podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
Zilla Kipaji
Shows
Centrafrique - Voix de l'Amérique
La 5e édition du Festival "Musika na Kipaji" met en avant la paix dans l'est de la RDC - novembre 28, 2023
La 5e édition du Festival "Musika na Kipaji", "Jeune fille talentueuse" en swahili, s'est tenue à Goma le 26 novembre. L'édition de cette année a permis aux artistes, venues de nombreux pays, de lancer des messages de paix dans l'est de la RDC.
2023-11-28
02 min
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Jinsi Ya Kuonyesha Kipaji Chako Hadi Kukupa Matokeo Makubwa...!
Hivi unakijua kipaji chako au kikubwa ni uhai? Pasipo kujali unajua au hujui kipaji chako ila tambua una zawadi ya kipaji ambayo ulipewa na Mungu hata kabla ya kuzaliwa kwako. Kwahiyo... Kuzaliwa kwako Ina maana una kipaji ndani yako. Swali la kujiuliza. Je, unakijua kipaji chako? Hongera kwa kujua kipaji chako cha .... (Taja kimoyomoyo) Ina maana tayari umeshajua kusudi la kuzaliwa kwako. KIPAJI = KUSUDI. Lakini... Kujua kipaji chako haitoshi ni lazima uonyeshe kipaji chako kwa ulimwengu yaani dunia itambue na kunufaika na kipaji chako. Kwa sababu... Kipaji siyo kwa ajili yako bali ni kwajili ya kuwatumikia wengine. Unajiuliza ni kwa...
2023-08-26
12 min
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Namna Rahisi Ya Kunoa Kipaji Chako Na Kukupa Mafanikio Makubwa...!
Kipaji ni kama msuli kadiri unavyofanya mazoezi ndiyo msuli unakuwa mkubwa na wenye nguvu si ndiyo? Basi episode hii utajua namna rahisi ya kunoa kipaji chako kiwe kikubwa na kukupa mafanikio makubwa...!
2023-08-18
14 min
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Njia 04 Za Kugundua Kipaji Chako...!
Umebarikiwa zawadi ya kipaji ndani yako pasipo kujali unajua au hujui, lakini una kipaji umebeba ndani yako. Kwahiyo Ondoa mtazamo kuwa hauna kipaji na Upo Upo tu au kuna kundi la watu wachache ndiyo wana vipaji na wewe hauna. Hii episode itakusaidia kujibu swali Muhimu “Nitajuaje kipaji changu” kwa sababu njia hizi 04 ni uhakika kujua na kugundua kipaji chako kwa asilimia 100% nakutakia Safari njema ya kuanza kukiishi kipaji chako baada ya kukigundua.
2023-08-09
12 min
LENZI Podcast with Michael Kamukulu
S1E2. SIRI ya kufanya KAZI mbili: Moja ikitegemea ELIMU na nyingine ikitegemea KIPAJI ft. Grace Brown
Katika soko gumu la ajira ambapo wanaopoteza kazi ni wengi kuliko wanaopata kazi mpya, Grace Brown anaelezea ni kwa jinsi gani yeye anaweza kufanya kazi mbili, moja ikitegemea KIPAJI chake wakati nyingine ikitegemea ELIMU yake. In the tough job market where there are more people losing jobs than finding new ones, Grace Brown explains how she can work two jobs, one relying on her TALENT and the other relying on her EDUCATION.
2023-06-10
26 min
===== كلمات الحياة" ، "الأخبار السارة" ، "ترانيم الإنجيل" - باللغات الرئيسية المستخدمة في جزر القمر" / / "Paroles de Vie", "Bonnes Nouvelles", "Chants Gospel" - Dans les Principales Langues Parlées aux Comores =====
Swahili [Kenya] - "Yesu: Mwalimu & Mponyaji".3gp / 3gp."السواحيلية [كينيا] - "يسوع: المعلم والمعالج
Swahili [Kenya] - "Jésus : Enseignant et Guérisseur".3gp / Swahili [Kenya] - "Jesus: Teacher & Healer".3gp //1 WAKORINTHO 13 - Upendo1Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele. 2Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu. 3Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote. 4Mwe...
2022-12-13
1h 00
Salama Na
SE7EP17 - SALAMA NA ROSE MUHANDO | NIPE UVUMILIVU
Katika binadamu ambao walinipa wakati mgumu na kusubiri kwingi kabla ya kuja kukaa kwenye meza yetu ya kigae na kiti chakavu basi mmoja wao ni Rose huyu wa Muhando. Upatikanaji wake ni kama ukitaka kumuona SIMBA mbugani, lazima uamke asubuhi na mapema au uwe na bahati ya mtende kama ambayo sisi tumepata. Ingawa tulisubiri kwa masiku tele na miezi tele katikati ya mwaka huu tuliweza kumpata na kukaa nae chini ili tuweze kuzungumza nae. Rose ni wa moto sana, kalenda yake imejaa safari tele za nje na ndani ya nchi, anazunguka mara kwa mara kwaajili ya kutoa...
