Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Radiorahma

Shows

RadioRahmaRadioRahmaUchunguzi wa habari kuwa vyandarua vya mbu vyaleta kunguni nchini Kenya.Licha ya shirika la afya duniani WHO,kuidhinisha matumizi ya vyandarua vya mbu vilivyotibiwa,hapa nchini Kenya mkakati huu unakabiliwa na changamoto nyingi kwa sababu kuna taarifa za uongo zinazosambaa kwamba vyandarua hivyo husababisha uvamizi wa kunguni majumbani pindi tu  vinapotumika. By:Mwanaharusi Rashid.2021-12-2112 minRadioRahmaRadioRahmaATHARI YA KUJAMIANA KINYUME NA MAUMBILE WAKATI WA KUJIFUNGUAATHARI YA KUJAMIANA KINYUME NA MAUMBILE WAKATI WA KUJIFUNGUA.2021-12-0411 minRadioRahmaRadioRahmaChangamoto za watu wenye ulemavu wa ngozi maarufu kwa jina albinismKulingana na wataalamu wa afya ni kwamba miale ya jua ni kiungo muhimu kwa afya ya binadamu, ila kuna jamii ya watu ambao jua ni hatari kwao na huchukuliwa kama adui mkubwa kwenye ngozi zao. Kwenye Makala haya ya afya  tunaangazia changamoto za watu wenye ulemavu wa ngozi maarufu kwa jina albinism. Mtayarishi ni Ibrahim Juma Mudibo.2021-12-0110 minRadioRahmaRadioRahmaWAJIPATIA RIZIKI KUPITIA KILIMO CHA MBUYUWengi hufahamu jina mabuyu yaliyozoeleka kuliwa kwa kumumunya utamu wake ambapo hupikwa kwa kuchanganya na sukari, rangi iwe ya kijani nyekundu au hata njano pamoja na viungo vyengine ambapo badae huuzwa katika paketi kati ya shilingi 5-50 Lakini je unapomumunya utamu wake unafahamu pale yanapotokaa?.Yanatoka kwa mti wa m'buyu kwa kimombo baobab tree. Ni mti mkubwa wa ukanda wa tropiki na  matunda yake ndio yanaitwa mabuyu na lile gamba la tunda linaitwa kibuyu na ubuyu ndio hupikwa na kisha tunaomumunya utamu wake. Mti wa m'buyu ambao huzalisha mabuyu hustawi sana katika maeneo y...2021-11-2912 minRadioRahmaRadioRahmaChanjo za Corona haziathiri nguvu za kiumeChanjo za Corona haziathiri nguvu za kiume kama inavyodhaniwa na wengi.Mwanahabari wetu alifanya mazungumzo na wanaume waliodungwa chanjo hio na wametibithisha kuwa hawajaathirika,nguvu zao za kiume bado ziko imara. By:Athuman Luchi2021-11-2805 minRadioRahmaRadioRahmaVyama vya pesa mashinani wakati wa CoronaUjio wa virusi vya Corona humu nchini ulivuruga shughuli nyingi ikiwemo za kiuchumi.Kina mama wengi wamelazimika kujiunga na vyama vya mashinani ambapo wanapata mikopo bila riba na kujiendeleza na bisahara zao ndogo ndogo. Ruth Keah amezungumza na baadhi ya wanawake waliojiunga na vikundi hivyo na kutuandalia makala haya. By:Ruth Keah2021-11-2609 minRadioRahmaRadioRahmaJuhudi za kunasua familia kimawazo dhidi ya makovu ya mauaji ya kiholelaFamilia nyingi hupata msongo wa mawazo wanapopoteza wapendwa wao kutokana na mauaji ya kiholela.Katika makala haya Ruth Keah amezungumza na baadhi ya waathiriwa ambao wamepoteza jamaa zao mikononi mwa maafisa wa usalama.Wengi kwa sasa wamejiunga na vikundi vya kubadilishana mawazo ili kupunguza msongo wa mawazo wanaopitia. By:Ruth Keah.2021-11-2611 minRadioRahmaRadioRahmaUkumbatiaji wa Bayoteknolojia kwa usalama wa