Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Deus Gunza

Shows

Into the Dust ArchaeologyInto the Dust ArchaeologyEpisode 44 - The Best of LIDAR and Pirate ArchaeologyEpisode 44 Summary Welcome to this episode of Into the Dust! This week, we’re covering two topics from the world of archaeology. First, we’ll deep-dive into swashbucklimg pirate archaeology, uncovering artifacts and shipwrecks from the Barbary corsairs and legendary pirate Blackbeard. Then, we’ll explore groundbreaking finds made possible through LIDAR technology, revealing ancient civilizations long hidden from view. Get ready for a thrilling mix of history, technology, and discovery!Part 1: Barbary Corsairs and Blackbeard  What do North Africa’s fearsome Barbary pirates and the infamous Blackbeard have in common...2025-03-1434 minBusiness Growth TrailblazersBusiness Growth TrailblazersDiscover Amazon Success with Chris Mangunza Welcome to the  Business Growth Trailblazers Podcast! In this episode,  we’ll explore essential tips, proven strategies, and actionable insights to help you optimize your operations, scale your business, and maximize your profits in Amazon.   Chris Mangunza is an entrepreneur specializing in e-commerce, particularly known for his Amazon FBA business. He has developed a successful business model focused on online arbitrage and software tools that assist sellers in navigating the complexities of the Amazon marketplace. Chris Mangunza is the creator of the Software "Arbitrage Stalker," a tool designed to help A...2024-08-2020 minI Thought I Knew How: A Podcast about Knitting and LifeI Thought I Knew How: A Podcast about Knitting and LifeCrochetIn this episode, Anne talks about what she's been working on for The Great Yarn Challenge, makes a case for crochet, and muses about what keeps a lot of folks (but mostly herself) from designing. Have a listen! Links to Things Mentioned in the Podcast The Great Yarn Challenge Craft Yarn Council Holiday Trees, by YellowCosmo Loopy Love Blanket, by Tamara Kelly Flower Power Scrubby, by Kara Gunza Scrubby Cotton from Red Heart Cinca, by Amy Christoffers Sophie's Universe, by Dedri Uys Alma Sweater, by Tatsiana Kupryianchyk The...2022-02-1541 minIsaac musicIsaac musicISAAC - BBCM (Prod By Isaac & Gunza(jmg) )insta: @jmg.isaac2019-02-0403 minA Date With DatelineA Date With DatelineA Texas Twist S.25 Ep.16Are you ready to rethink how often you use spellcheck and thesaurus functions in WORD? Why does a case from 2012 spark so much discussion about 90’s pop culture from our lovely hosts? What is the urban dictionary definition of the term -gunza-? Does the misfiring of brain neurons really cause certain pronunciations of words that will lead to Kimberly, once and for all, having to take to her bed? And finally a Multiple Choice: Are Strickland and Spellman-   A. suspects in a murder case   B. a new law firm specializing in high price divorce settlements in Dallas     C. a dynamite comed...2017-07-0757 minIsaac musicIsaac musicISAAC YS ft GUNZA ft PINTO - Comme Koffie (prod by Gunza & Isaac Ys)(2014)insta: I_needslove2017-06-1802 minIsaac musicIsaac musicIsaac YS - DÎTES - LUI (Prod by Isaac YS & Gunza & Asaiah(indie studio))(2013)Isaac YS - DÎTES - LUI (Prod by Isaac YS & Gunza & Asaiah(indie studio))(2013) by Isaac music2017-03-1302 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili - Voice of AmericaIdhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika ni mojawapo ya idhaa za nje zinazosikilizwa sana Tanzania. Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili Emmanuel Muganda anatuelezea jinsi idhaa hiyo inavyofanya kazi. Je idhaa hiyo ilianzishwa lini? Nini yalikuwa mdhumuni ya kuianzisha? Ni Radio gani Tanzania zinazorusha matangazo yao? Je nini maoni yake juu ya dhana moya ya uandishi wa raia? Je Africa ina nafasi gani katika teknolojia mpya ya habari na mawasiliano? http://www.voanews.com/swahili/2007-03-1121 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Mheshimiwa Mhonga Said Rhuwanya - Viti Maalum CHADEMAMheshimiwa Mhonga Said Rhuwanya ni mmoja wa wabunge vijana wanaokuja juu. Akiwa na umri wa miaka 26 aliwashangaza wengi alipochaguliwa na CHADEMA kuwa Mbunge Viti Maalum. Huko Bungeni amekuwa ni mmoja wa wabunge vijana walio makini na waliojikita kuikomboa nchi yetu Je Mheshimiwa Mhonga ametokea wapi? Ni sababu gani zilimfanya aingie kwenye siasa? Kwa nini alijiunga na CHADEMA?2007-01-2927 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Mwanamitindo & TZ Goodwill Ambassador - Tausi LikokolaTausi Likokola sio jina geni kwa wa-Tanzania wengi. Mwanamitindo huyu ameshafanya kazi na designers wakubwa kama GUCCI, Escada, Tommy Hilfiger, Christian Dior na Issey Miyake. Lakini Tausi hajaishia kwenye mitindo peke yake bali anafanya kazi kubwa kuisadia jamii aliyotoka. Je Tausi Likokola katokea wapi? Nini kilifanya aitwe Goodwill Ambassador wa Tanzania? Nini kilimuingiza kwenye mitindo? Je ana ushauri gani kwa wasishana wanaotaka kuwa wanamitindo kama yeye?Tembelea tovuti zake: www.TausiDreams.com , www.TausiAidsFund.org2007-01-1435 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Kleist Sykes - Former Mayor of Dar es SalaamMheshimiwa Kleist Sykes, ambae ni mtoto wa marehemu Abdulwahid Sykes anaongelea mchango wa familia ya Sykes kwenye uhuru wa Tanganyika na kitabu cha Mohamed Said. Je nini maoni yake juu ya kitabu cha The Life and Times of Abdulwahid Sykes? Je alimpa ushauri gani Mohamed Said? Je kuna ukweli wowote kuwa waislam ndio peke yako waliongoza harakati za uhuru? Je atapenda watanzania wamkumbuke vipi Mzee Abdul Sykes?2006-12-2527 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Author & Historian Mohamed SaidKatika kitabu chake cha "The life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The untold story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika" mwandishi Mohamed Said anaangalia mchango wa waislam katika harakati za kuleta uhuru wa Tanganyika. Je waislam ndio walioanzisha TAA na TANU? Je ni kweli Mwalimu Nyerere alinyakua TANU toka kwa waislam na kukifanya kuwa chombo cha kanisa? Nani alisaidia sana kuleta uhuru wa Tanganyika kati ya Mwalimu Nyerere na Abdul Sykes? Sikiliza zaidi.2006-12-1741 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Mheshimiwa Zitto Kabwe - Mbunge wa Kigoma KaskaziniMheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe ni mmoja wa wabunge vijana machachari na maarufu kwenye siasa ya Tanzania. Akiwa na umri wa miaka 30 tu, Mheshimiwa Zitto Kabwe ni mbunge kijana kuliko wabunge wote wa kuchaguliwa. Je Zitto Kabwe ametokea wapi? Yupo wapi? Anaelekea wapi? Kwa nini aliingia kwenye siasa? Je ana matatizo gani Mheshimiwa Spika? Je wapinzani wana imani na Spika? Je ni kweli ana mpango wa kuhama CHADEMA na kuhamia CCM?2006-12-1145 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Mheshimiwa Amina Chifupa MpakanjiaMheshimiwa Amina Chifupa Mpakanjia ni mmoja wa wanasiasa chipukizi wanaokuja juu sana kwenye siasa ya Tanzania. Akiwa na umri wa miaka 25 tu ameweza kuwashangaza watu wengi kwa mambo makubwa anayoyafanya. Je Mh. Amina Chifupa ametokea wapi? Kwa nini aliingia kwenye siasa? Nani alimshauri? Kwa nini kawavalia njuga wauza madawa ya kulevya? Je ana ndoto za kuja kugombea urais hapo baadae?2006-11-2743 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Mheshimiwa Augustine Lyatona MremaMheshimiwa Augustine Lyatonga Mrema ni mmoja wa wanasiasa maarufu nchini Tanzania. Lakini hivi sasa umaarufu wake umeanza kupungua kwa kasi kubwa na watu wengi wanamuona kama kaporomoka kisiasa. Je Mrema ametoka wapi? Yupo wapi na anaelekea wapi? Ni sababu gani zilimtoa CCM na NCCR-MAGEUZI? Je ni kweli Mrema kapandikizwa na CCM ili kuua upinzani? Na vipi kuhusu shahada yake? Sikiliza zaidi.2006-11-2027 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Dr. Malima BundaraBara la Afrika lina kila kitu kuanzia ardhi kubwa yenye rutuba, maziwa makubwa, mito, madini, mazao na mbuga za wanyama. Vilevile ni bara la pili kwa ukubwa na inasemekana binadamu wa kwanza aliishi huko. Pia ni bara linaloongoza kwa kupewa misaada na nchi nyingine. Lakini na mambo yote hayo Afrika ni bara linaloshika nafasi ya mwisho kwenye masuala mengi ya maendeleo? Je tatizo ni nini? Utumwa? Ukoloni? Ukoloni mamboleo? Dr. Malima Bundara mwandishi wa kitabu cha “Waafrika Ndivyo Walivyo?” anasema tatizo ni Waafrika wenyewe. Sikiliza zaidi.2006-11-1234 minRadio ButiamaRadio ButiamaMahojiano na Mwanahabari/Mwanablogu Ndesanjo MachaTeknolojia ya habari na mawasiliano imebadilisha jinsi binadamu tunavyoishi. Mabadiliko haya yamempa nguvu kubwa sana mtu wa kawaida. Leo hii watu wa kawaida wanaweza kumiliki vyombo vyao vya habari bila hata kulipia gharama kubwa. Mwanahabari na Mwanablogu Ndesanjo Macha(Pichani kulia akiwa na Issa Michuzi) anatuelezea vizuri juu ya dhana mpya ya uandishi wa raia. Je blogu ni nini? Nini faida za kuwa na blogu? Je Afrika tuna nafasi gani katika hii teknolojia mpya? Kiswahili kina nafasi gani? Sikiliza zaidi.Tembelea blogu ya Ndesanjo Macha:www.jikomboe.com2006-10-3025 min