2022-10-06
1h 20
Salama Na
SE7EP09 - SALAMA NA DAMIAN SOUL | HARIRI…
Damian Soul ni Superstar na siku ambayo sote tutakubaliana na hiyo statement basi tutaanza kufaidi matunda ya kipaji chake kwa uzuri sana, ila mpaka siku hiyo ifike ni wachache tu ambao wanamuelewa kwa upana huo ndio ambao wataendelea kufaidi kipaji chake kwa nafasi yao. Wale watu wa makampunj mbali mbali kwa mfano CocaCola ambao wanakua na events zao za ndani kwaajili ya watu wao na waalikwa wawili watatu huwa wanamfaidi sana kijana huyu hodari wa ki Tanzania. Na Damian kwa ukali wake akipata nafasi kama hiyo huwa hafanyi makosa hata kidogo, huhakikisha anapeleka mziki wote kwao ili wakati mwengine...
2022-08-11
1h 06
Salama Na
SE7EP07 - SALAMA NA DR KUMBUKA | YAANI…
Dr Kumbuka ni influencer mkubwa kwenye masuala ya mahusiano na maelewano inapokuja kwenye suala zima la ushauri na mashauri kwa watu wengi ambao wamekua wakimsikiliza na ambao wanamsikiliza kila siku za wiki anapokua kwenye kipindi cha Uhondo pale EFM. Na yeye kuwa pale hakufika kwa bahati mbaya. Ila pengine alipo anzia kazi yake pale Times FM ndo ilikua kama bahati kufika. Anakumbuka jinsi ambavyo alikua zake tu mtaani wakati mtangazaji wa Times FM wakati huo Bi Dida Shaibu alipokua mtaani akitafuta watu wenye kipaji cha ‘kuchamba’ watu wengine. Anasema wanawake ndo walikua wametawala jukwaa huku wakishusha maneno mengi ya kara...
2022-07-28
1h 07
Salama Na
SE7EP01 - Salama Na ZUCHU | SINDANO
Kuna usemi mmoja unaenda kama hivi, kulea mimba si kazi ila kazi ni kulea mtoto, tafsiri yangu naamini mhenga hapo alikua anatuambia kazi pengine inaanza baada ya kupata kazi, tunaelewa jinsi gani ambavyo kupata kazi huwa ni kazi. Tena kazi yoyote, haijalishi kama ni ya upishi au ulinzi au ufundi au hata u daktari, mi nawajua madaktari kadhaa ambao nao pia wanapata shida kupata hizo kazi. Na baada ya kupata shida zote hizo wakati wa kutafuta kazi basi kazi halisi huanza pale unapoipata sasa hiyo kazi yenyewe. Kazi ya Zuchu ilianza kabla hajaipata hiyo kazi yenyewe na...
2022-06-16
55 min
Surviving Nairobi
Season 6 Episode 3: Transformational Creativity Featuring Dr. Andrene M. Taylor
On this episode your hosts, Bukachi and Hafare are joined by Dr. Andrene M. Taylor who is a scholar, writer, educator, producer and visual storyteller to discuss transformational creativity, decolonizing African storytelling, the Kipaji Lab, how the lab helps each cohort and much more. Follow us on our socials @survivingnairobi on IG and @survivenairobi on Twitter Hafare - @gethafare on Twitter and @hafare on IG Ivy - @iv_ey on Twitter and @callmedjiv on IG Kipaji Lab - @kipajilabkenya on IG and @KipajiLab on Twitter
2022-06-06
56 min
Ebenezer Revival International Ministry
Mwanamke Mwema - Nabii Analyce Ichwekeleza
Mwanamke mwema ni mwanamke ambaye huongoza nyumba yake kwa uadilifu, nidhamu, na kipaji. Mnawamke huyu ni kiongozi, si kwa sababu anajaribu kuwa, lakini kwa sababu yeye hujitambua.
2022-04-11
1h 11
Iran-Tanzania Podcast
Mwanamalenga wa Kiirani Nezami
Jamaluddin Abu Mohammad hakuweza kupata upendo wa wazazi wake kwa muda mrefu; kwani wazazi wake walifariki dunia akiwa bado mtoto na kupata malezi akiwa mtoto yatima. Ushahidi wa kihistoria unaonyesha kuwa, Nezami Ganjavi hakuwahi kuondoka katika mji wa Ganja akiwa bado na umri mdogo, na alipofikia marika ya ujana , aliweza kujifunza sanaa na ujuzi mbalimbali na hatimaye alikuwa na ufasaha wa kuzungumza na kuandika lugha za Kiazeri, Kiarabu, Kiajemi na Kipahlavi. Nezami ni bingwa na mshairi anayepaswa kuzingatiwa kwenye mihimili na nguzo za ushairi wa Kiajemi. Yeye ni mmoja wa malenga aliyekuwa na kipaji cha kuandika mashairi na ku...