chakulaMhogo ni chakula kinachoenziwa na wengi na zao ambalo limewapa wakulima mapato humu nchini. Chakula chake ni maarufu katika baadhi ya mataifa ya bara la Afrika, Asia na Amerika Kusini. Kulingana na shirika la utafiti wa kilimo na mifugo humu nchini KALRO, mihogo inapandwa katika hekari laki moja na elfu sabini na mbili nchini ambapo asilimia 60 hupandwa kutoka eneo la Magharibi, Pwani asilimia 30 na eneo la Mashariki likiwa na asilimia 10. Licha ya kuwa tegemeo kwa wakulima, ukulima huo unakabiliwa na changamoto za maradhi ya aina mbili na kusababisha hasara ya mapato kwa wakulima...2021-11-2511 minRadioRahmaRadioRahmaMAKALA YA JINSI SEKTA YA AFYA ILIVYOIMARIKA BAADA YA UGATUZI KWALEMakala by Ali Nariri2021-11-2409 minRadioRahmaRadioRahmaTamu Tamu ya asali yapotea kwa ukameMbali na kuwa mdudu mkali wapo waliozama katika ufugaji wa nyuki kwa ajili ya uzalishaji wa asali kwa matumizi mbalimbali ikiwemo dawa. Ikumbukwe kuwa si wengi wenye ujasiri na ukakamavu wa kufuga nyuki kutokana na dhana na kasumba kuwa ni wadudu hatari kufuga licha ya kuwa na manufaa tele.   Ufugaji wa nyuki hauna mahitaji mengi ikilinganishwa na ufugaji mwengine wowote cha msingi ni mfugaji kuwa na mizinga.  Kama ukulima na ufugaji wengine wowote ule Nyuki pia hutegemea mvua kwa sababu nyuki hutegemea maua kama chakula na wakati wa mvua ufugaji wa nyuki na uza...2021-11-2114 minRadioRahmaRadioRahmaUongozi wa wanawake Wapigiwa upatu Pwani.Wanawake wengi wameshindwa kuafiki katika maswala ya uongozi kutokana na kasumba inayoendelezwa na baadhi yao kwamba mwanamke hawezi kuwajibikia majuku yake ipasavyo. Kulingana na takwimu za shirika la kimataifa la wanawake UN Women, duniani kuna nchi 27 ambapo wanawake wanachangia chini ya asilimia 10 ya wabunge. By:Nuru Mwalim2021-11-2009 minRadioRahmaRadioRahmaKilimo Cha Pamba ya kisasa chaimarisha Maisha Ya Wakulima Kwale-Part 2Pamba ni zao ambalo hustawi vizuri katika sehemu kubwa humu nchini. Lakini licha ya hivyo watu wengi hawajaukumbatia sana ukulima wa mmea huo. Mhariri wetu Ruth Keah aliwatembelea baadhi ya wakulima wanaoendeleza ukulima wa pamba ya kisasa katika kaunti ya Kwale na kutuandalia Makala yafuatayo awamu ya pili- Kilimo Cha Pamba ya kisasa chaimarisha Maisha Ya Wakulima Kwale. By:Ruth Keah2021-11-1808 minRadioRahmaRadioRahmaKilimo Cha Pamba ya kisasa chaimarisha Maisha Ya Wakulima Kwale-Part 1Pamba ni zao ambalo hustawi vizuri katika sehemu kubwa humu nchini. Lakini licha ya hivyo watu wengi hawajaukumbatia sana ukulima wa mmea huo. Mhariri wetu Ruth Keah aliwatembelea baadhi ya wakulima wanaoendeleza ukulima wa pamba ya kisasa katika kaunti ya Kwale na kutuandalia Makala yafuatayo- Kilimo Cha Pamba ya kisasa chaimarisha Maisha Ya Wakulima Kwale. BY:Ruth Keah2021-11-1808 minRadioRahmaRadioRahmaWanafunzi waliopachikwa mimba warudi shuleni KwaleSimulizi zifuatazo ni za waschana kati ya umri wa miaka 13-14 kutoka shule za msingi tofauti tofauti hapa Kwale. Watoto hawa chini ya umri wa miaka 14 