House 4. Marlow & Truby - Chanzo Pancho / Sonar Kollectiv 5. Amahl - Voice of Hasaan / Nation Records 6. African Blues - Afrodrama Therapy / Distance 7. Namito, Rummy Sharma - Wade in the Water ft. Ashibah (Kolombo remix)/ Kling Klong 8. More Than Friends - Body Rock / Hood Politics Records 9. Homero Espinosa, Chris Herrera, Tokita - Spanish Joint / Get Physical 10. Super Nova - The Wild Weekend / 8Bit 11...
2020-03-25
1h 00
Mucho Soul's Podcast
Mucho Soul Show No. 537
As broadcast @ www.totallywiredradio.com Tuesday 04.02.20Hour One with Ket Shah01. SayGrace - Loyal (RCA 2020)02. Selena Gomez Ft. 6lack - Crowded Room (Interscope 2020)03. Og Dominator - Keep Me Up (Domstatic 2019)04. Graham Dee - Carrie (Acid Jazz 2020)05. Don Karate - Planeta (Original Cultures 2020)06. Matti Klein - Fairly Odd Stories (Shuffle Shack 2020)07. Theo Hill - Superwoman (Posi-Tones 2020)08. Roane Namuh - Hydroburn (Liquid Beat 2019)09. Kid Fonque Ft. Sio - In Love (Thorne Miller Remix) (Stay Tru 2020)10. Felipe Gordon - The Semimodular Bird of Jazz (Toy Tronics 2020)11. Marlow & Truby - Chanzo Pancho...
2020-02-03
2h 00
Mjasiriamali Wa Mtandao
67: Kwanini Una Tamaa? | Makavu LIVE!
Kama wewe ni mjasiriamali unayehangaika kuona mafanikio katika biashara yako au maisha yako kiujumla basi huenda tamaa ndio chanzo.
2020-01-18
14 min
ISA 360°😎🔊📚✔.
MAAGIZO YA NAIBU WAZIRI JUMA AWESO '' HAIWEZEKANI MOROGORO WAKAKOSA MAJI''
Waziri Juma Aweso apata chanzo Kipya cha maji kwa ajili ya watu wa Morogoro.
2019-12-20
03 min
The Global Startup Movement - Startup Ecosystem Leaders, Global Entrepreneurship, and Emerging Market Innovation
An Updated KINGS Thesis on Africa's Startup Ecosystems
Eric Osiakwan is the Managing Partner of Chanzo Capital, a growth capital firm investing both capital and mentoring in high-tech startups and scaleups in Kenya, Ivory Coast, Nigeria, Ghana and South Africa ( (http://www.kingsofafrica.info/)" of Africa's digital economy. Eric is a serial Entrepreneur and Investor with 15+ years of ICT industry leadership across Africa and the world. He has worked in 32 African countries setting up ISPs, ISPAs, IXPs and high-tech startups. He co-founded Angel Africa List, Angel Fair Africa and Chanzo Capital. On this episode you'll learn: -What African countries are catching up to the big 5 KINGS markets? -How do...
2019-07-16
00 min
Ni Salama
Kutumia Ubongo na akili kufanya maamuzi ya chanzo na matumizi ya pesa zako
UBONGO UNATAKIWA UKUSAIDIE KUWA NA MIPANGO YA KUPATA PESA LAKINI AKILI INATAKIWA ZIKUSAIDIE KUAMUA JUU YA CHANZO CHA KUPATA PESA NA KUAMUA MATUMIZI YA PESA HIZO Kazi mojawapo ya akili ni kutusaidia kupambanua mema na mabaya kwa jinsi ya Ki-Mungu ili tuweze kuchagua mema na kuacha mabaya. Biblia inatuambia kuwa akili zao kwa kutumiwa. haijasema kwa kutegemewa bali ni kutumiwa. Biblia imekataza kutegemea akili bali tunatakiwa tumtegemee Mungu. Shetani akitaka kuvuruga maisha yako atakamata akili zako maana ubongo unaweza kuwa na mipango mizuri sana ya kupata pesa lakini akili zako zisiwe vizuri katika kuangalia chanzo...