2022-03-11
12 min
Paukwa Radio
Nilikuwa mwanahabari kimakosa | Harith Salim
Harith Salim no bingwa katika tasnia ya uanahabari. Amefanya katika mashirika mengi makubwa huku akijitetea kwa sauti na kipaji chake ili kufikia upeo huu wa sasa. Leo tunaongea naye ilikupata kumjua. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app --- Send in a voice message: https://anchor.fm/paukwaradio/message Support this podcast: https://anchor.fm/paukwaradio/support
2022-03-02
10 min
Paukwa Radio
Nilikuwa mwanahabari kimakosa | Harith Salim
Harith Salim no bingwa katika tasnia ya uanahabari. Amefanya katika mashirika mengi makubwa huku akijitetea kwa sauti na kipaji chake ili kufikia upeo huu wa sasa. Leo tunaongea naye ilikupata kumjua. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app--- Send in a voice message: https://anchor.fm/otienomjomba/messageSupport this podcast: https://anchor.fm/otienomjomba/support
2022-03-02
10 min
H.W PODCAST℠
KWA WENYE SHAUKU YA KUTIMIZA NDOTO ZAO | Kutoka kwa Paul Clement
Paul Clement anaelezea kwa hisia historia ya maisha yake halisi na kutoa hamasa kwa kila mwenye shauku ya kufika mahali fulani kufuata malengo aliyojiwekea, uwezo au kipaji alichonacho. #Karibu_nyumbani --- Send in a voice message: https://anchor.fm/hubofwisdom-org/message
2022-02-10
14 min
===== كلمات الحياة" ، "الأخبار السارة" ، "ترانيم الإنجيل" - باللغات الرئيسية المستخدمة في جزر القمر" / / "Paroles de Vie", "Bonnes Nouvelles", "Chants Gospel" - Dans les Principales Langues Parlées aux Comores =====
Swahili [Kenya] - "Yesu: Mwalimu & Mponyaji".3gp / 3gp."السواحيلية [كينيا] - "يسوع: المعلم والمعالج
Swahili [Kenya] - "Jésus : Enseignant et Guérisseur".3gp / Swahili [Kenya] - "Jesus: Teacher & Healer".3gp //1 WAKORINTHO 13Upendo1Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele. 2Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu. 3Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo ha...
2022-02-03
1h 00
Singeli
JESHI RAIDA FT ZILLA KIPAJI=[KAMATA]PRD NOMA=[0693570520]
2021-11-05
04 min
SINGELI TZ
GIZZY MC FT ZILLA KIPAJI -- CHAWA (ZILLAMEDIA PRODUCT)
2021-10-10
05 min
Ngindo
Gizzy Mc Ft Zilla Kipaji – Chawa 0684809399 (NGINDOMEDIA.COM)
2021-10-10
05 min
Zillamedia
VIDA MC FT ZILLA KIPAJI =[USELA 5] PRD NOMA
2021-10-07
04 min
Zillamedia
Kibe Kipaji -- Show Ya Leo (Zillamedia Production)
2021-10-05
04 min
Zillamedia
Zilla Kipaji - Show Produced By Dj Mushizo 0688503932
2021-09-30
04 min
Zillamedia
SAGWE MC FT ZILLA KIPAJI=[MZEE WA SHOW]PRD NOMA
2021-09-24
04 min
zillamedia3@gmail.com
Zilla Kipaji --- Nikilewa (Singeli)
2021-09-11
04 min
zillamedia3@gmail.com
ZILLA KIPAJI __ NAWAKELA (ZILLAMEDIA | 0754905801).mp3
2021-09-04
04 min
Media
Jr Kipaji - Unanionea (Zillamedia Production)
2021-09-04
04 min
Media
Zilla Kipaji - Onana (Official Audio)0754905801
2021-08-31
04 min
Media
Zilla Kipaji Ft Star Wa Yombo _ Nipe Dili
2021-08-31
04 min
TANZANIA MUSIC
Mwitu Mc - Kamata Bob Wa Vingweta (Zillamediatz 0754905801)
2021-08-27
04 min
TANZANIA MUSIC
Tom Wizzy - Shabalansi (Zillamedia 0754905801)
2021-08-27
03 min
TANZANIA MUSIC
Visimpo Mawe - Mipaka (Zillamediatz 0754905801)
2021-08-27
04 min
TANZANIA MUSIC
Dogo Selenge VIBAYA- (Zillamediatz 0754905801)
2021-08-27
06 min
TANZANIA MUSIC
Pizzo Mc Ft Juzzo Mc - Wanatuonea(Zillamediatz 0754905801)
2021-08-26
06 min
TANZANIA MUSIC
Mzee Wa Bwax - Nimeokoka (Zillamediatz 0754905801)
2021-08-26
03 min
TANZANIA MUSIC
Mdogo Askali - Ngwe (Zillamediatz 0754905801)
2021-08-26
04 min
TANZANIA MUSIC
Bob Kijino Ft Kaje Double Killer - Mibange Bange
2021-08-25
08 min
TANZANIA MUSIC