wamedhulumiwa kwa kupachikwa mimba na sasa ni walezi wa watoto. Ila watoto hawa ambao pia ni wanafunzi wameziweka nia za kuendeleza masomo yao ima kwa mimba au baada ya kujifungua. By: Mwanaharusi Rashid2021-11-1815 minRadioRahmaRadioRahmaMazingira na Ajira part 2Huku changamoto za taka zikiendelea kulikumba jiji hili la mwambao wa Bahari Hindi, makundi ya kujitegemea yamechipuka kama uyoga kuisaidia serikali ya kaunti ya Mombasa kukabiliana na jinamizi hili. By: Majani Rashid2021-10-2806 minRadioRahmaRadioRahmaMazingira na Ajira part 1Vijana wabuni ajira kupitia kuboresha usafi wa mazingira mitaani Likoni, Mombasa. Huku changamoto za taka zikiendelea kulikumba jiji hili la mwambao wa Bahari Hindi, makundi ya kujitegemea yamechipuka kama uyoga kuisaidia serikali ya kaunti ya Mombasa kukabiliana na jinamizi hili.  By: Majani Rashid2021-10-2809 minRadioRahmaRadioRahmaTumaini ya Kina MamaUlemavu ni swala ambalo hadi sasa baadhi ya jamii nchini wanalichukulia kama laana na mzigo katika jamii huku jamii ya kiume ikionekana kuchukua usukani katika dhana hiyo.   By:Nuru Mwalimu2021-10-2109 minRadioRahmaRadioRahmaMashindano ya Maboti KilifiMashindano ya Maboti ufanyika kila mwaka kaunti ya Kilifi bonyeza usikikilize. By:Baya Kitsao2021-10-1805 minRadioRahmaRadioRahmaBiashara ya Manamba MombasaLicha ya wengi uidharau kazi ya Manamba na kuihusisha na wezi kwa jina maarufu la mitaani mateja, biashara hii imeonekana kuvutia wengi katika kaunti ya Mombasa bila kigezo cha mri.Mwanahabari wetu Nuru Mwalimu ametuandalia makala kuhusu Biashara ya Manamba Mombasa. By:Nuru Mwalimu2021-10-1003 minRadioRahmaRadioRahmaBiashara ya njuguu kwa Walemavu KwaleLicha ya kuwa jamii inawatenga kutokana na maumbile yao, idadi kubwa ya walemavu eneo la Pwani wamejikita katika biashara ndogo ndogo ili kujikimu kimaisha.Katika kaunti ya Kwale baadhi ya walemavu wamejikita katika uuzaji wa njuguu. By:Athuman Luchi2021-10-0703 minRadioRahmaRadioRahmaWanawake Waliojitokeza Kuwania Viti Vya KisiasaWanawake ulimwenguni wanaendelea kujitokeza kwa hali na mali kupigania usawa wa kijinsia kwa kujiunga katika ulingo wa siasa.Katika makala haya Mhariri wetu Ruth Keah amezungumza na wanawake ambao wamejitokeza kuwania nafasi za uongozi katika siasa mwaka 2022. By:Ruth Keah 2021-10-0610 minRadioRahmaRadioRahmaMradi wa ‘Elimu Ni Sasa Initiative' Wasaidia Wanafunzi KwaleTangu kuanzishwa kwa mradi wa ‘Elimu Ni Sasa Initiative’kaunti ya Kwake idadi kubwa ya wanafunzi katika kaunti hio wanaofanya vyema wanajiunga na shule za upili na vyuo vikuu ikilinganishwa na miaka ya nyuma ambapo wanafunzi wengi hasa kutoka familia maskini walikuwa wanakwama kuendeleza masomo yao. Mfumo wa Elimu Ni Sasa ulianzishwa mwaka 2013 na lengo kuu ni kuimarisha viwango vya elimu katika kaunti ya Kwale, kama ulipaji wa karo kwa wanafunzi wanaojiunga na shule za upili na vyuo vikuu na vyuo vya ufundi. By: Athuman Luchi2021-09-2910 minRadioRahmaRadioRahmaMashindano ya Mabaoti Kilifi Kaunti.Kila mwezi wa Disemba