2019-07-16
09 min
#CitiTrends
#CitiTrends S05 Ep14: Ghana's Digital Economy - What, How, When
Ghana is in a very unique position today. A strong political framework and system, a good media landscape that is relatively free plus strong indices on the technological map. The government of Ghana is pursuing a digitised economy as well, and has commenced several initiatives to realise that dream. Some complain that the efforts seems scattered and uncoordinated. Others also feel there are components missing. What is a digitised economy made of? How can Ghana succeed in its efforts to create one? How beneficial is a digitised economy? My guest is the Managing Partner of Chanzo Capital, Eric Osiakwan.
2019-05-22
1h 11
African Dialogue
Youth Entrepreneurship in Africa
Today the African Leadership Academy alongside MasterCard Foundation hosted the Very Young Entrepreneur Education and Acceleration Summit in Johannesburg, South Africa. The summit, which hosts young entrepreneurs, their parents and teachers, investors and policymakers, aims to encourage the attendants on how to harness a culture of entrepreneurship amongst young people on the African continent. The summit will also hold discussions around possible new policy positions that African governments and private corporates can adopt in promoting entrepreneurship amongst the youth. Africa Dialogue spoke to: • Josh Adler, vice president of Global Programs at the African Leadership Academy. • Karidas Tshintsholo, a young entrepreneur. • Elizab...
2019-04-15
26 min
#CitiTrends
#CitiTrends S05 EP5: Funding Your Startup with Eric Osiakwan
When you get the chance to set up a business, one of your biggest headaches is funding. Where do you get the money, how do you pay back, how much money will you get? My guest this week was a serial investor, business leader and global technology icon. Eric Osiakwan is the Managing Partner of Chanzo Capital is an Entrepreneur and Investor with 15 years of ICT industry leadership across Africa and the world. He has worked in 32 African countries. He had some incredible insight to share about what funding means for a tech sta...
2019-02-14
54 min
FLavRjay
Chanzo's B-Day Mix. Roni Size Random Selection 29-01-19
Random mix of Roni Size, Breakbeat Era, New Forms vinyl selction
2019-01-30
1h 01
Building The Future Podcast
Episode 38. Africa is moving from digital connectivity to building its own tech. Erik Osiakwan, Managing Partner at Chanzo Capital
Erik Osiakwan is an entrepreneur and an investor with 15 years of ICT industry leadership. He is the manager partner in Chanzo Capital, a growth capital firm investing in Africa’s digital economy. Erik is a consultant for the world bank. He has worked in 32 African countries setting up high-tech startups He serves on the board of Farmerline, Forhey, Teranga Solutions, Siqueries, Amp.it, SameLogic, eCampus, Bisa App, SeeSayDo and Wanjo Foods, - some of which are his investments. Erik describes himself as a pan-African and is fully confident in the ability of African entrepreneurs. In this episode you’ll learn: The count...
2018-04-14
37 min
Building The Future with Dotun
Episode 38. Africa is moving from digital connectivity to building its own tech. Erik Osiakwan, Managing Partner at Chanzo Capital
Erik Osiakwan is an entrepreneur and an investor with 15 years of ICT industry leadership. He is the manager partner in Chanzo Capital, a growth capital firm investing in Africa’s digital economy. Erik is a consultant for the world bank. He has worked in 32 African countries setting up high-tech startups
2018-04-14
37 min
AlertNet Climate in Translation
Thirsty Serengeti wildlife to get new water hole: Lake Victoria - in Kiswahili (Wanyama wenye kiu wapata chanzo kipya cha maji: Ziwa Victoria)
As drought hits Kenya, thirsty wildebeests may get a new source of drinking water
2014-09-15
04 min
Noa Bongo – Uchumi na Mazingira
Mazingira Afrika – Kipindi 4 – Magari na Baiskeli
Gari ni chanzo kikuu cha uchafuzi wa hali ya hewa. Hutoa hewa ya kaboni inayochangia ongezeko la ujoto duniani. Gundua faida za usafiri wa umma pamoja na baiskeli.
2011-03-16
09 min