Bando Mc - Temineta (Zillamedia 0754905801)
2021-08-25
04 min
TANZANIA MUSIC
Panya Mc - Wamenibatiza (Zillamediatz 0754905801)
2021-08-24
06 min
TANZANIA MUSIC
Kaje Double Killer - Kila Mtu (Zillamediatz 0754905801)
2021-08-24
05 min
zillamedia.com
SHOW LIVE KIVULE | Fighter Mc _Night Mc_Zilla Kipaji _ Dj Noma Crezy Mitambo
2021-08-13
08 min
TANZANIA MUSIC
Zilla Kipaji - R.I.P 2021 - Zillamedia.com 0792821924
2021-08-06
04 min
TANZANIA MUSIC
Zilla Kipaji _ [ MAVUNA ] Prd Fujo Midundo 0621830014
2021-08-01
05 min
TANZANIA MUSIC
Zilla Kipaji - Wa2 Wabaya - Zillamediatz 075490581
2021-07-27
04 min
Zmtz brand
Zilla Kipaji Ft Pato Mc - Usela Namba 4
2021-07-22
04 min
Zmtz brand
Zilla Kipaji - KAMATA Produced By G T A 0688503932
2021-07-22
05 min
Zmtz brand
zilla_kipaji_usela_namba_1mp3_54900
2021-07-22
04 min
Zmtz brand
Zilla Kipaji - Mchumba | Zillamidiatz 0692821924
2021-07-07
05 min
ROAD TO SUCCESS
MC NDIMBO- KUBADILISHA KIPAJI KUWA BIASHARA
MC NDIMBO Akimalizia mafunzo ya KIPAJI KUWA BIASHARA kwenye Darasa la 12 WEEKS la Roadtosuccesstz
2021-05-17
09 min
Babananiii
Unapochagua Kazi Zingatia
CHAGUA KAZI UNAYOIPENDA: Jambo la kwanza na lililo muhimu kushinda mengine yote kuhusu kazi ni kuhakikisha kwamba unaipenda kwa dhati na kufurahia kuifanya. Ziko kazi za aina mbalimbali - k.m. kilimo; ufugaji; biashara; kutoa huduma mbalimbali kama vile ualimu; udaktari; ukarani; n.k. Kazi hizo zinaweza kufanywa mahali mbalimbali - k.m. kijijini; mjini; nyumbani; ofisini; kiwandani; n.k. Vile vile kazi hizo zinaweza kufanywa kwa njia mbalimbali - k.m. Kiujamaa; kiushirika; kwa kuajiriwa; kwa kujiajiri mwenyewe peke yako; n.k. Mambo yote haya, pamoja na hadhi ya kazi yenyewe katika jamii unamoishi huenda pia yakaongezea kukufanya upende...
2021-05-08
06 min
===="Bishaaro Wanaagsan", "Heesaha Injiilka", "Ereyada Nolosha" - Luqadaha Ugu Muhiimsan ee Lagu Adeegsaday Soomaaliya / "Good News", "Gospel Songs", "Words of Life" - Main Languages Used in Somalia ====
Kiswahili (Baravenes) - "Yesu: Bwana na Mwokozi" / Swahili(Baravenes) - "Jesus: Lord and Saviour".3gp
Sawaaxilii (Baravenes) - "Ciise: Sayid iyo Badbaadiye" / "السواحلية - "يسوع: الرب والمخلص // 1 WAKORINTHO 13Upendo1Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele. 2Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu. 3Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote. 4Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni. 5Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida ya...
2021-04-08
1h 01
Zmtz brand
ZILLA KIPAJI - FUNGA MTAA ..!!BY .PRODUCER --JACK..BABYLONE...0686034977
2021-03-13
04 min
SIRI ZA BIBLIA
MPANGO MPYA WA ULIMWENGU/NEW WORLD ORDER PART 2
Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru. Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, yule joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi. Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule...
2021-03-05
07 min
Salama Na
Ep. 52 - Salama Na HAJI | ALIYE KUTWIKA NDIYE ATAKAYEKUTUA
Haji Sunday Manara nlitaka kusema ni rafiki YANGU ila vacati navaza hilo nikakumbuka mmh, Haji Sunday Manara ni rafiki wa WATU WENGI hususan mashabiki wa klabu wangu pendwa na zaidi kwa watu ambao hawapendi hata mpira ila wanampenda tu jinsi anavyoseti mambo yake na anavyoigeuza sehemu yoyote aendayo kama sehemu yake ya kujitamba na kujitutumua na tofauti yake na WACHACHE ambao wanafanya kazi kama yake ni kwamba yeye anaweza KUYATEMBEA yale anayo YAONGEA. Mapenzi yangu kwake ni ya first class na namini hata yeye analifahamu hilo, huwa namtazama kwa kuvutiwa hasa kwababu ya anavyojibeba na kukiaminisha kile...