wakaazi wa Kilifi ufurahia mashindano ya maboti ambayo uandiliwa kila mwaka kaunti hio. By Baya Kitsao.2021-09-2807 minRadioRahmaRadioRahmaDhana kuwa chanjo ya corona sio salama kwa wagonjwa wa sickle CellLicha ya kuwa ugonjwa wa selimundu yaani Sickle Cell kuwa hatari na usiokuwa na tiba cha kushangaza ni kuwa kuna baadhi ya watu wanaougua ugonjwa huo wanaamini kuwa chanjo ya corona sio salama kwao,hivo kususia kudungwa chanjo hio. By:Athuman Luchi2021-09-1605 minRadioRahmaRadioRahmaTASWIRA MPYA YA MAJAA MOMBASASuala la takataka kujaaa katika majaa pamoja na mitaani huenda likawa linachukua mkondo mwengine baada ya serikali ya kaunti ya Mombasa, mashirika binafsi pamoja na vijana kuongeza juhudi za kusafisha mazingira. Jaa la Kibarani ambalo limekuwa kero kwa wengi kwa miaka mingi kwa sasa ni bustani nzuri ya wananchi kupata upepo mwanana. Je ni vipi jaa hilo lilibadilishwa hadi kuwa bustani ? By Ali Nariri2021-08-3012 minRadioRahmaRadioRahmaWENYE AKILI PUNGUANI WAPONA MOMBASA | PART 2By Athman Luchi2021-08-1713 minRadioRahmaRadioRahmaWENYE AKILI PUNGUANI WAPONA MOMBASA | PART 1Nchini Kenya inakadiriwa kuwa mtu mmoja kati ya watu 10 anaugua shida ya akili, Huku mtu mmoja kati ya watu wanne wenye ugonjwa wa akili anahudhuria vituo vya afya. Wagonjwa wengi wa akili ujipata wametengwa katika jamii na wanaonekana kama waliolaniwa.  Jijini Mombasa kumefunguliwa makao na kituo maalumu ya kuwahudumia wagonjwa wa akili cha Women Empowerment for Mental illiness Treatment and Rehabilitation Centre kufunguliwa eneo la Miritini. Kituo hicho kwa sasa kina hifadhi zaidi ya wagonjwa akili 65, huku zaidi ya 50 wakiwa wamepona. BY: Athuman Luchi.2021-08-1713 minRadioRahmaRadioRahmaUZAZI NA CHANJO YA CORONAUjio wa chanjo ya kudhibithi virusi vya corona nchini imepokelewa kwa mtazamo tofauti , huku baadhi wakisema kuwa chanjo hiyo inazuwia wanawake kupata uja uzito sambamba  na wanaume kutokuwa na uwezo wa kuzalisha. By: Nuru Mwalimu2021-08-1609 minRadioRahmaRadioRahmaCHANJO YA CORONA KWA WANAWAKEWakati huu dunia ikiendelea kuhakikisha chanjo dhidi ya virusi ya corona imesambazwa kwa kila mtu duniani,Asasi za afya zikiongozwa na shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO limetoa wito kwa umma kupuuza habari za urongo zinazosambazwa kuhusu chanjo hizo na kudungwa. Miongoni mwa habari hizo za urongo zimeelekezewa wanawake zikidai kuwa wanapopata chanjo hiyo watapoteza afya yao ya kizazi. Katika makala haya, baadhi ya wanawake  wamezungumzia hisia zao kuhusiana na chanjo hiyo inayotolewa humu nchini Kenya ya Astrazeneca. By Ruth Keah2021-08-1508 minRadioRahmaRadioRahmaCHANGAMOTO ZA WANAWAKE WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYABy Ali Nariri2021-08-1312 minRadioRahmaRadioRahmaMUI HUA MWEMADawa kali za kulevya kama heroin almaarufu kwa jina unga ni miongoni mwa mihadarati inayojulikana sana Pwani ya Kenya katika miji ya Mombasa, Kwale, Lamu na Kilifi. Dawa hizi zimewasababishia watumizi walio vijana, watu wazima waume kwa