2021-02-04
1h 23
JADI YETU
Jina katika namba ya KOSHFOT katika Kipaji, Fani na Maoteleo ya mtu
Kujitambua katika mazingira ya mtu binafsi katika kupata uchanganuzi na marekebisho na utatuzi wa tabia mwili na kuwa mwenye akili timamu
2021-01-18
13 min
Zmtz brand
Zilla_kipaji Ft Mr Boshen - Butt Kubwa
2020-12-08
05 min
Zmtz brand
Jr_Kipaji_Naomba_Uje_prd_Fujo_Fantastik_Present_By_zilla-Media
2020-12-08
05 min
Zmtz brand
Zilla_Kipaji_Patty_La_Leoo.....Prd_Fujo_Fantastik
2020-12-02
05 min
Zmtz brand
Zilla Kipaji X Fighter Mc X Nenga - Mtu Tatu
2020-11-27
06 min
Salama Na
Ep. 38 - Salama Na CHARLES HILLARY | MZEE WA BUSARA
Ilinichukua muda mrefu kuweza kupata nafasi ya kuongea uso kwa macho na Charles Hillary, maana toka enzi za Mkasi nilikua natafuta mwanya wa kuweza kukaa nae chini walau kwa hata nusu saa tu. Sikuwahi kukata tamaa badala yake nilikua kama chui kwenye mawindo yake, na mwisho wa siku kwa uwezo wa Mungu, binti yake Faith, Ivona Kamuntu na Mama kule nyumbani waliniwezesha kushinda mechi hii hatimaye. Mungu anajua tabasamu lilikua la ukubwa wa kiasi gani, na pengine hilo linaweza likawa limefanya niwe excited sana mpaka mengine nikayasahau kuyauliza, au kujua naulizaje, au kushangaa sana? Ushawahi kukutana na mtu alafu...
2020-10-15
00 min
Salama Na
Ep. 37 - Salama Na DR MWAKA | BINGWA
Sikuwahi kukutana na Dr Mwaka mimi kabla ya tarehe 26 ya mwezi wa tisa, ila nilishawahi kuongea nae kwa simu mara mbili kabla ya kukutana, hatukuwa marafiki ila maongezi yetu ya mara ya kwanza kwenye simu yalinifanya nijue kwa kiasi yeye ni mtu wa aina gani, na nilivyokutana nae pia iliongeza heshima yangu kwake kwa kazi anayofanya na aina ya mtu yeye alivyo. Nisiseme kwa kupepesa, alini impress na nilijifunza vitu kadhaa kwa muda mchache niliokaa naye na kuongea nae. Alikuja na mkewe kwenye set ya kipindi na alihakikisha mkewe anafika mpaka kwenye ‘kizuizi’ cha mwisho kabisa kabla ya k...
2020-10-08
00 min
Salama Na
Ep. 34 - Salama Na DOGO JANJA | YENTE
Nakumbuka mara ya kwanza kukutana na Dongo Janja enzi hizo akiwa mtoto kabisa na hata kwenye viduara vyetu alikua anakaa mbali maana havikua vinamhusu. Kukua kwake kwenye macho yetu wakati mwengine inatufanya tuwe tunadhani kama tunamfahamu sana au tuna haki sana ya kujua kila kitu kwenye maisha yake na kumhukumu kwa maamuzi mengine ambayo sisi kama sisi hatujayapenda, tunasahau kama hayo ni maisha yake na ana haki ya kujifunza kwa kukosea na kukaa sawa kama ambavyo yuko sasa. Jina la serikali ni Abdulaziz Abubakar Chende aka JANJARO, sio DOGO JANJA tena, sasa ana miaka 25. Unakumbuka mara ya...
2020-09-17
48 min
Salama Na
Ep. 32 - Salama Na Riyama | UTAKWENDA UTARUDI
Riyama Seleman Ally, malkia wa kazi aifanyayo na kila alitilialo msisitizo hulifanya kwa asilimia 100, hata kama akichelewa kama pengine alivyochelewa kupata heshima yake na malipo yake anayostahili, kama ambavyo anapata sasa au ambayo anapata maana safari bado ni ndefu. Na kwa mazungumzo haya nilofanya naye huo ndo muelekeo na ndo nia na madhumuni. Sote tunajua PENYE NIA PANA NJIA, so kazi ni kwetu. Mzaliwa wa Unguja Tanzania, kakua katika familia ya kidini na malezi bora ila kwa mujibu wa maongezi yetu haya yeye alipenda zaidi kuwa muimbaji, kitu ambacho Mwenyezi Mungu mtoa vipaji hakumjaalia kipaji hicho...
2020-09-03
1h 15
Salama Na
Ep. 31 - Salama Na GOODLUCK | WASTAHILI SIFA
Sifa za Bwana inabidi zisemwe kwa zawadi hii alotupa sisi wanadamu, tunamshkuru sana kwa kipaji cha Goodluck Gosbert na tunamshkuru pia kwa kumfanya ni wa kwetu, kutoka nchini kwetu, kwamba ni mwenzetu. Kwa kweli binafsi nimependa sana na najivunia yeye. Utamu wa sauti yake nadhani cha kwanza wengi tulikipenda sana, baada ya kumsikia tu, kama ilivyokua mara ya kwanza anataka kujifunza kupiga gitaa akaenda kanisani, na akaskika akiimba na wana kwaya wa kanisa hilo na wakampenda toka siku hiyo mpaka leo, ndo ilivyokua kwetu pia naamini. Kipaji chake cha pili ni utajiri wa mashairi, kipaji kikubwa cha...