wanawake hasara kubwa za kiafya, kiuchumi na kijamii. Pindi mtu anapoanza ya matumizi ya heroine tabia zake hubadilika pakubwa na sio rahisi kuiacha. Utafiti uliotekelezwa 2016 na profesa Nicole Lee mshirika katika taasisi ya utafiti wa dawa za kulevya, chuo kikuu cha Curtin  unaonesha kuwa  asilimia 10 ya watu wanategemea pombe na dawa nyingine za kulevya na kwamba ku...2021-08-1110 minRadioRahmaRadioRahmaMABADILIKO YA MAJUKUMU KWA WAFUGAJI | PART 2By Ruth Keah2021-08-0706 minRadioRahmaRadioRahmaMABADILIKO YA MAJUKUMU KWA WAFUGAJI | PART 1Mabadiliko ya tabia nchi huathiri shughuli za kibinadamu huku tafiti zikionyesha kuwa wanawake wana uwezekano mkubwa kuathirika na mabadiliko ya tabia nchi zaidi ya wanaume. Makala haya yanaangazia jinsi mabadiliko ya tabia nchi yamewaathiri wanawake kutoka familia za wafugaji huko Maungu kaunti ya Taita Taveta kiasi cha kuwa wamebadilisha   majukumu ya familia. Ambapo kwa sasa wanawake wanajukumika kulinda familia huku wanaume wakikaa tu. By Ruth Keah2021-08-0607 minRadioRahmaRadioRahmaUVUMI KUWA CHANJO ZA CORONA INAATHIRI NGUVU ZA KIUMEKulingana na wizara ya afya nchini Kenya, takribani 2% ya Wakenya wamedungwa chanjo hio, huku kati ya 2% ya watu waliodungwa chanjo ya corona zaidi ni wanaume. Pamoja na hayo, kuna uvumi  unaoendelea kuwa chanjo hiyo husababisha utasa na kupoteza nguvu za kiume.  Licha ya kuweko na uvumi huo, idadi kubwa ya wanaume wanaendelea kudungwa chanjo hio. By Athman Luchi2021-08-0404 minRadioRahmaRadioRahmaGENDER KHUNTHAKhuntha ni watoto wanauzaliwa na jinsia mbili ambapo wakati mwengine jinsi moja huzidi nyengine, katika makala haya tutazungumzia utekelezaji wa haki kwa watoto wanaozaliwa khuntha By Nuru Mwalimu2021-08-0309 minRadioRahmaRadioRahmaSINGENGE YA KASAINI | PART 2By Ruth Keah2021-08-0209 minRadioRahmaRadioRahmaSINGENGE YA KASAINI | PART 1Tatizo la wanyamapori kuingia katika mashamba ya watu katika kaunti ya Taita Taveta limekuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo kwa miaka mingi. Ili kutatua tatizo hilo, mtafiti wa kisayansi Simon Kasaine, alivumbua singe’nge inayotengenezwa kwa mabati madogo madogo na kupewa jina la KASAINE FENCES. Mhariri wa Radio Rahma Ruth Keah alizuru eneo la Maungu ambapo wakulima wamenufaika na singe’nge hiyo na kuandaa makala haya. By Ruth Keah2021-08-0206 minRadioRahmaRadioRahmaMASAIBU YA WANAWAKE WENYE WATOTO WALEMAVUMakala By Mwanaharusi Rashid2021-07-3014 minRadioRahmaRadioRahmaUBAKAJI WA MATEJA WA KIKEKaunti ya Mombasa ina idadi kubwa ya waraibu wa kike wa mihadharati, ambao wengi wao hujipata wamebakwa wakiwa maskani mwao. Wengi wa waraibu hao hushindwa kutafuta haki baada ya kubakwa,hivyo kuishia kuishi na makovu ya milele. By Athman Luchi2021-07-2608 minRadioRahmaRadioRahmaJINSI WANAFUNZI WANAUZA MILI YAO KUPATA PESAKuhusu jinsi wanafunzi wanauza miili yao ili wapate pesa ya kununua sodo kutokana na umaskini by Baya2021-06-2104 minRadioRahmaRadioRahmaDHANA KUWA TANGAWIZI LIMAU NA ASALI NI KINGA NA TIBA YA CORONA | PART 2Awamu ya pili ya makala ya dhana kuwa mchanganyiko wa tangawizi, limau na asali ni kinga na vilevile tiba ya Covid-19. by Mwanaharusi Rashid2021-06-1811 minRadioRahmaRadioRahmaHABARI ZA URONGO KUHUSU ASTRAZENECA MITANDAONIMakala haya mitandao ya kijamii inavyoeneza habari za urongo kuhusu chanjo ya virusi vya Corona ni sehemu ya pili. Inazungumzia jinsi watu waliokuwa tayari kupata chanjo ya virusi vya corona pindu tu vilipothibitishwa humu nchini. Lakini kwa sasa wamebadili nia zao kwasababu ya habari walizozisoma kutoka mitandao ya kijamii kuhusu chanjo hizo. by Ruth Keah2021-06-1809 minRadioRahmaRadioRahmaDHANA YA KUTOKUWEPO KORONA NCHINI | PART 2Tunaendelea na sehemu ya pili ya makala dhana ya kutokuwepo na Corona nchini Kenya. Katika sehemu hii ya pili tunaungana na wakenya waliopata virusi vya Corona hapa nchini. by Nuru Mwalimu2021-06-1809 minRadioRahmaRadioRahmaDHANA POTOFU KUWA WAGONJWA WA SICKLE CELL HAWASHIKWI NA CORONA | PART 2Licha ya baadhi ya watu katika jamii zetu kuamini kuwa watu wanaougua ugonjwa wa Sickle Cell yaani Selimundu hawashikwi na korona, tumepata kuona kuwa dhana hiyo haina ushahidi wowote wa kitaalamu. Karibu katika makala haya ambapo leo tuna weka wazi kuwa wagonjwa wa sickle cell wanashikwa na corona kinyume na inavyodhaniwa na baadhi ya watu.  Kulingana na mtaalamu wa sickle Cell kutoka London kule Uingereza daktari Rachel Kesse-Adu, katika awamu ya kwanza ya corona wagonjwa 250 wa sickle cell waliambukizwa virusi hivyo na idadi hio ikapanda hadi watu 555 katika awamu ya pili ya msambao wa corona.2021-06-1404 minRadioRahmaRadioRahmaDHANA KUWA HAKUNA CORONA NCHINI KENYABaadhi ya wakenya wako na dhana kuwa hakuna corona nchini kenya kutokana na kuwa wa afrika wako na kinga thabith ambayo inawakinga didhi ya kupatwa na virusi hivyo huku baadhi wakidai kuwa ni mpango wa serikali kujipatia fedha. by Nuru Mwalimu2021-06-1110 minRadioRahmaRadioRahmaDHANA KUWA TANGAWIZI LIMAU NA ASALI NI KINGA NA TIBA YA CORONANi kuhusu dhana kuwa mchanganyiko wa tangawizi, maji ya limau na asali ni kinga na vilevile tiba ya corona. Hii ni sehemu ya kwanza ya makala. Lengo ni kusambaza ujumbe kwa wale wanaoamini dhana hii kuwa dawa. ....Baada ya kuzuka kwa virusi vya corona kumekua na habari aina tofauti kuhusu hatua za kuchukua kuepuka kuambukizwa, na habari nyengine kuhusiana na tiba ya corona. Mojawapo ya habari iliyopata umaarufu nchini ni kuhusu utumizi wa tangawizi, limau na asali. Je mchanganyiko wa tangawizi, maji ya limau na asali ni kinga au tiba ya...2021-06-0709 minRadioRahmaRadioRahmaDHANA POTOFU KUWA WAGONJWA WA SICKLE CELL HAWASHIKWI NA CORONAJanga la corona, limekuja na changamoto si haba kwa watu wote duniani na hapa nchini Kenya, watoto wameathirika zaidi.  