2020-08-27
1h 04
Salama Na
Ep. 30 - Salama Na SEVEN | ROCKSTAR
Mtaani huwa wanasema ‘hizo kazi za wanaume’, maana mambo ya kukesha na watoto wa kiume na kuhangaika nao usiku na mchana kwa mwanamke inakua ngumu, na pengine inaweza ikaleta mambo yasiyohusu au ikasababisha vitu nyengine visiende kwasababu tu anayefanya hiyo kazi ni MWANAMKE. Ila kwa Christine ‘Seven’ Mosha nadhani hayo maneno yalikua ndo mafuta kwenye utambi wake na aliyatumia hayo kuweza kutoa mwanga maridhawa ulioset standard ya kuvutia. Kuna kipindi na mpaka sasa, ukiwataja ma meneja wa wasanii walio hodari hapa kwetu basi la Seven litakua la kwanza kwa mujibu wangu Mimi, maana kwa kuwa mfano kwenye tasnia aliweza haswa!
2020-08-20
1h 07
Salama Na
Ep. 29 - Salama Na CPWAA | KILA CHOMBO CHA WIMBILE
Wakati Parklane iko juu sana wengi wetu tulikua tunamfahamu zaidi Sumalee na ilikua haswa Sumalee na yule mwengine mwenye sauti nzito ambaye alikua anatupia tu vichombezo vya hapa na pale, hata kwenye posters za show na mambo mengine Ismail Sadiq aka Sumalee ndo alikua kila kitu mpaka pale kundi lilipovunjika na kila mmoja akaenda upande wake, hapo ndio tulipoanza kufaidi kipaji cha huyu mwanachama mwengine wa hiyo duo, jina la serikali ni Ilunga Khalifa aka Cpwaa alianza kung’ara zaidi na kupata mpaka show za kimataifa. Yuko na swagg, anaweza kuongea kiswahili na ki...
2020-08-13
1h 04
TIMIZA MALENGO YAKO
Mambo (7) Yanayoua Kipaji
Follow me onInstagram@joelnanauka_Youtube: Joel NanaukaFacebook@jnanaukaTwitter@jnanauka
2020-08-02
00 min
Salama Na
Ep. 26 - Salama Na Baba Levo | ALL IN ALL
Kusema ukweli kabisa mimi na mgeni wetu wa wiki hii hatuna urafiki wala mazoea kabisa, ila tunafamiana kwa mbali na pengine (naamini) kila mmoja anamheshimu mwenzake kutokana na kazi ambazo kila mmoja wetu ameshafanya, na hiyo ndo ambayo imeleta heshima kati yetu. Pia tukumbuke heshima hainunuliwi wala haihongwi, huja yenyewe na kutuwama pale inapoona inafaa. Kwa kipaji na jina lake kuwa kule na huku nami ndo nilimfahamu Baba Levo. Utani wake kwa wasanii wengine (hasa siku za hivi karibuni) watanzania wamekua wakiuona sana. Ila kwa mujibu wa historia chache juu yake ambayo nilikua naifahamu Baba Levo siku...
2020-07-23
1h 21
Salama Na
Ep. 25 - Salama Na Gabo | MTOGAPAAFWE
Jina halisi ni Salim Ahmed Issa, na kwa mujibu wa niloyasoma ni mjukuu wa moja ya watu maarufu mkoani Iringa ambaye alikua anatambulika kama Mtogapaafwe Kiyeyeu. Huyo alikua ni BABU wa Gabo Zigamba kabisaa ambaye binti yake Rafia Issa Kiyeyeu ndo Mama mzazi wa Gabo huyu tunayemfahamu mimi na wewe. Unaambiwa kaburi la Marehemu Mzee Mtogapaafwe lilikua na maajabu sana, ila hiyo ni khadithi ya siku nyengine. Hapa ilikua juu ya utambulisho wetu kwake na sifa zake actor hodari toka kwetu Tanzania. Gabo si moja ya marafiki zangu ila baada ya kuonana hapa ndo urafiki wetu ulipoanzia...
2020-07-16
52 min
Salama Na
Ep. 24 - Salama Na Lady Jaydee | POWERHOUSE
Kwa Judith Wambura Mbibo kuongea anayoyawaza bila ya kupepesa au kutafuta sapoti kabla hajafanya hivyo ndo hulka yake haswa, si wa kukwepeshakwepesha au kung’ata maneno ili yawe malaini zaidi kwa anayeambiwa asijikie vibaya labda. Kwake yeye lilivyo ndo lilivyo, kazi ya kupaka mawingu rangi huwaachia wahusika, yeye yake ni kuhakikisha mawingu yapo, na kwa hilo? Mimi namheshimu sana. Mwanangu mwengine ambaye hii ni mara yetu ya kwanza kukaa chini na kutia story ili wananchi waweze kupata majibu ya baadhi ya maswali waliyokua nayo muda mrefu sana pengine. Na round hii nilihakikisha sichezi mbali naye kama Chama na...