Katika kaunti za Mombasa, Kwale na Kilifi, Watoto wanaougua maradhin ya sickle cell wako katika hatari ya kuambukizwa virusi vya korona kwani kuna dhana potofu kuhusu hali yao na jinsi corona haiwezi kuwaathiri. Baadhi ya wazazi wanadai kuwa wagonjwa wa sickle cell hawashikwi na corona. Athman Luchi2021-06-0407 minRadioRahmaRadioRahmaHABARI KUHUSU CHANJO YA VIRUSI VYA CORONAMakala haya  MITANDAO YA KIJAMII INAVYOCHANGIA UTOAJI WA HABARI KUHUSU CHANJO YA VIRUSI VYA CORONA    yanazungumzia kuhusu jinsi watu wanavyopokea habari tofauti tofauti kuhusu chanjo ya ugonjwa wa Covid- 19 hasa  kupitia mitandao ya kijamii. Ruth Keah.2021-05-3108 minRadioRahmaRadioRahmaWASANII NA CORONAMakala by Ruth Keah2021-05-2808 minRadioRahmaRadioRahmaUPANZI WA NYASI ZA BAHARINIMakala by Faiz Musa2021-05-2409 minRadioRahmaRadioRahmaWANAWAKE NA MAZINGIRA | PART 2Makala by Ruth Keah2021-05-2106 minRadioRahmaRadioRahmaULAJI WA MOGOKA MOMBASAMakala by Faiz Musa2021-05-1709 minRadioRahmaRadioRahmaWANAWAKE NA MAZINGIRA | PART 1Makala by Ruth Keah2021-05-1409 minRadioRahmaRadioRahmaUHABA WA MAJI NA MAZINGIRA MOMBASAMakala by Faiz Musa2021-05-1009 minRadioRahmaRadioRahmaUVUMBUZI WA NJIA ZA KISASA ZA KILIMOMakala by Ruth Keah2021-05-0711 minRadioRahmaRadioRahmaSUMU YA UCHAFUZI WA HEWAMakala by Faiz Musa2021-05-0309 minRadioRahmaRadioRahmaUSALAMA WA CHAKULAMakala by Ruth Keah2021-04-3009 minRadioRahmaRadioRahmaSHERIA KUZUIA BIASHARA HARAMU BANDARINI MOMBASAMakala by Faiz Musa2021-04-2609 minRadioRahmaRadioRahmaONGEZEKO LA BAHARIMakala by Faiz Musa2021-04-2309 minRadioRahmaRadioRahmaUFUFUAJI WA MAZINGIRA | PART 2Makala by Ruth Keah2021-04-1907 minRadioRahmaRadioRahmaUFUFUAJI WA MAZINGIRA | PART 1Makala by Ruth Keah2021-04-1608 minRadioRahmaRadioRahmaTEKNOLOJIA YA KUSAKA HAKI | PART 2Makala by Ruth Keah2021-04-1207 minRadioRahmaRadioRahmaBARAKOA KWA WALIO NA CHANGAMOTO YA KUSIKIA NA KUZUNGUMZA | PART 2Makala haya yanazungumzia ubunifu wa barakoa maalum kwa watu walio na changamoto ya kusikia na kuzungumza uliofanywa na shirika la Coast Association with persons living with disability. Barakoa ambazo zitawawezesha kuwasiliana na watu kwa urahisi na kwa wakati huo huo kujikinga na virusi vya Corona Makala by Ruth Keah2021-04-0908 minRadioRahmaRadioRahmaBARAKOA KWA WALIO NA CHANGAMOTO YA KUSIKIA NA KUZUNGUMZA | PART 1Makala haya yanazungumzia ubunifu wa barakoa maalum kwa watu walio na changamoto ya kusikia na kuzungumza uliofanywa na shirika la Coast Association with persons living with disability. Barakoa ambazo zitawawezesha kuwasiliana na watu kwa urahisi na kwa wakati huo huo kujikinga na virusi vya Corona Makala by Ruth Keah2021-04-0509 minRadioRahmaRadioRahmaTEKNOLOJIA YA KUSAKA HAKI | PART 1Makala by Ruth Keah2021-04-0207 minRadioRahmaRadioRahmaARDHI ZA DAMUMakala by Faiz Musa2021-03-2909 minRadioRahmaRadioRahmaSAYANSI YA UHIFADHI WA MAZINGIRAMakala by Ruth Keah2021-03-2610 minRadioRahmaRadioRahmaMADHARA YA UTUMIZI WA PLASTIKIMakala by Faiz Musa2021-03-2208 minRadioRahmaRadioRahmaWANAHARAKATI WA KIJAMII WANAKABILIANA NA MANENO YA CHUKIMakala by Ruth Keah2021-03-2211 minRadioRahmaRadioRahmaSIKU YA RADIO ULIMWENGUNIMakala by Ruth Keah2021-03-1910 minRadioRahmaRadioRahmaUFICHUZI WA FEDHA ZA CORONAMakala by Baya2021-03-1612 minRadioRahmaRadioRahmaPOLIOMakala by Ruth Keah2021-03-1513 minRadioRahmaRadioRahmaMADHARA YA SANDARUSI BAHARINIMakala by Faiz Musa2021-03-1209 minRadioRahmaRadioRahmaKITENDAWILI CHA MPESA KWA WASIOONAMakala by Ruth Keah2021-03-0907 minRadioRahmaRadioRahmaLISHE BORA NA COVIDMakala by Faiz Musa2021-02-0808 minRadioRahmaRadioRahmaCOVID NA HABARI GHUSHIMakala by Faiz Musa2021-01-2910 minRadioRahmaRadioRahmaMACHOZI YA WANYONGE WA MOMBASAMakala by Faiz Musa2020-12-2909 minRadioRahmaRadioRahmaMTAZAMO WA VIJANA KUHUSU BBIMakala by Ali Nariri2020-12-2509 minRadioRahmaRadioRahmaMABADILIKO YA TABIA NCHI NA MARADHIMakala by Faiz Musa2020-12-1909 minRadioRahmaRadioRahmaDAWA YA CORONA YAPATIKANA PWANIMakala by Athman Luchi2020-12-1008 minRadioRahmaRadioRahmaKADI ZA AFYA ZINAVYOWAFAIDI WAKAZI WA MITAA DUNIMakala by Ruth Keah2020-12-0410 minRadioRahmaRadioRahmaCORONA NA WAZEEMakala by baya2020-11-3005 minRadioRahmaRadioRahmaARDHI ZA VILIO KWALEMakala by Athman Luchi2020-11-2307 minRadioRahmaRadioRahmaMAWASILIANO KATIKA KUKABILI COVID 19Makala by Faiz Musa2020-11-2009 minRadioRahmaRadioRahmaUNYANYAPAA DHIDI YA WALEMAVUMakala by Mwanaharusi Rashid2020-11-1111 minRadioRahmaRadioRahmaKOMBE LA BWANAHARUSI WA KIDIGOMakala by Faiz Musa2020-10-1609 minRadioRahmaRadioRahmaUZALISHAJI WAKATI WA CORONAMakala by Nasra Mkali2020-10-1207 minRadioRahmaRadioRahmaMAHANGAIKO YA CHANJO YA COVID 19| PART 2Makala by Ruth Keah2020-10-1109 minRadioRahmaRadioRahmaMAHANGAIKO YA CHANJO YA COVID 19| PART 1Makala by Ruth Keah2020-10-0608 minRadioRahmaRadioRahmaJUHUDI ZA WANAWAKE KULINDA MAZINGIRA| PART 2Makala by Ruth Keah2020-10-0207 minRadioRahmaRadioRahmaMIHOGO YA BIOTECHNOLOGYMakala kuhusu mihogo ya kisayansi  by Ali Mwalimu2020-09-2910 minRadioRahmaRadioRahmaJUHUDI ZA WANAWAKE KULINDA MAZINGIRA| PART 1Wanawake wanajitahidi kulinda mazingira makala by Ruth Keah 2020-09-2509 minRadioRahmaRadioRahmaUTUMIZI WA DAWA ZA KULEVYAHasara ya utumizi wa dawa za kulevya  makala by Faiz Musa 2020-09-2109 minRadioRahmaRadioRahmaCHANJO YA WATOTO WAKATI WA CORONA PART 2Athari za corona kwa watoto part 2 makala by Ruth Keah2020-09-1807 minRadioRahmaRadioRahmaCHANJO YA WATOTO WAKATI WA CORONA PART 1Corona imeathiri vp chanjo za watoto? by Ruth Keah2020-09-1708 minRadioRahmaRadioRahmaUSIWADHARAU WAOSHA VYOOusiwadharau waosha vyoo, kazi ni nadra kupatikana nchini2020-09-1408 minRadioRahmaRadioRahmaNDOA ZA MAPEMANdoa za mapema na athari zake by Ruth Keah2020-09-0909 minRadioRahmaRadioRahmaKIFO CHA UZAZI NJIANIMakala ya kifo cha Uzazi Njiani2020-08-3106 minRadioRahmaRadioRahmaBAISKELI USAFIRI USIOCHAFUA MAZINGIRAKutokana na Uchafuzi wa hali ya hewa ulimwengu, utumizi wa baiskeli unapendekezwa zaidi maana hazina moshi hivyo hazichafui mazingira. Sikiliza makala hayo kuelewa zaidi kuhusiana na baiskeli. Makala by Faiz Musa 2020-08-2509 minRadioRahmaRadioRahmaPODCAST INTROTutakuwa tunaweka makala ya mada mbali mbali katika mtandao wetu wa podcast yetu. Karibu sana2020-08-2000 min