2020-07-09
57 min
Salama Na
Ep. 23 - Salama Na Nizar | RAHA LEO KUCHELE
Wakati Vancouver White Caps wanamtaka Nizar Khalfan baada ya kumuona akiwa anakipiga hapa nyumbani wakati yuko na timu ya Taifa ya Tanzania haikua habari au jambo la kushangaza miungoni mwa wachezaji na walokua wakimuona na kumfahamu mchezaji huyo vizuri. Kila mtu kati ya hao alikua akiomba ki vyake kijana huyu kutoka Kusini mwa Tanzania apate nafasi ya kwenda kuwakilisha Taifa na kuendeleza kipaji chake maridhawa kabisa. Nizar ametokea Mtwara na kwenye familia yake kwa mujibu wa maongezi yetu Mzee wake alikua akiupiga ingawa si mwingi kama wa Master Chef Khalfan maana yeye alianza akiwa mduchu haswa, watu wazima wa mtaani...
2020-07-02
1h 25
TIMIZA MALENGO YAKO
Vitu Sita (6) Vya Kuzingatia Katika Kuboresha Kipaji Chako
Follow me onInstagram@joelnanauka_Youtube: Joel NanaukaFacebook@jnanaukaTwitter@jnanauka
2020-06-28
00 min
TIMIZA MALENGO YAKO
Unafanyaje Kunoa Au Kukuza Kipaji Chako
Follow me onInstagram@joelnanauka_Youtube: Joel NanaukaFacebook@jnanaukaTwitter@jnanauka
2020-06-25
00 min
Salama Na
Ep. 20 - Salama Na Lord Eyes | HAWATUWEZI
Isaac ndo jinsi jina lake linavyoandikwa, kipaji adhimu kabisa kutoka Kaskazini mwa Tanzania, Allah kamjaalia kila ambalo msanii anaomba abarikiwe nalo wakati anapewa kipaji. Mrefu, muonekano mzuri, mashairi ya kibabe na kujiamini kulikokaa sehemu yake haswa. Walipoanza kama kundi hapo ndo attention yangu waliipata wana Nako 2 Nako Soldiers kutoka Ara, kila kitu kilikua tofauti juu yao, mavazi, style, matamshi na hata muonekano. Hii ilikua chachu ya kuwafikisha popote ambapo walikua wamepalenga. Mashabiki kila kona ya Tanzania na Afrika na dunia kwa ujumla, hakuna radio utakayoskilizia ambayo walikua hawapati nafasi. Walikua marafiki wa kila kituo na kazi yao...
2020-06-11
53 min
Salama Na
Ep. 12 - Salama Na Gigy Money | ZILE KHADITHI
Mara nyingi huwa tunahukumu watu ambao hata hatuwafahamu na pengine hatujawahi hata kuongea nao hata mara moja kwasababu tu ya muonekano wao au kwa kitu tumeskia wamefanya au wamesema, au kwasababu fulani kasema jambo fulani kuhusu yeye ndo hapo nasi tunajifanya tunawajua sana na kutoa hukumu zetu juu yao, kama vile tunawafahamu sana au tunajua sababu ya yote ambayo tumeona au kuskia tu wamefanya au kusema. Hayo ndo maisha ambayo mgeni wetu wa wiki hii amekua akiishi kwa miaka kadhaa sasa. Jina lake ni Zawadi aka Gift, binafsi sikumbuki siku ya kwanza kukutana naye au kumsikia ila...
2020-04-16
1h 01
Salama Na
Ep. 9 - Salama Na Khadija Kopa | ALIYEPEWA KAPEWA
Khadija Omar Kopa. Malkia wa mipasho na lejendari wa muziki wa Taarab kwenye ukanda huu na duniani kwa ujumla, mwenyewe kaniambia yeye kwenda Arabuni na Ulaya ni jambo la kawaida tu kwake maana hayo kayaanza kuyafanya kitaaambo sana. Kitambo kweli naweza sema, mimi nimeanza kumfahamu Da Khadija toka kigori kabisa, na amekua hapo kwenye standard hiyo hiyo kwa miaka nenda na miaka rudi. Hii bila ya shaka imetokana na kwamba na yeye alianza kufanya hizo kazi akiwa bado msichana mbichi kabisa. Na ameweza kutuliza akili yake na ku maintain standard na status yake kwa miaka nenda...
2020-03-26
50 min
Salama Na
Ep. 8 - Salama Na Idris | TROOPER
Mimi kama watanzania wengi sikuwa namfahamu Idris, mara yangu ya kwanza kumuona ilikua kwenye TV akiwa mmoja wa wawakilishi wa Taifa hili kwenye kipindi cha Big Brother mwaka 2014. Nilivyouandika hapa huo mwaka ndo imenigusa akilini kwamba ni miaka sita tu imepita toka Idris Sultan amekua kwenye macho na midomo yetu. Na pengine ataendelea kuwepo kwenye midomo na macho yetu kwa miaka mingi zaidi, kuna sehemu nilikua naangalia interview yake moja na alisema yeye umaarufu ndo kitu ambacho anakipenda zaidi, pengine na ndo maana alienda kwenye shindano la Big Brother Africa na toka ametoka mule kama mshindi sidhani kama kuna...
2020-03-19
1h 01
Salama Na
Ep. 7 - Salama Na Fid Q | NGOSHA WA MBASA
Nakumbuka kipindi ambacho Fidi alikua anaamini kabisa kama kuweka ‘uso wa mbuzi’ ndo kulikua kunakufanya uwe ‘hard core’, sina uhakika lini aliachana na dhana hiyo ila kwa kipindi cha miaka miwili au zaidi tabasamu na bashasha vimekua havibanduki kwenye uso wake, jambo ambalo mimi kama rafiki nalifurahia sana. Nakumbuka baadhi ya marafiki zangu wa kike ambao ni wapenzi haswa wa mziki wake walikua wakiniambia eh, sema rafiki yako mgumu jamani, Kha! Mi hucheka tu na baadae wakishazoeana basi sidhani kama kuna hata mmoja anaweza kusema kitu kibaya kuhusu yeye. Nilikua nacheka kwasababu mimi naamini namfahamu rafiki yangu huyu, yeye hupenda...
2020-03-12
1h 23
Salama Na
Ep. 4 - Salama Na Barnaba | FUNDI
Barnaba ni mfupi (siko hapa kumtoa kasoro) ila wazungu wana usemi wao ambao nitausema kwa kiswahili, ya kwamba vitu vizuuuri huja kwenye pakeji ndogo. Ukitaka kuelewa maana yake kama hujang’amua basi kamuulize Bibi. Umbo lake na uwezo havifanani , na kama ingekua ubora na kipaji ndo ukubwa wa mwili basi mwenzetu angekua kama HERCULES, pia siko hapa kwaajili ya kumtukuza bali kusema vile nimunavyo katika macho yangu. Ni kijana ambaye anajifunza kila siku iendayo kwa Mungu, hajawahi kujikweza, mwenye roho ya Imani, mwenye kumuogopa Mungu na pia asiyesahau alipotoka na pia alotoka nao huko alipotoka. Mtanashati pia, na...
2020-02-24
1h 03
Coach Aifa
16-Kwanini unatamaa? | Ukweli utakuweka huru, epuka kubeti katika safari ya mafanikio ya biashara.
Epuka tamaa ya pesa, kuwa na njaa ya mafanikio, tambua kipaji chako ndani ya biashara yako, ishi ndani ya kipaji hiko kuelekea mafanikio yako. Sikiliza mwanzo mpaka mwisho
2020-01-21
13 min
Coach Aifa
10-usicho kijuwa na kimejificha ndani yako kuweza kukuza biashara yako ONLINE
Ukiweza tambua kipaji chako peesa utaweza kuziqtengeneza katika biashara yetu. Sikiliza hapa.
2020-01-10
05 min
Zilla Kipaji
Mc chally=Powah
New singeli
2018-06-04
04 min
Zilla Kipaji
Mczo Morfan-Mwanasport
Singeli
2017-10-19
03 min
Zilla Kipaji
Mdogo Hk And Dj Timbwis- Hawapo
New singeli
2017-10-18
05 min
Zilla Kipaji
Tozzy-Bado na bado
Captain tozzy
2017-10-18
03 min
Zilla Kipaji
Ransy_boy-Akili Ya Pombe
New audio
2017-10-17
03 min
Zilla Kipaji
Princess-Nawekeza
Cover
2017-10-12
03 min
Zilla Kipaji
Mc Chally-Nakupenda Rose
2017-10-07
04 min
Zilla Kipaji
Meja And Dj nguto-Zamila(New_Singeli)
Mixing Kali kapiga Dj nguto
2017-10-03
03 min
Zilla Kipaji
Ransy_boy-usingizi(New_song)
Ransy boy=usingizi
2017-10-03
03 min
Zilla Kipaji
Zilla Kipaji=Demo
Zilla kipaji demo
2017-10-03
02 min
Zilla Kipaji
Belle And Dj Timbwisi=Mtumiwa(New_Singeli)
Dogo_belle=mtumiwa
2017-10-02
06 min
Zilla Kipaji
Mr Kesi Media
2017-10-02
00 min
Zilla Kipaji
Zilla Kipaji_LIVE
2017-10-01
01 min
Zilla Kipaji
Beka Lito And Big Touch=Ubinadamu Kazi(NEW_SINGELI)
2017-10-01
05 min
Zilla Kipaji
Mc Chally=wapigachabo{New_Singeli)
Mc chally anaomba kampani zenu
2017-09-30
03 min
Zilla Kipaji
Zilla Kipaji Ft Man Fongo=Sio Powah_Remix
Singeli music
2017-09-27
00 min
Zilla Kipaji
Zilla Kipaji=Nalia Na Moyo
Zilla kipaji=Nalia na moyo
2017-09-25
04 min
Brain Ujazo live
Live Hip hop Music Mix On 255kwafasiFM
Heshimu kipaji chako
2017-04-14
15 min
Lackson Tungaraza's show
MWAMBIE MUNGU AKUTAMBULISHE
Je unataka kutambulika? Una kipaji, Huduma au ujuzi katika mambo mbali mbali yanayohusu jamii kwa ujumla. Isitoshe umejitahidi kufanya kila uwezalo lakini bado hautambuliki... Hauthaminiki. Shida IPO, sikiliza hili soma na ujifunze kutambulika zaidi. 0764793105 Lackson Tungaraza.
2016-08-27
07 min